wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,225
- 37,585
Wanawaonea tu,huo msingi una thamani ya bil 2 kasoro.Wapewe sifa hao jamaa wa halmashauri,Ni wazalendo sana hao.Ona mwenyewe mkuuView attachment 2091869
Wanawaonea tu,huo msingi una thamani ya bil 2 kasoro.Wapewe sifa hao jamaa wa halmashauri,Ni wazalendo sana hao.Ona mwenyewe mkuuView attachment 2091869
Wanawaonea tu,huo msingi una thamani ya bil 2 kasoro.Wapewe sifa hao jamaa wa halmashauri,Ni wazalendo sana hao.
Tunakula kwa urefu wa kamba..Ally Hapi mkuu wa mkoa wa Mara anga'ka baada ya kupata taarifa ya ubadhirifu huo wa fedha za umma ametoa agizo kwa mkuu wa wilaya hiyo JOSHUA NASSARY kumoa taarifa za wote waliohusika ili apeleke majina hayo TAMISEMI wapangiwe majukumu mengine
Hata hivyo mkuu wa wilaya hiyo ameeleza kwamba wakuu wa idara wamekuwa wakinunua vifaa vya ujenzi na kuviacha kwenye maduka hayo kwa kisingizio kuwa hawana stoo ya kuweka vifaa hivyo.
Kila kukicha awamu ya tano walikuoa au!?Bill of quantities ipo inaweza leta ulinganisho na hali halisi ya site ilivyo.
Nacho shukuru kwa sasa taarifa zinatoka tofauti na enzi za Giza.Ujue kuna watu wanaamini eti awamu ya 5 watu walikuwa hawajipimii 🤣🤣.
Huwa Nawapa jibu rahisi tuu,wafuatilie taarifa yeyote ya CAG watapatamajibu.
Niliwaoa mimiKila kukicha awamu ya tano walikuoa au!?
utakufa na kizba cha roho.Niliwaoa mimi
Lini?utakufa na kizba cha roho.
Hata sasa!Lini?
Mbona nadundaHata sasa!
Your near than ever.Mbona nadunda
Ukoo wa panya. Ccm hiyo. Naona Nasari amefika kwenye familia yake.Ally Hapi mkuu wa mkoa wa Mara anga'ka baada ya kupata taarifa ya ubadhirifu huo wa fedha za umma ametoa agizo kwa mkuu wa wilaya hiyo JOSHUA NASSARY kumoa taarifa za wote waliohusika ili apeleke majina hayo TAMISEMI wapangiwe majukumu mengine
Hata hivyo mkuu wa wilaya hiyo ameeleza kwamba wakuu wa idara wamekuwa wakinunua vifaa vya ujenzi na kuviacha kwenye maduka hayo kwa kisingizio kuwa hawana stoo ya kuweka vifaa hivyo.
Mama yupi?Hii awamu mama na wasaidizi wake wawe makini,watu watapiga pesa sana.
RuksaaaaKila mtu ale kwa urefu wa kamba yake according to bi hangaya
We shangazi unavyojua kuipigania awamu ya 5 hadi raha yaani?Mwambie Papa Francis aipe Utakatifu kabisa hiyo awamu.Kila kukicha awamu ya tano walikuoa au!?
Na ww uko mbali au?Your near than ever.
Kuna ule uzi watu wanaelezea shida zao niliposomaNa ww uko mbali au?
Mbona matatizo yako wewe hiyatajiKuna ule uzi watu wanaelezea shida zao niliposoma
matatizo yako nikaona uko-frustrated nikiona comment zako
nw najua sababu nini pole mkuu.