Mara paap! Lulu kaachiwa huru!!!!

Watanzania walishaachana na matumizi ya akili muda mrefu sana ni mihemko tu kwa kwenda mbele......

Hakuna aliye tayari kuusikia ukweli......
 
Kabla ya Rufani tunaanza lwanza kumpiga chini wakili Peter Kibatala ili asimuwakilishe tena
 
Huyo kutoka anaweza kutoka lakini wakili wake na japo lake walikuwa wana utetezi dhaifu sana hadi kwenda kuokoteza DR feki mke wa Slaa....
Wakate rufaa na wajipange tena....
Walio mlilia wengi ni wanafiki tuu...hata Kanumba angelikuwa hai na Lulu amnekufa wangeli mlilia Kanumba....
Mimi binafsi sijasikitishwa chochote na hukumu yake maana amevuna alichopanda..
Hata hivyo wazazi wake walipaswa kushitakiwa maana wao ndio wamesababisha haya.....
 
Huyo kutoka anaweza kutoka lakini wakili wake na japo lake walikuwa wana utetezi dhaifu sana hadi kwenda kuokoteza DR feki mke wa Slaa....
Wakate rufaa na wajipange tena....
Walio mlilia wengi ni wanafiki tuu...hata Kanumba angelikuwa hai na Lulu amnekufa wangeli mlilia Kanumba....
Mimi binafsi sijasikitishwa chochote na hukumu yake maana amevuna alichopanda..
Hata hivyo wazazi wake walipaswa kushitakiwa maana wao ndio wamesababisha haya.....
 
Back
Top Bottom