Mara: Mwalimu Mkuu mbaroni kwa kumbaka mwanafunzi wa darasa la saba

ualimu imekuwa ni kada ya kihuni sana,matukio yanayowahusisha watu wa taaluma hii ni ya kinyama na kijinga sana,ya kipumbavu mno,hawa ndyo wanashinda na watoto wetu siku tano za wiki,je,,,,watt wetu wako ktk mikono salama???wapumbavu sana
Hata makanisani haya mambo yapo sana ni tabia ya mtu mmojammoja ambaye anaweza kuwa katika kada yoyote na kokote..
 
ualimu imekuwa ni kada ya kihuni sana,matukio yanayowahusisha watu wa taaluma hii ni ya kinyama na kijinga sana,ya kipumbavu mno,hawa ndyo wanashinda na watoto wetu siku tano za wiki,je,,,,watt wetu wako ktk mikono salama???wapumbavu sana
Kaa na mwanao umfundishe siku tano na usipeleke kwa hao wapumbavu mkuu mbona simple tu
 
Ualimu ni wito sasa kwa hali ya sasa wengi wao wanaenda kwasababu kakosa kazi nyingine
 
Hata makanisani haya mambo yapo sana ni tabia ya mtu mmojammoja ambaye anaweza kuwa katika kada yoyote na kokote..
Mashuleni,majumbani ,makanisani,misikitini kote kuna haya mambo,la maana ni kuwajengea watoto wetu uwezo wa kupambana na hawa wachafuzi kwa kutoa taarifa muhimu zozote kuhusu haya mambo ,pia kuwa karibu nao na kuwawekea mazingira rafiki ili wawe wazi kwetu
 
Mwalimu kaamua kula mshahara wake..Hawa ata wakiwa na miaka 23 pita kama uwaoni serikali ina watambua bado wadogo sana haya mambo ya kula embe na chumvi utakai liive pole sana mwalimu mkuu
 
Polisi Mkoa wa Mara wanamshikilia Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule ya Msingi Bwai A, Wilaya ya Musoma Lazaro Mmanga, kwa tuhuma za kumbaka Mwanafunzi wa darasa la saba mwenye umri wa miaka 14 wakati akijiandaa kufanya mtihani wa Taifa.

Kamanda wa Polisi Mkoa Juma Ndaki amesema Mwalimu huyo alimpitisha Mwanafunzi dirishani na kumuingiza Ofisi ya Mwalimu Mkuu kisha kufunga mlango wa kutokea na yeye akazunguka dirishani na kuingia ndani ya ofisi hiyo.

Amesema baadhi ya Wanafunzi waliokuwa wakimwagilia maua pembeni waliona tukio hilo wakatoa taarifa kwa Viongozi wa Kijiji na Mwalimu akakamatwa akiwa na Mwanafunzi Ofisini na kufikishwa kituoni.

Ndaki amesema baada ya kufikishwa kituoni baadhi ya Wananchi walivamia Kituo hicho kwa lengo la kutaka kumuua na kukazuka vurugu zilizosababisha gari la Polisi kupigwa mawe na kunusurika kuchomwa moto, Watu 42 wanashikiliwa kutokana na vurugu hizo.
Kumbeeee ndio maana wanasema Walimu wa kijaniii ...... Ok tumejua yote hayo
 
Kuna ubakaji kwa mujibu wa sheria ya Ubakaji na kuna ubakaji kwa maana ya kutumia nguvu na ubavu bila ya hiyari ya Mhusika

Adhabu zitofautishwe kidogo

Huyo Binti alimsaidia Makamu Mkuu wa Shule kwny uhalifu huo ndio sababu kelele za kuomba msaada zimepigwa na wanafunzi waliokuwa wanamwagilia bustan sio Binti mwenyewe

Binti akishaanza kuwa na Nyege maana yake yupo tayari kiakili kutaka hayo mambo japo anaweza asiwe tayari kiakili kujua afanye na nani na kwa wakati gani hivyo baadhi ya nyakati wao ndio wanaanza uchokozi ikiwa ni pamoja na kuvaa mavazi ya kindoano doano na kujibidua bidua akiona Mabaharia

Daah sijui ni sheria za wapi hizi ambazo wewe umezisema.. Ubakaji ni ubakaji tuu, Kutoa ushirikiano wakat ulimshika kwa nguvu mwanzo, haiondoi ubakaji.. Pia kutokupiga kelele wakati wa kubakwa hakumaanishi kwamba kuna consent ya mwanamke hapo.. Kila mtu ana hulka yake na ujasiri wake anapokabiliwa na hatari.. Wengine kwa kutishwa au shock tu ile, wanaweza wakatulia na ushirikiano wakatoa, lkn bado ni ubakaji tuu..

Adhabu ni zile zile, kuanzia kifungo kisichopungua miaka 30 jela..
 
Mi nadhani kuna nyege ambazo zinakuwaga on the brink of mental illness.
Who can explain this?
This is beyond humman imagination..
Nobody can explain it.

Maybe the witchcraft school of thought can.

It' s hard.! So hard.
 
Back
Top Bottom