Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
inawezekana alikuwa nao erasto alikuwa mzinzi sana................MKUUU HILO ZOEZI LIMESITISHWA NA MALI ZA HUYU DADA ZIKOKISHERIA NASIKITIKA WANAVYOHAHA NDUGU KADHA
BILA AIBU ALITOA 450M+450M+100M@KAKA/DADA WANAOPINGA WAJESEMA HAPA
UTAPATA WAPI MKWE WA AINA HII DUNIAN HATA KAMA ANA BIL 100
?
BADO TU KWAN ALIKUWA ANAHANGAIKA NA MALIZA UKOO ZA WANAWE??
Hii hoja inataka asante Yesu Kristo kwa ajili ya kusikiliza maombi yetu haki itendeke kwa walishuhudia kwa kuona jinsi Annette alivyouwawa kikatili mkono wa MUNGU utende makuuAcheni utotoo saasaaa jadilini hoja
Never trust a living soulUsiseme hivyo mkuu,mimi ni mwanamke pia ujue?
Mkuu kwenye kesi hii kuna wanaopeleleza, waendesha mashtaka pamoja na hakimu anayeiendesha hawa watu watanufaika sana mpaka kuja kuisha kwa kesi hyo hao watu watakuwa na majumbakesi iko mahakamani
Uwiii mali ndio zinapelekea hadi kumuua mwenzio kinyama vile?
Usiseme hivyo mkuu,mimi ni mwanamke pia ujue?
Kuna watu wanaendesha maisha yao kupitia matatizo ya wengineMkuu kwenye kesi hii kuna wanaopeleleza, waendesha mashtaka pamoja na hakimu anayeiendesha hawa watu watanufaika sana mpaka kuja kuisha kwa kesi hyo hao watu watakuwa na majumba
Wameunganisha uzi. Ungeona alichokuwa kaandika wa mwanzo ungekubaliana nami.Kalale ukue
Dah...Haya unayasema leo?? Kwanini usiyaseme mapema ungewasaidia polisi 🙂🙂HUYO MWANAMKE MAMA SAIMON NIMEFANYA KAZI NAYE NA NINGESHANGAA KAMA ASINGEHUSIKA NAMJUA VIZURI TABIA ZAKE MI ALISHAWAHI KUNIKAMATIA BASTOLA................ WACHA AISOME NAMBA.KWANZA MUMEWE ALIVYOFARIKI HATA KABLA MACHUNGU HAYAJAISHA ALITANGAZA NDOA NA MTU MWINGINE NA ERASTO HAKUWA MUME WA KWANZA ,,,,,,, ALIOLEWA MUME AKAWA HANA MKWANJA WA KUTOSHA ERASTO KAJA KAMUOA.................
Sorry mkuu uzi wa kwanza sikuuonaWameunganisha uzi. Ungeona alichokuwa kaandika wa mwanzo ungekubaliana nami.
Pamoja, pamoja.Sorry mkuu uzi wa kwanza sikuuona
Weka tetesi mkuu, huyu Dada yake Erasto ndiyo yule waliyekuwa wanasema anatembea na bro wake au?Aiseeeee huwezi kujua wanawake wanataka au hawataki nini sasa hg kamtaja mke wa msuya kama mshiriki wa mauaji na fukuto linasema walianza kugombea Mali na kuna tetesi nyingine sitoiweka hapa
Funguka mbabaHUYO MWANAMKE MAMA SAIMON NIMEFANYA KAZI NAYE NA NINGESHANGAA KAMA ASINGEHUSIKA NAMJUA VIZURI TABIA ZAKE MI ALISHAWAHI KUNIKAMATIA BASTOLA................ WACHA AISOME NAMBA.KWANZA MUMEWE ALIVYOFARIKI HATA KABLA MACHUNGU HAYAJAISHA ALITANGAZA NDOA NA MTU MWINGINE NA ERASTO HAKUWA MUME WA KWANZA ,,,,,,, ALIOLEWA MUME AKAWA HANA MKWANJA WA KUTOSHA ERASTO KAJA KAMUOA.................
Uwiii mali ndio zinapelekea hadi kumuua mwenzio kinyama vile?
Ngoja nami nikujee na picha.
True,Spirit that plan to kill,plans also how to be killed,because the mission is to destroy you. Therefore some one with such spirit will have poor plans to protect himself when he have killed another man.ID extra.naamini ukweli utajulikana kwa shida sana maana kuna hela inatembea hapo#ila kuplan tukio la mauaji huwa ni ngumu sana kwa hiyo sio jambo la kufanya
Hata ulaya penyewe huwa wauaji wanaishia kukamatwa sana tu hasa ukiangalia Chanel zao maana muuaji hata awe makini vipi huacha evidence hii ni kwa sababu tukio lenyewe huwa sio la kawaida labda police waache tu kufatilia kwa makusudi.