LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 26,942
- 41,537
ukiishaambiwa ini maana yake utambue hali ni mbayaKama habari hii niya kweli baasi inaumiza sana
ukiishaambiwa ini maana yake utambue hali ni mbayaKama habari hii niya kweli baasi inaumiza sana
kwa hiyo
wanaposema ini maana yake wako karibu kusema kibaya zaidiUnalijua ini la binadamu au unalisikia... au mnalifananisha na ini la g'ombe
Kuna mtu mmoja muhimu hujamweka No. 6.
- Gazeti la Lumumba labda linapiga lamri
- Magogoni wanaota hivyo
- Makondakta anawashwa na albadir iliyosomwa
- Machemba ktk kufikiria kuwa vijana wake hawajatekeleza vyema basi anaamua kuhisi hivyo.
- Masiro naye ktk kupagawa anajinyea huku akihisia hivyo.
Sio mnyika peke ake.lema.msigwa.mnyika.mdee.yaani woote walikuwa wanaomba mauaji yaendelee.na waliokuwa wanauwawa ni viongoz wa ccm.watumishi wa serikali, na maafisa wa polisi.na kw matamko yao chadema iwe majukwaani,mitandaoni,na kwenye vikao vyao vya siri na vya wazi,wanatamka wazi kbs tena kw kutumia kipaza sauti na mchana kweupe kuwa ADUI MKUU WA CHADEMA NI CCM,SERIKALI NA VYOMBO VYAKE VYA DORA.ss jiulize km hoja ni hiyo ni nani alikuwa anawauwa vingoz wa ccm.watumishi wa serikali,na maafisa wa polisi kibiti??!! JIBU NI RAHISI TU.NI HAO VIONGOZ WALIOKUWA WAKITOA MATAMKO MA MATANGAZO.Mbunge wao Mnyika alishangilia mauaji ya Kibiti bungeni.
mungu amtie afya apone haraka. ila tanzania sio somalia.
Ili aje agombee Uenyekiti na Uraisimungu amtie afya apone haraka. ila tanzania sio somalia.
Ili aje agombee Uenyekiti na Uraisimungu amtie afya apone haraka. ila tanzania sio somalia.
Unataka nini?
angalia jibu langu hapo juuUtakua mchawi wewe hata shetani hana roho mbaya kama yako
Hata Kama Ametumia Trilion Mia Haijalish Tunataka AponeKwa lisu mpaka anapona utasikia imetumka trilion moja wacha nivute popcorn niendelee kuchek hili movie
Hata Kama Ametumia Trilion Mia Haijalish Tunataka AponeKwa lisu mpaka anapona utasikia imetumka trilion moja wacha nivute popcorn niendelee kuchek hili movie
AmenIf God has kept him todate , he will live even longer . God is ebenezer
du! kwa hiyo tujiandae kwa taarifa mbaya? Leo ini kesho kingine mwisho unaambiwa mwili na roho havishirikiani.Tuko tayari kupokea taarifa yoyote maana wahuni waliishamaliza kazi yao na huenda wanapongezana kwa ushetani wao
Mi najiuliza, CDM hawana assets au pesa za kumpeleka Marekani?! Eti Nyani Ngabu, huko Marekani gharama sh ngapi?
Mi najiuliza, CDM hawana assets au pesa za kumpeleka Marekani?! Eti Nyani Ngabu, huko Marekani gharama sh ngapi?