Mapya ya Lissu: Risasi moja iliingia kwenye ini

Mapya ya Lissu: Risasi moja iliingia kwenye ini

kesho hawa hawa watasema nyonga haifanyi kazi, kwa hiyo hawezi mambo mengine. ni siri ya daktari na mgonjwa, tuntka Lissu apone thats it.

details za ndani sio nzuri mkuu, kubali kataa
Kumpiga risasi ndio kubaya.

Haifai kukutajia takolo, lakini ukipigwa risasi hapo tutasema "Waberoya amepigwa risasi kwenye tako!
Wala usifike mbali kwa fikra kana kwamba tunahusda na takolo, tunaiongelea "risasi"

Ndio maana tunasema "aliyepanga, aliyeratibu na aliyetekeleza hatalala usingizi kuupumzisha mwiliwe, hatakula akaunawirisha mwiliwe, hatakunywa akakata kiuye.

HATAONGEA AKAELEWEKA.

Kama vipi nenda ukauziwe kiwanja na bashite
 
Naona gazeti la Jamhuri nalo siku hizi ni Dr, sijui ndio wale mabush Dr au laaa kwa Neema na utukufu wa Mungu Lisu atapona tena mkome kumpitisha pitisha midomoni kwenu...mwandikeni huyo kiraka hata kwenye kwenye mikutano mikubwa anashindwa eti yupo tuu
 
upasuaji ulishafanyika, risasi zilikua 8, hakuna iliyotolewa kwenye ini, hiyo mnaforce kuiweka nyinyi kwenye akili zetu.
Mlipokuwa mnapiga tumbo la Tundu Lissu mliagana na risasi zisiende kwenye ini? au ini siku hizi linakaa shingoni?

Mtaweweseka sana!
 
Mlipokuwa mnapiga tumbo la Tundu Lissu mliagana na risasi zisiende kwenye ini? au ini siku hizi linakaa shingoni?

Mtaweweseka sana!
gaidi moja hili hapa..
angalieni mkabila asiwafanye mandondocha..
mtajibu hoja kwa risasi hadi lini vilaza ?
 
Aliyetunga huu uzushi akili yake haina AKILI!
yaani risasi ifike kwenye ini na bado mtu abaki kuwa hai mpaka leo?!
mie sio daktari lakini ktk hili nimegoma!
Get well Tundu Lissu.
 
gaidi moja hili hapa..
angalieni mkabila asiwafanye mandondocha..
mtajibu hoja kwa risasi hadi lini vilaza ?
Huna muunganiko wa fikra, umeshindwa kufikisha ujumbe ulioukusudia.
 
Baba yetu uliye mbinguni mjaalie mja wako tundu lisu afya njema arudi nyumban.
 
Aliyetunga huu uzushi akili yake haina AKILI!
yaani risasi ifike kwenye ini na bado mtu abaki kuwa hai mpaka leo?!
mie sio daktari lakini ktk hili nimegoma!
Get well Tundu Lissu.

Mbona huwa wanasema ini likiwa bovu wanakata likibaki kipande kidogo kizima mtu anaendelea na maisha? Hebu wenye ujuzi wa hili jambo watuelimishe maana inaweza ikawa kweli na anaishi na lililobakia
 
Pole sana Marekani ataenda unadhani ni rahisi kama unavyoona kumtoa hapa to MAREKANI atakwenda na ndio mtazidi kushangaa tena soon
Asante kwa pole, zifanyike juhudi zozote, CDM watumie raslimali zozote walizonazo kuokoa maisha ya Lissu, wampeleke Marekani, bora chama kifirisike, huyu mtu apone, ni muhimu sana ( ninahisi kama ulinielewa negatively).
 
Habari za asubuhi wanajukwaa. Kutoka moja ya magazeti ya Leo tarehe 19/09/2017, nimesikia habari kuwa moja ya risasi alizomiminiwa Lisu ilifika hadi kwenye ini. Gazeti JAMHURI. Kwa kweli tukeshe tukimwombea maana ni kwa nguvu za Mungu tu amepona. Atakayepata habari kamili ikiwa ni pamoja na Mods mnisaidie kuiweka humu. MUNGU MPONYE LISU.
hatari tuwe wawazi anaweza asipone, ini siyo Jambo la kuchezea
 
Habari za asubuhi wanajukwaa. Kutoka moja ya magazeti ya Leo tarehe 19/09/2017, nimesikia habari kuwa moja ya risasi alizomiminiwa Lisu ilifika hadi kwenye ini. Gazeti JAMHURI. Kwa kweli tukeshe tukimwombea maana ni kwa nguvu za Mungu tu amepona. Atakayepata habari kamili ikiwa ni pamoja na Mods mnisaidie kuiweka humu. MUNGU MPONYE LISU.
Hata kama ilipiga kwenye Moyo bado Mungu wake anamhitaji awepo duniani kwani Uzima na Mauti juu ya Muumba....aliyemfyatulia Lissu Risasi Lissu ikimpendeza M/Mungu atakufa kabla ya Lissu,ingawaje yeye alidhani ammeshamuua Lissu!Tuendelee kumuombea afya njema "Mpigania haki na utawala wa kisheria" Tundu Lissu
 
Back
Top Bottom