Mapya ya Lissu: Risasi moja iliingia kwenye ini

Mapya ya Lissu: Risasi moja iliingia kwenye ini

Tulichotaka kujua kwake ni kuwa yuko hai,na yuko hivyo,tunajua alimiminiwa risasi mwilini na huo ndiyo mwili wenyewe,NINI KIPYA?
If God has kept him todate , he will live even longer . God is ebenezer
 
Jamuhuri nalo ni lakusomwa na watu wenye fikra pevu?
 
Tumsifuni bwana,bwana wa majeshi kwa maajabu aliyo yaonyesha kwa General kamanda Lissu. Mungu anamtambua lissu kama mtetezi wa wanyonge wa kweli.
Ulikutana nae wapi huyo mungu akakupa hizo porojo !?
 
Kwa lisu mpaka anapona utasikia imetumka trilion moja wacha nivute popcorn niendelee kuchek hili movie
Chezea kaskazini wewe ! ...Lema na Mbowe wanapishana zamu tuu !
 
Kwenye ini huwa siyo ishu sana,kwani ini linasurvive hata kikitoka nusu ya kipande,fatality rate ni 60%.

Fatality rate ya risasi ya kichwa ni 90%.

Risasi ya kifuani ni 80%.

Tumbo ni 50% to 60%.

Angeenda USA huko ndo kila siku wanatibu majeraha fatal ya risasi na wana experiance kutokana na kutibu wanajeshi wao wanaokuwa wameathirika toka iraq,afaghnistan,syria etc
nimeipenda technical detailed analysis!!
 
Habari za asubuhi wanajukwaa. Kutoka moja ya magazeti ya Leo tarehe 19/09/2017, nimesikia habari kuwa moja ya risasi alizomiminiwa Lisu ilifika hadi kwenye ini. Gazeti JAMHURI. Kwa kweli tukeshe tukimwombea maana ni kwa nguvu za Mungu tu amepona. Atakayepata habari kamili ikiwa ni pamoja na Mods mnisaidie kuiweka humu. MUNGU MPONYE LISU.
iliingia kwenye INI!! , Halafu mnasema ni mzima!!!!!; Hizi saikolojia za kupumbaza watu wapoe zimepitwa na wakat. Semeni ukweli Lissu ana hali gani?
 
Daaa! Ini, ni hatari sana hapo, kama kweli tusubiri muujiza
 
Mwenyewe nimeisoma hiyo habari kupitia gazeti la JAMHURI,hakika tundu lissu ni mpango wa mungu
du! kwa hiyo tujiandae kwa taarifa mbaya? Leo ini kesho kingine mwisho unaambiwa mwili na roho havishirikiani.Tuko tayari kupokea taarifa yoyote maana wahuni waliishamaliza kazi yao na huenda wanapongezana kwa ushetani wao
 
apone vipi na unaambiwa risasi iliingia kwenye ini?
Mbona ini linakatwa na bado watu wanaishi vizuri tu. Ini sio kama puto kwamba ukilitoboa linasinyaaa acha kuvamia taaluma za watu! Kitu cha hatari ni kama risasi ingefika kwenye mapafu au moyo au mishipa ya shingo na kichwani huko kwingine kunatibika kijana
 
Back
Top Bottom