WASHE
JF-Expert Member
- Jan 9, 2017
- 746
- 394
Tulisha muombea mnatakaje tena sasa?Tumuombee jamaa apone haraka . Mungu anakusudio lake kwenye hili.
Tulisha muombea mnatakaje tena sasa?Tumuombee jamaa apone haraka . Mungu anakusudio lake kwenye hili.
Tulisha muombea mnatakaje tena sasa?Tumuombee jamaa apone haraka . Mungu anakusudio lake kwenye hili.
Kwani wewe Ni mpango wa nyani?Mwenyewe nimeisoma hiyo habari kupitia gazeti la JAMHURI,hakika tundu lissu ni mpango wa mungu
Dada yangu chamsingi Tumuombee tukwa hiyo
HausomekiHabari za asubuhi wanajukwaa. Kutoka moja ya magazeti ya Leo tarehe 19/09/2017, nimesikia habari kuwa moja ya risasi alizomiminiwa Lisu ilifika hadi kwenye ini. Gazeti JAMHURI. Kwa kweli tukeshe tukimwombea maana ni kwa nguvu za Mungu tu amepona. Atakayepata habari kamili ikiwa ni pamoja na Mods mnisaidie kuiweka humu. MUNGU MPONYE LISU.
Tuweze kuthamini uweza wa Mungu na kujua kuwa ipo sababu ya Mungu kuuhifadhi uhai wa Tundu Lissu. Omba kwa kumaanisha kuhakikisha huyo mwovu hatumii tatizo hilo kuleta madhara juu ya Lissu. Mungu hupenda tumuambie kila kitu kila wakati.kwa hiyo
Niandike lugha gani uisome?Hausomeki
Habari za asubuhi wanajukwaa. Kutoka moja ya magazeti ya Leo tarehe 19/09/2017, nimesikia habari kuwa moja ya risasi alizomiminiwa Lisu ilifika hadi kwenye ini. Gazeti JAMHURI. Kwa kweli tukeshe tukimwombea maana ni kwa nguvu za Mungu tu amepona. Atakayepata habari kamili ikiwa ni pamoja na Mods mnisaidie kuiweka humu. MUNGU MPONYE LISU.
Acha udaku....taarifa mbadala zilizosambaa ni kuwa risasi moja iliingia kwenye wallet aka pochi ya Tundu Lissu. Tunamwombea afya yake izidi kuimarika. AmenHabari za asubuhi wanajukwaa. Kutoka moja ya magazeti ya Leo tarehe 19/09/2017, nimesikia habari kuwa moja ya risasi alizomiminiwa Lisu ilifika hadi kwenye ini. Gazeti JAMHURI. Kwa kweli tukeshe tukimwombea maana ni kwa nguvu za Mungu tu amepona. Atakayepata habari kamili ikiwa ni pamoja na Mods mnisaidie kuiweka humu. MUNGU MPONYE LISU.
Kwa watu waliozaliwa kutokana na 'kondomu kupasuka' ni jibu nzuri, ila kwa waliozaliwa kwa mipango kamili ya wazazi hayo ni majibu ya kipumbavu na ya chooni.jibu zuri saana!
Habari za asubuhi wanajukwaa. Kutoka moja ya magazeti ya Leo tarehe 19/09/2017, nimesikia habari kuwa moja ya risasi alizomiminiwa Lisu ilifika hadi kwenye ini. Gazeti JAMHURI. Kwa kweli tukeshe tukimwombea maana ni kwa nguvu za Mungu tu amepona. Atakayepata habari kamili ikiwa ni pamoja na Mods mnisaidie kuiweka humu. MUNGU MPONYE LISU.