Maputo yaipiga bao Da r es salaam

Maputo yaipiga bao Da r es salaam

Jamani hebu mpeni break jiwe!! Nyie ndo mnaharibu maana akiona hii habari kesho atakurupuka kuanzisha hiyo project pale baharini ili tu awa prove wrong bila kujali kipaumbele cha nchi kwa wakati huo ni kipi!!

Jiwe anafanya kazi kwa panic mwacheni atulize kichwa mtamuumiza na hizi habari!
 
Kushangilia daraja la Tazara ni ulimbukeni au ni ushamba. Maputo city imezindua bonge la daraja linalovuka bahari, Dar tunachekesha sana fuatilia BBC
New bridge spans Mozambique capital

Soma tena kwa uzuri hiyo habari halafu uchanganue.

Ni yaleyale ya Zambia, yaani huyu Mnyusi na Lungu wa Zambia wanauza maliasili na mali za wananchi wa nchi zao kwa China.

Sasa wafahamu Msumbiji wanadaiwa kiasi gani kutokana na fedha wanazokopa kutoka China?

Flyover ya TAZARA imejengwa kwa msaada wa serikali ya Japan na mtu akitaka kutupatia msaada basi tunamwomba ajenge kitu, huko ndo kutumia akili kwa sisi waafrika.

Raisi JPM amekataa jambo hilo na ndio maana tunajenga reli zetu na mali kama TTCL zinarudishwa kwa watanzania maana hizo ni mali za nchi.

Nchi yoyote ile inayouza "state assets" yaani mali ya nchi maraisi wake wana matatizo katika kufikiri.
 
Usifananishe maputo bridge na hiyo takataka ya kigamboni au Tazara
 

Attachments

  • Di3bOZWX0AAxTAG.jpg
    Di3bOZWX0AAxTAG.jpg
    40.5 KB · Views: 78
Soma tena kwa uzuri hiyo habari halafu uchanganue.

Ni yaleyale ya Zambia, yaani huyu Mnyusi na Lungu wa Zambia wanauza maliasili na mali za wananchi wa nchi zao kwa China.

Sasa wafahamu Msumbiji wanadaiwa kiasi gani kutokana na fedha wanazokopa kutoka China?

Flyover ya TAZARA imejengwa kwa msaada wa serikali ya Korea Kusini na mtu akitaka kutupatia msaada basi tunamwomba ajenge kitu, huko ndo kutumia akili kwa sisi waafrika.

Raisi JPM amekataa jambo hilo na ndio maana tunajenga reli zetu na mali kama TTCL zinarudishwa kwa watanzania maana hizo ni mali za nchi.

Nchi yoyote ile inayouza "state assets" yaani mali ya nchi maraisi wake wana matatizo ya akili.
Endelea na ngonjera za kujifanya hamdaiwi thubutuuu mnamideni mpaka uvunguni na Hanna cha maana kilichofanyika zaidi ya kujifanya ukichaa wa kununua korosho
 
Kushangilia daraja la Tazara ni ulimbukeni au ni ushamba. Maputo city imezindua bonge la daraja linalovuka bahari, Dar tunachekesha sana fuatilia BBC
New bridge spans Mozambique capital

Mozambique's debt problem
By Will Ross, BBC Africa editor

China has invested heavily in Mozambique's construction industry and built the country's parliament, several government ministries and the national sports stadium, as well as major new roads. China has also loaned money for the construction of a railway to transport coal to the coast for export.

There has been concern over China's involvement in the timber business. As well as legal exports, Chinese loggers have been involved in timber smuggling and the government earlier this year said several Chinese nationals had been arrested. Hardwood exports from Africa to China have soared as supply in Asia has dwindled. Mozambique has lost nearly three million hectares - or 10% of its forests - since 2000.

Gas exploration ought to produce vast income for the government within a decade but as is the case with several other African countries there are concerns over the sustainability of Mozambique's debt - by the end of 2017 it owed more than $2bn to China.

In February it was revealed that it was more than $700m in arrears on debt repayments - much of which it had hidden from the International Monetary Fund.
 
Soma tena kwa uzuri hiyo habari halafu uchanganue.

Ni yaleyale ya Zambia, yaani huyu Mnyusi na Lungu wa Zambia wanauza maliasili na mali za wananchi wa nchi zao kwa China.

Sasa wafahamu Msumbiji wanadaiwa kiasi gani kutokana na fedha wanazokopa kutoka China?

Flyover ya TAZARA imejengwa kwa msaada wa serikali ya Korea Kusini na mtu akitaka kutupatia msaada basi tunamwomba ajenge kitu, huko ndo kutumia akili kwa sisi waafrika.

Raisi JPM amekataa jambo hilo na ndio maana tunajenga reli zetu na mali kama TTCL zinarudishwa kwa watanzania maana hizo ni mali za nchi.

Nchi yoyote ile inayouza "state assets" yaani mali ya nchi maraisi wake wana matatizo katika kufikiri.
Naona unajivunia nchi kuwa omba omba
 
Watu weusi wanapenda vitu vya kung'aa. Zamani mababu zetu walishangilia vioo sisi tunashangilia madaraja na maghorofa marefu.
 
Wachina wataimaliza Africa
Wazungu wametuachia mashimo kwenye madini, lakini wachina wanatuachia jangwa.

Hawa sio wa kuwakenulia meno, kama wameiba magogo hivyo na kuwahadaa kwa daraja la mkopo wamekwisha.
 
Back
Top Bottom