Mapungufu ya mabasi ya Tahmeed

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Jan 1, 2017
23,544
52,669
Baada ya leo kupanda basi hizo zinazosifiwa sana, nimejionea mapungufu yafuatayo;

1. Hakuna wahudumu wa kike. Wapo wa kiume ambao wana kauli ngumu kwa wateja / abiria

2. Ndani ya basi unapewa maji pekee yake wakati Kilimanjaro Bus unapewa maji, soda, keki na
pipi

3. Hawapigi nyimbo za kwaya kabisa tofauti na mabasi mengine yanayoenda Arusha.

4. Hawana basi zenye choo licha ya kuwa na stika ya SUMATRA iliyoandikwa " Daraja la Juu "

5. Njiani kwenye lunch wanasimama Hotel za kichovu sana.
 
kidogo hiyo hoja ya kwanza ina mashiko ila hawalazimishwi kuwa na wafanyakazi wa kike...
 
Baada ya leo kupanda basi hizo zinazosifiwa sana, nimejionea mapungufu yafuatayo;

1. Hakuna wahudumu wa kike. Wapo wa kiume ambao wana kauli ngumu kwa wateja / abiria

2. Ndani ya basi unapewa maji pekee yake wakati Kilimanjaro Bus unapewa maji, soda, keki na
pipi

3. Hawapigi nyimbo za kwaya kabisa tofauti na mabasi mengine yanayoenda Arusha.

4. Hawana basi zenye choo licha ya kuwa na stika ya SUMATRA iliyoandikwa " Daraja la Juu "

5. Njiani kwenye lunch wanasimama Hotel za kichovu sana.
falcon mombasa anaweza akawa na majibu.
 
Baada ya leo kupanda basi hizo zinazosifiwa sana, nimejionea mapungufu yafuatayo;

1. Hakuna wahudumu wa kike. Wapo wa kiume ambao wana kauli ngumu kwa wateja / abiria

2. Ndani ya basi unapewa maji pekee yake wakati Kilimanjaro Bus unapewa maji, soda, keki na
pipi

3. Hawapigi nyimbo za kwaya kabisa tofauti na mabasi mengine yanayoenda Arusha.

4. Hawana basi zenye choo licha ya kuwa na stika ya SUMATRA iliyoandikwa " Daraja la Juu "

5. Njiani kwenye lunch wanasimama Hotel za kichovu sana.
Kwaya kwani mle Kanisani?
 
Baada ya leo kupanda basi hizo zinazosifiwa sana, nimejionea mapungufu yafuatayo;

1. Hakuna wahudumu wa kike. Wapo wa kiume ambao wana kauli ngumu kwa wateja / abiria

2. Ndani ya basi unapewa maji pekee yake wakati Kilimanjaro Bus unapewa maji, soda, keki na
pipi

3. Hawapigi nyimbo za kwaya kabisa tofauti na mabasi mengine yanayoenda Arusha.

4. Hawana basi zenye choo licha ya kuwa na stika ya SUMATRA iliyoandikwa " Daraja la Juu "

5. Njiani kwenye lunch wanasimama Hotel za kichovu sana.
hoja dhaifu mkuu
 
Hiyo namba 3, kwani abiria wa hizo gari ni wakristo pekee yao?

Baada ya leo kupanda basi hizo zinazosifiwa sana, nimejionea mapungufu yafuatayo;

1. Hakuna wahudumu wa kike. Wapo wa kiume ambao wana kauli ngumu kwa wateja / abiria

2. Ndani ya basi unapewa maji pekee yake wakati Kilimanjaro Bus unapewa maji, soda, keki na
pipi

3. Hawapigi nyimbo za kwaya kabisa tofauti na mabasi mengine yanayoenda Arusha.

4. Hawana basi zenye choo licha ya kuwa na stika ya SUMATRA iliyoandikwa " Daraja la Juu "

5. Njiani kwenye lunch wanasimama Hotel za kichovu sana.
 
Ungesema wanapiga Qaswida tu ila kwaya hawataki tungejadili kidogo, ila kulazimisha Tahmeed wapige kwaya kukufurahisha wewe utafikiri magari yao yanapeleka watu kwenye kipaimara. Kuna wenzako hawapendi kwaya kwahiyo vumilia tu ukiona kwaya hamna.
 
Baada ya leo kupanda basi hizo zinazosifiwa sana, nimejionea mapungufu yafuatayo;

1. Hakuna wahudumu wa kike. Wapo wa kiume ambao wana kauli ngumu kwa wateja / abiria

2. Ndani ya basi unapewa maji pekee yake wakati Kilimanjaro Bus unapewa maji, soda, keki na
pipi

3. Hawapigi nyimbo za kwaya kabisa tofauti na mabasi mengine yanayoenda Arusha.

4. Hawana basi zenye choo licha ya kuwa na stika ya SUMATRA iliyoandikwa " Daraja la Juu "

5. Njiani kwenye lunch wanasimama Hotel za kichovu sana.
Kwaya kasikilize nyumbani kwako!kwani umeambiwa abiria ni wakristo pekee
 
Baada ya leo kupanda basi hizo zinazosifiwa sana, nimejionea mapungufu yafuatayo;

1. Hakuna wahudumu wa kike. Wapo wa kiume ambao wana kauli ngumu kwa wateja / abiria

2. Ndani ya basi unapewa maji pekee yake wakati Kilimanjaro Bus unapewa maji, soda, keki na
pipi

3. Hawapigi nyimbo za kwaya kabisa tofauti na mabasi mengine yanayoenda Arusha.

4. Hawana basi zenye choo licha ya kuwa na stika ya SUMATRA iliyoandikwa " Daraja la Juu "

5. Njiani kwenye lunch wanasimama Hotel za kichovu sana.
Wanatoa Maji ya Uhai chupa mdogo tuu.
 
Ungesema mabasi ya daraja la juu yanatoa zaidi ya maji na sio promo uliyoifanya,siku nyingine usisahau mp3 na jaza nyimbo zako za kwaya utaburudika,angalizo sio kunachofanyika kwenye mabasi kinamfurahisha kila mtu,mm naomba nifike salama.
 
Acha ujinga basi ulizopanda mwaka tisini ulikua unapewa maji.kujisaidia yenyewe ilikua unaingia kwa kichaka basi likisimama kama vp nunua basi lako tuone litatoa huduma zote unazotaka wewe.we jali kufika salama kule unakoelekea.
 
Hoja namba moja sawa, hoja namba tatu ni hoja dhaifu sana.

Niongezee tu wajitahidi kuweka headphones kwa ajili ya abiria hakuna haja ya kuwa na exclusive screens kwa kila.abiria kama hamumpi uwezo wa kuifurahi kwa kuangalia movie au muziki aupendao. Otherwise tutangaziwe tuwe tunakuja na headphones kutoka nyumbani?
 
Back
Top Bottom