Kampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP

Mr Why

JF-Expert Member
Nov 27, 2019
1,112
1,887
Kampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP yanayofanya safari zake Dar- Mwanza-Dar, kuanzia tarehe 9 Juni 2023.

Hizi basi ni za kisasa na yenye viwango vya juu ikiwemo siti za luxury, air condition, tv, choo cha abiria, wahudumu wa kike, vinywaji na vitafunio.

Route hii imezinduliwa baada ya kupata maombi kwa wateja.
1686076437610.jpg
 
Kuhusu tv mbona kuna mabasi yana tv kila siti, kuna mabasi ya kawaida wanagawa mpaka soda na maji. Labda tv hizo zitakuwa zinatumia ving!amuzi unajichagulia chaneli ya kutazama. Kwenye choo hapo sawa. Wangeweka na misosi ya maana na kushiba ndani yake kama kukuz, chapati, maziwa, wali, ndizi, chips, nyama, matunda itapeneza sana
 
Kuhusu tv mbona kuna mabasi yana tv kila siti, kuna mabasi ya kawaida wanagawa mpaka soda na maji. Labda tv hizo zitakuwa zinatumia ving!amuzi unajichagulia chaneli ya kutazama. Kwenye choo hapo sawa. Wangeweka na misosi ya maana na kushiba ndani yake kama kukuz, chapati, maziwa, wali, ndizi, chips, nyama, matunda itapeneza sana
Wamekwambia kuna wadada wazuri wahudumu
 
Kampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP yanayofanya safari zake Dar- Mwanza-Dar, kuanzia tarehe 9 Juni 2023.

Hizi basi ni za kisasa na yenye viwango vya juu ikiwemo siti za luxury, air condition, tv, choo cha abiria, wahudumu wa kike, vinywaji na vitafunio.

Route hii imezinduliwa baada ya kupata maombi kwa wateja. View attachment 2648306
Abood azingatie usafi, mabasi yake mengi ndani ni machafu sana.. gari namba E lakini chafu utadhani namba A
 
Kampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP yanayofanya safari zake Dar- Mwanza-Dar, kuanzia tarehe 9 Juni 2023.

Hizi basi ni za kisasa na yenye viwango vya juu ikiwemo siti za luxury, air condition, tv, choo cha abiria, wahudumu wa kike, vinywaji na vitafunio.

Route hii imezinduliwa baada ya kupata maombi kwa wateja. View attachment 2648306
Hii nayo ni habari au Tabgazo la biashara?
 
Kampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP yanayofanya safari zake Dar- Mwanza-Dar, kuanzia tarehe 9 Juni 2023.

Hizi basi ni za kisasa na yenye viwango vya juu ikiwemo siti za luxury, air condition, tv, choo cha abiria, wahudumu wa kike, vinywaji na vitafunio.

Route hii imezinduliwa baada ya kupata maombi kwa wateja. View attachment 2648306
Hili taifa lina wajinga sana, kwanza mimi kitu sipatani nacho no 1 ni TV kwenye basi, sipatani huo ujinga kabisa, sasa kama karine hii bado unashobokea Tv za kwenye mabasi utakuwa na matatizo
 
Kuhusu tv mbona kuna mabasi yana tv kila siti, kuna mabasi ya kawaida wanagawa mpaka soda na maji. Labda tv hizo zitakuwa zinatumia ving!amuzi unajichagulia chaneli ya kutazama. Kwenye choo hapo sawa. Wangeweka na misosi ya maana na kushiba ndani yake kama kukuz, chapati, maziwa, wali, ndizi, chips, nyama, matunda itapeneza sana
Utaharisha ndani ya basi
 
Hata dar express alikuwa na benz sikuwahi ona huo uvip zaidi ya kutoka sa2 asubuh na kufika sa2 usiku ndani baridi kali na kupewa maji barafu aiseeee
UVIO ni kitu gani? Choo? Kwa kifupi hakuba kitu hapo kinacho weza nishawahishi kupanda bus, Choo? Tv sipatani nazo kabisa, Sosa sinywagwi, biscut ni ufala kunipatia biscut
 
Back
Top Bottom