1. Bila shaka wale ni muslims na maadili ya kiislam c ya kumuexpos mwanamke ktk maxingira magum yaufanyaj kaz kama hayo ya ukonda, wamerely ktk religouis scriptures
2. Kupewa nin ndan ya gar inategemea na mambo meng ikiwepo kiwango cha nauli uloyotoa, aims za tajiri na vipaumbele vyake kwa abiria wake..
3. Tajir ni muslim na madereva wao ni waislam tena walikuliya kwny malezi ya diyn, kwaya kwao nimkitu ingine.. Moshi na Arusha kwaya znapigwa sana kweny magar hii inategemea na mmiliki wake pia na dereva mwenyewe etc
4. Me mbona nlipanda yenye toilet? Haujafanya utafit wa kutosha kweny hoja hii ya toilet
5. Kuhusu hotel za kichov cjui kwa ni 7bu gan pengine hawana maslah nao kibiashara... in adition huenda wakawa wanakwepa hotel znazopika kitimoto