Mapungufu katika Wimbo wa Taifa la Tanzania

wATANZANIANIA NI WAVIVU WA KUFIKIRIA.
HUU WIMBO TULIUKOPI KUTOKA AFRIKA YA KUSINI NA TUKAUTAFSIRI.
HUWA NACHEKA SANA ETI KUNA LIJAMAA LINASEMA ETI LENYEWE NDIO LILIUTUNGA HUO WIMBO WAKATI UNAJULIKANA KABISA ASILI YAKE

Kwanini isiwe SA ndio wame copy toka kwetu? huu wimbo hauna tatizo lolote, mkimaliza wimbo mtasema na Dua ya kuliombea bunge nayo ibadilishwe!
 
ushauri wako ni mzuri, ila kuna siku nilisika kuwa huu wimbo umenyambulishwa kutoka nyimbo za kanisa so kama ni kweli basi mungu lazima atajwe kila mahali kutaka msaada. Huo wimbo ulivyo hauna tofauti na wale ndugu zetu waliohamia pale uwanja wa ndege Dar wakitarajia kupitia jina la bwana wangeenda ulaya kwenda kuhubiri neno lake na matokeo yake wakaishia kuugulia njaa na kuomba msaada. sisi bila kujishughulisha hakutatengeneza differences, napendekeza hata mimi kuwa tuache tu kumtegemea mungu bila ya sisi kujishughulisha. wewe mvua inanyesha halafu umelala huku ukiomba mungu uvune mahindi, hivi huu siutakuwa uchizi? tunaambiwa kuwa mungu habadilishi yaliyo kwa binadamu mpaka yeye (binadamu) abadilishe yaliyo kwenye moyo (matendo) wake. naunga mkono huu wimbo ubadilishwe
Nawasilisha.

Mkuuu nakubaliana na wewe kabisa unaweza kuonahata tofauti iliyopoya huu wetu na wenzetu wa kenya. Hata mimi ni muumi mzuri wa imani yangu na muabudu mungu lakini kama ulizyoseama huu wimbo ni kama wale "XYZ" masalia

Wikipeadia wenyewe wanasema Mungu ibariki Afrika - Wikipedia, the free encyclopedia

Kilembwe said:
Kwanini isiwe SA ndio wame copy toka kwetu? huu wimbo hauna tatizo lolote, mkimaliza wimbo mtasema na Dua ya kuliombea bunge nayo ibadilishwe!

tatizo lipo hata ukiangalia kijuuu jujuu tu unagundua kama watanzania hatuna priority. Kwa nini wimbo utangulize africa na si Tanzania kwanza.
 
Wa-Tanzania kwa visebengo Hatujambo! Yaani sasa hivi tumegeukia Wimbo, la Katiba hatujamaliza watu mmeanza tena wimbo wa Taifa! Hebu tuache masikhara waungwana. Safari moja huanzisha nyingine tumalize kwanza Katiba ndo tuje kwenye wimbo kama kuna ulazima. Ingawa kwangu sioni ubaya wa kumtaja Mungu maana yeye ndiye anayetupa hekima, maarifa na nguvu ya kufanya kazi vizuri. Kikubwa tuwadhibiti hawa mafisadi hapo ndo Taifa litaenda mbele. Wimbo tu hauwezi kutufikisha popote.
 
kaaazi kweli kweli. Wimbo ndiyo ni muhimu sawa lakini hata uwe mzuri namna gani wenye kubeba maudhui yanayoshabihiana na matakwa na malengo yetu kamwe hautakuwa na maana kama viongozi hawatakuwa wanyenyekevu na watii wenye vision ktk kuwatumikia wananchi. Na hivyo hivyo sisi wenyewe wenye nchi tusipochapa kazi kwa bidii na maarifa we r surely bound to doom and fail as a nation
 
Huu wimbo ulitungwa wakati wa "Zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM",

Wabariki Viongozi wake - yaani viongozi tu ndio wabarikiwe, sisi wengine tubaki kama tulivyo?
Ndio maana kweli viongozi wamebarikiwa
Hekima Umoja na Amani I think neno uzalendo nila muhimu
Hizi ni ngao zetu
Afrika na watu wake.
 
wATANZANIANIA NI WAVIVU WA KUFIKIRIA.
HUU WIMBO TULIUKOPI KUTOKA AFRIKA YA KUSINI NA TUKAUTAFSIRI.
HUWA NACHEKA SANA ETI KUNA LIJAMAA LINASEMA ETI LENYEWE NDIO LILIUTUNGA HUO WIMBO WAKATI UNAJULIKANA KABISA ASILI YAKE


Hivi una uhakika au ushahidi wa hiki ulichokiandika? Wimbo huu ulijulikana kama wimbo wa Africa kama bara, ndo maana kuna nchi nyingi za Africa nyimbo zake zina au zilikuwa na melody ya wimbo huu (mfano mwingine mbali na SA ni Zambia)! Sina hakika na mtunzi au ulianzia wapi, nimeandika ninachokijua na nina ushahidi na uhakika nacho! Nawasilisha!
 
wATANZANIANIA NI WAVIVU WA KUFIKIRIA.
HUU WIMBO TULIUKOPI KUTOKA AFRIKA YA KUSINI NA TUKAUTAFSIRI.
HUWA NACHEKA SANA ETI KUNA LIJAMAA LINASEMA ETI LENYEWE NDIO LILIUTUNGA HUO WIMBO WAKATI UNAJULIKANA KABISA ASILI YAKE

Ni kweli mkubwa. Huu wimbo huko Afrika kusini wanauita 'NKOSI SIKELELA' Wasauzi walikua wakiuimba wakati wakuhamasisha mapambano dhisi ya ubaguzi wa rangi. Na wakiuimba melody ni almost hiyohiyo!! Huyo Torozobi anaejidai kautunga ni mwizi tu wa haki miliki!!!
 
Wa-Tanzania kwa visebengo Hatujambo! Yaani sasa hivi tumegeukia Wimbo, la Katiba hatujamaliza watu mmeanza tena wimbo wa Taifa! Hebu tuache masikhara waungwana. Safari moja huanzisha nyingine tumalize kwanza Katiba ndo tuje kwenye wimbo kama kuna ulazima. Ingawa kwangu sioni ubaya wa kumtaja Mungu maana yeye ndiye anayetupa hekima, maarifa na nguvu ya kufanya kazi vizuri. Kikubwa tuwadhibiti hawa mafisadi hapo ndo Taifa litaenda mbele. Wimbo tu hauwezi kutufikisha popote.

Kweli wimbo hauwezi kutufikisha popote lakini huu wimbo umejaaaaa unyonge unyonge. Kummbuka hata hayo maadishi ya katiba hayawezi kutufikisha popote vile vile.

Huu wimbo toka tukiwa wototo tumeimbishwa toka tukiwa wadogo . Wimbo unatakiwa uonyeshe morari. Sio kitu kikubwa lakini ukiangalia kwa nini watanzania tunakuwa wanyonge wanyoge kwenye soko la frika mashariki ajira, etc ni vtu vidogo vidogo kama hivi vimechangia
 
Mungu ibariki Afrika- kwa nn ubeti wa kwanza uanze na africa. No priority
Wabariki Viongozi wake
Hekima Umoja na Amani I think neno uzalendo nila muhimu
Hizi ni ngao zetu
Afrika na watu wake.

CHORUS:
Ibariki Afrika(x2)
Tubariki watoto wa Afrika.

Mungu ibariki Tanzania
Dumisha uhuru na Umoja- are these two the only or most important
Wake kwa Waume na Watoto
Mungu Ibariki Tanzania na watu wake.

CHORUS:
Ibariki Tanzania(x2)
Tubariki watoto wa Tanzania.


Nyongeza
Huu wimbo umekaa kama tunamlilia lia mungu. why kwann tusitunge wimbo wa kuonyehs wajibu wetu sababu huyo mungu katupa akili.

Serikali yetu haina dini kwa nn mungu atajwe kwenye beti zote. Zitunge betiza kuhamashiha watu wafanye kazi, watoe haki na kuwa huru. Though I belivein God kwa serikali it too much

Nawasilisha kwa mjadala

Ubeti wa kwanza lazima uanze na Afrika kwa kuwa Tanzania ipo ndani ya Afrika(ni nchi iliyopo Afrika) .Nchi nyingine za Afrika lazima zibarikiwe kwanza na ndipo ibarikiwe Tanzania.Nchi za Afrika zisipokuwa salama(zikiwa na njaa na vita) basi na Tanzania haitakuwa salama

Hekima+ Umoja = Uzalendo,kwa kuwa hekima ya viongozi pamoja na umoja wao na watanzania utafanya kusiwe na ubinafsi ambao hupelekea ufisadi.Hekima ikizidi hutambua kuwa hii mali ni ya umma na huo ndio uzalendo wenyewe


Uhuru,hapa tunamuomba Mungu adumishe uhuru wetu,uhuru wa nchi kujiamulia mambo yake yenyewe kupitia ngazi nyingi za kata,wilaya,mkoa hadi Taifa BADALA ya kuamuliwa na watu toka mataifa mengine.Umoja ,hapa lazima tumuombe Mungu atuzidishie umoja kati ya watanzania,muungano wa Tanzania uzidi kudumu ili Tanzania ipate maendeleo


Kumbuka Mungu yupo japo serikali haina dini lakini watu wa Tanzania wana dini jiulize huo wimbo unaimbwa na nani?,unaimbwa na wanadamu(watanzania) ambao wana dini.
Pia unapofanya jambo lolote lazima umtangalize Mungu bila kujali wewe ni dini gani.

Kuhamasisha watu wafanye kazi,hii ni kazi ya viongozi ambao nao wanabarikiwa kupitia wimbo huu.


MWISHO : Hakuna haja ya kubadilisha wimbo wa Taifa ,mtoa hoja hana hoja ya msingi.Maana tukiacha craps hizi za kubadili wimbo wa taifa ziendelee basi mtatuletea craps nyingine za kubadili bendera ya taifa(ujinga)
 
ushauri wako ni mzuri, ila kuna siku nilisika kuwa huu wimbo umenyambulishwa kutoka nyimbo za kanisa so kama ni kweli basi mungu lazima atajwe kila mahali kutaka msaada. Huo wimbo ulivyo hauna tofauti na wale ndugu zetu waliohamia pale uwanja wa ndege Dar wakitarajia kupitia jina la bwana wangeenda ulaya kwenda kuhubiri neno lake na matokeo yake wakaishia kuugulia njaa na kuomba msaada. sisi bila kujishughulisha hakutatengeneza differences, napendekeza hata mimi kuwa tuache tu kumtegemea mungu bila ya sisi kujishughulisha. wewe mvua inanyesha halafu umelala huku ukiomba mungu uvune mahindi, hivi huu siutakuwa uchizi? tunaambiwa kuwa mungu habadilishi yaliyo kwa binadamu mpaka yeye (binadamu) abadilishe yaliyo kwenye moyo (matendo) wake. naunga mkono huu wimbo ubadilishwe
Nawasilisha.

ustaadh umetohoa ktk quran?
 
Wimbo wa Taifa United Kingdom:
God Save the Queen

God save our gracious Queen,
Long live our noble Queen,
God save the Queen!
Send her victorious,
Happy and glorious,
Long to reign over us,
God save the Queen!

O lord God arise,
Scatter our enemies,
And make them fall!
Confound their knavish tricks,
Confuse their politics,
On you our hopes we fix,
God save the Queen!

Not in this land alone,
But be God's mercies known,
From shore to shore!
Lord make the nations see,
That men should brothers be,
And form one family,
The wide world ov'er

From every latent foe,
From the assasins blow,
God save the Queen!
O'er her thine arm extend,
For Britain's sake defend,
Our mother, prince, and friend,
God save the Queen!

Thy choicest gifts in store,
On her be pleased to pour,
Long may she reign!
May she defend our laws,
And ever give us cause,
To sing with heart and voice,
God save the Queen!




Wimbo wa Taifa USA
United States of America:

The Star Spangled Banner

Oh, say! can you see by the dawn's early light
What so proudly we hailed at the twilight's last gleaming;
Whose broad stripes and bright stars, through the perilous fight,
O'er the ramparts we watched were so gallantly streaming?
And the rocket's red glare, the bombs bursting in air,
Gave proof through the night that our flag was still there:
Oh, say! does that star-spangled banner yet wave
O'er the land of the free and the home of the brave?

On the shore, dimly seen through the mists of the deep,
Where the foe's haughty host in dread silence reposes,
What is that which the breeze, o'er the towering steep,
As it fitfully blows, half conceals, half discloses?
Now it catches the gleam of the morning's first beam,
In fully glory reflected now shines in the stream:
'Tis the star-spangled banner! Oh, long may it wave
O'er the land of the free and the home of the brave!

And where is that band who so vauntingly swore
That the havoc of war and the battle's confusion
A home and a country should leave us no more?
Their blood has washed out their foul footsteps' pollution!
No refuge could save the hireling and slave
From the terror of flight or the gloom of the grave:
And the star-spangled banner in triumph doth wave
O'er the land of the free and the home of the brave.

Oh, thus be it ever, when freemen shall stand
Between their loved home and the war's desolation!
Blest with victory and peace, may the heav'n-rescued land
Praise the Power that hath made and preserved us a nation!
Then conquer we must, when our cause it is just,
And this be our motto: "In God is our trust":
And the star-spangled banner in triumph shall wave
O'er the land of the free and the home of the brave.


Baada ya kutizama nyimbo za Kenya, Uingereza, USA bado nasema wimbo wa Taifa la Tanzania ni bora kabisa na una maneno/mistari ya kujenga Umoja wa Taifa letu la Tanzania huku Amani na Umoja ndiyo ngao yetu dhini ya mapungufu yote ya kibinadamu kama kukosa uzalendo, umoja wa Afrika kupata sauti Umoja-Wa-Mataifa, World Trade Org, IMF/WORLD.


Verdict: Hakuna haja ya kurekebisha wimbo wetu kwa sasa.
 
Huu wimbo ulitungwa wakati wa "Zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM",

Wabariki Viongozi wake - yaani viongozi tu ndio wabarikiwe, sisi wengine tubaki kama tulivyo?
Ndio maana kweli viongozi wamebarikiwa

Kiongozi hapa nakupigia saluti. Tunamuomba mungu awabariki viongozi wetu, inatia kinyaa na kichefufu pale unapowaombea viongozi baraka ili wawatumikie mafizadi na matumbo yao wakiwaacha wananchi, taabu kwelikweli lazima ubadilishwe.
 
Mungu ibariki Afrika
Wabariki viongozi wake
Hekima, umoja na amani
Hizi ni ngao zetu
Afrika na watu wake
Ibariki, Afrika
Ibariki, Afrika
Tubariki, watoto wa Afrika
Mungu ibariki Tanzania
Dumisha uhuru na umoja
Wake kwa waume na watoto
Mungu, ibariki
Tanzania, na watu wake
Ibariki, Tanzania
Ibariki, Tanzania
Tubariki, watoto wa Tanzania

UMEONA SEHEMU YENYE NYEKUNDU TOA HIYO WEKA NENO LOLOTE ULIPENDALO.
 
Walaani viongozi waake.. Wabadili vioongozi waake.. Waadhibu vioongozi wake...
 
Badala ya VIONGOZI weka WANANCHI; Wabariki wananchi wake! Ni haramu kuwaombea hawa [Viongozi] mafedhuli na wezi wakubwa!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom