Mapumziko ya Rais Magufuli Chato ni fundisho

Mapumziko ya Rais Magufuli Chato ni fundisho

akiwa chato anatakiwa wooote waliomsindikiza wawe wanakula mihogo, viazi, magimbi chai ya rangi hili kupunguza gharama na kuwasapoti wakulima wa kule.
 
Nimeyapenda sana hayo maneno niliyoyawekea rangi kumjibu babati. Hawa vijana wa siku hizi wanafikiri kizungu ni cha maana sana duniani wakati katika lugha zinazoongewa sana duniani, kiswahili kinashika nafasi ya 12
Wanaudhi sana hawa vijana.

Havome
 
20106368_241563543016835_7238558496293464612_n.jpg
 
Hayo ni matatizo ya kuhamishia busara katika kidole cha mwisho miguuni, ndio umeambiwa grow wise because you are posting none sense points
2015 mpaka leo una like 11 sababu ya upuuzi wako, watu hawazikubali point zako, shabikia CCM utakiona cha moto muulize Diallo leo sembese wewe sisimizi.
 
Unajua labda uwe umetumwa ila nadhani umesahau kwamba hakuna rais aliyekuwa anaenda mapumziko nje ya nchi hiyo sijawahi kusikia. Mkapa alikuwa anaenda Masasi na Lushoto, Mkwere yeye alikuwa anaenda zake hapo msoga na Serengeti anatalii ndani. sasa hili la huyu kwenda Chato sidhani kama ni ishu sana maana nae amejenga kwako kama marais wote walivyofanya. Mambo mengine mnayarusha yako very cheap.
 
Mwenyewe nimeongeza juhudi maradufu za kuweka akiba Magu kaza mzee acha majizi yajinyongeee

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Ni hivi wakuu, kama wewe ni "kipenzi cha watu" = katika uwepo wako, watu watakuwa na furaha, amani, upendo na umoja.

Watu watakuona wewe kama kitu cha kuwapa nguvu/motisha - hii inapelekea uchumi wa mtu mmojammoja kukua siku hata siku!

Ni kanuni!

LoRd JeSuS ChRiSt - The Creator Of All.
 

Wakati wa kampeni za urais kuna mtu alikutwa anatambika na kuloga huko makuburini nyumbani...!
 
Akisikia masamaki ametoka, atakatisha mapumziko.

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Mwaka huu tutaona mengi hadi likizo ni kitu cha kusifia?
Mkuu mwaka huu tutayaona mengi kweli. Mapumziko ulyanasifiwa kweli???
Ni mstaafu yupi wa nchi aliyeenda kupumzika njee ya nchi???

7000 hazitoacha watu salama. Atajitokeza mwingine atasema mkulu ni hb

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Ina maana wazungu wanaokuja kupumzika mbunga zetu za Serengeti hawana uzalendo na nchi zao...si ndio!
 
😀😀😀😀😀, I see. Watu mna utani sana. Kwani aliandika PhD yake kwa Lugha ipi hasa?
Itakua aliandika kwa kisukuma mkuu..
Hahahaha.... Watu hawana maana. phd tukufu isiyojua English
Inabidi iundiwe tume ikachunguze phd iyo kwa kweli

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Itakua aliandika kwa kisukuma mkuu..
Hahahaha.... Watu hawana maana. phd tukufu isiyojua English
Inabidi iundiwe tume ikachunguze phd iyo kwa kweli

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Mkuu naomba usiguse suala la PhD yake, tutaingia matatani sasa hivi.
 
Back
Top Bottom