Unaandikaje kwa kiswahili?!David camp -camp david
Unaandikaje kwa kiswahili?!David camp -camp david
hata watumishi siku 28 zinawatosha sana. au unadhani yeye magu anazidisha siku hizo??? anaweza kwenda chato hata mara4 kwa mwaka kwa siku 7 x4=28days.Kwanini watumishi wengine wa serikali wasipewe nafasi ya kupumzika mara kwa mara kama yeye? Au wao likizo ya mara moja kwa mwaka inawatosha? Tuanzie hapo kwanza.
Wote wakienda vocation china au uturuki wanakijua kituruki au kichina?,au mspanish akija kutalii mbuga za wanyama ngorongoro lazima akijue kiswahili?,jiongeze basi na wewe kidogoAkapumzike ng'ambo kwa lugha ipi ambayo atakuwa anatumia?
Tofauti kiongozi na raia wa kawaida,Wote wakienda vocation china au uturuki wanakijua kituruki au kichina?,au mspanish akija kutalii mbuga za wanyama ngorongoro lazima akijue kiswahili?,jiongeze basi na wewe kidogo
ploudly ngosha [emoji243][emoji243][emoji243]
Akapumzike ng'ambo kwa lugha ipi ambayo atakuwa anatumia?
oh basi vizuri...msalimie,Yaani unashindwa kusoma barua ndani ya Bahasha. yaani umeshindwa kuona H pale karibu na kidole gumba?
Ngonja nikusomee. Imeandikwa I love my Home Country. Neno love limebebwa na picha ya moyo.
Nasikia huyu ni Mhenga aliyesema Asiyefanya kazi Asile
Yaani mkuu huoni Mkulu akiwa mapumzikoni pia wafanyakazi wanapumzika? Wanaombea aongeze likizo ziwe nyingi ili wapumue kidogo.Kwanini watumishi wengine wa serikali wasipewe nafasi ya kupumzika mara kwa mara kama yeye? Au wao likizo ya mara moja kwa mwaka inawatosha? Tuanzie hapo kwanza.
Akapumzike ng'ambo kwa lugha ipi ambayo atakuwa anatumia?
Anafahamu kizungu kuliko wewe. Lakini hata kama angekuwa hafahamu, angeweza kwenda na hela yako mwenyewe ingelipa wakalimani. Grow wise kijana. Huyo ni Rais wa Jamhuri siyo mhuni mwenziyo.Akapumzike ng'ambo kwa lugha ipi ambayo atakuwa anatumia?
Endelea kulamba miguu yake.Anafahamu kizungu kuliko wewe. Lakini hata kama angekuwa hafahamu, angeweza kwenda na hela yako mwenyewe ingelipa wakalimani. Grow wise kijana. Huyo ni Rais wa Jamhuri siyo mhuni mwenziyo.
Havome
natamani nijue hii tshirt imeandikwa nini..Eniwei tunamtakia mapumziko mema, akitoka huko aje kuendelea kunyoosha majizi
Anafahamu kizungu kuliko wewe. Lakini hata kama angekuwa hafahamu, angeweza kwenda na hela yako mwenyewe ingelipa wakalimani. Grow wise kijana. Huyo ni Rais wa Jamhuri siyo mhuni mwenziyo.
Havome