Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,247
Pamoja na juhudi kubwa za Mamluki walioingilia mapokezi ya Yanga kuchomekea mabango yenye Picha za Samia Suluhu (Haifahamiki Malengo yao) lakini kutokana na Wingi wa Watu kwenye eneo la Uwanja wa ndege, mabango hayo yameishia kupuuzwa na kukanyagwa na wananchi waliojazana uwanjani hapo.
Wala hakuna aliyeyaokota baada ya kukanyagwa.
Unadhani kwanini wananchi wamepuuza huu ujinga wa Mabango?
Pia soma: Mambo haya ndio yanaidharaulisha Nchi yetu hadi kuonekana imekufa
Wala hakuna aliyeyaokota baada ya kukanyagwa.
Unadhani kwanini wananchi wamepuuza huu ujinga wa Mabango?
Pia soma: Mambo haya ndio yanaidharaulisha Nchi yetu hadi kuonekana imekufa