Mapokezi ya mgombea urais CCM Kibaigwa-Dodoma

Mapokezi ya mgombea urais CCM Kibaigwa-Dodoma

toto2000

Member
Joined
Aug 24, 2025
Posts
24
Reaction score
7
"Kibaigwa tumeshuhudia historia ikijengwa—umoja na maendeleo mbele kwa mbele! ✊🌍
1756619637955.png
 
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿📌
KIBAIGWA imethibitisha mapokezi ya kishindo kwa mgombea Urais kupitia tiketi ya chama chama Mapinduzi hakika Dodoma jambo limeitaika.

#Haijapatakutokea
#KurayakwanzaKwaSamia
IMG-20250831-WA0057.jpg
IMG-20250831-WA0056.jpg
IMG-20250831-WA0055.jpg
 

Attachments

  • IMG-20250831-WA0057.jpg
    IMG-20250831-WA0057.jpg
    232 KB · Views: 20
  • IMG-20250831-WA0056.jpg
    IMG-20250831-WA0056.jpg
    113.7 KB · Views: 18
  • IMG-20250831-WA0055.jpg
    IMG-20250831-WA0055.jpg
    138.7 KB · Views: 23
Wagogo hawana tofauti na morogoro wamejaa vilaza watupu
 
Wagogo hawana tofauti na morogoro wamejaa vilaza watupu
Sawa lkn October 28 tunajazana asubui kwenda kutiki CCM ni mpango wa Mungu kwajili ya Amani ya Tanzania. MAMA SAMIA m5 tena.
 
Uzuri mnajambiana wenyewe kwa wenyewe sisi tuko pembeni tunavuta oxygen
Hapo Swafiiiii kodoeni macho tu wana CCM tupo kwenye Sherehe zetu kwa miezi 2 ivi.
Matukio yetu ya Amani kwa wenye kupenda Amani ya nchi yao. Enjoy mkuu October tunatiki ✅️
 
Picha ya umati wa watu ya AI hii

Samia hapendwi nchi nzima.
 
Sawa lkn October 28 tunajazana asubui kwenda kutiki CCM ni mpango wa Mungu kwajili ya Amani ya Tanzania. MAMA SAMIA m5 tena.
Mtaenda nyie mnaenda kuhalalisha mafisadi kuendelea kuifilisi nchi huo mida mimi sinao kabisa
 
Back
Top Bottom