Mapokezi ya CHADEMA Kigoma Yamshangaza Lema

Mapokezi ya CHADEMA Kigoma Yamshangaza Lema

Hapana mkuu hili siyo Tumaini lililorejea , bali ni TUMAINI LILILONG'AAVU kwa kila Mtanzania mpenda mabadiliko.

Pamoja sana Mkuu wangu.

Tumshukuru sana Mungu kutupatia zawadi ya Chadema Tanzania.
 
tupia picha tafadhali tupate kuona huo umati kusadikisha unachokisema.
vyenginevyo muongo
 
Alikuwa TLP kwa Mrema. Ila anaijua CHADEMA kuliko aliowakuta, Thats why i hate working with Less educated People! They Tend to Know Everthing while they know nothing..Poor LEMA.

Alisema mwaka 2000 walikuwapo madiwani 11 katika jimbo la Zitto la Kigoma Kaskazini, lakini mwaka 2005 alipogombea walipungua na kubakia sita na kwamba mwaka 2010 walipungua zaidi na kubakia wawili, hivyo hakuna ukweli kuwa amekijenga chama katika jimbo lake.

Vipi mkuu , hii takwimu unaizungumziaje? ilikuwa ni kuporomoka kwa chadema kigoma au kukua kwa chadema kigoma?
 
Pamoja sana Mkuu wangu.

Tumshukuru sana Mungu kutupatia zawadi ya Chadema Tanzania.

Huu moto uliowashwa kwa mashambulizi ya kushtukiza ya operesheni pamoja daima itakuwa imewagusa watanzania wengi sana na zaidi sasa wataendelea kuamini chadema kuna vichwa vizuri na hawabahatishi mambo.
 
Vipi mkuu , hii takwimu unaizungumziaje? ilikuwa ni kuporomoka kwa chadema kigoma au kukua kwa chadema kigoma?

sawa kamanda nakiri ni kuyumba kwa chadema kigoma.....sasa ili kutenda haki, kwa heshima na taadhima tuwekee takwimu za jimbo la hai kwa mbowe (KUB).
tuambia ni madiwani wa chama gani ni wengi na kwa nn?!
 
Saliti Zitto aje huku ajibu maswali ya watu humu. Kumbe umetumika sana kukibomoa chama na kwa hakika nina hakika viti hivyo vya madiwani vilivyoshuka toka 11 2000 hadi 2 mwaka 2010 vitakuwa vilienda CCM au CUF. Amekuwa akikiuza chama kwa muda mrefu sana, sasa ameumbuka mchana kweupe. Amekaa kimya hasikiki na itakuwa hivyo milele.
 
Na wanaosema Lema hafai je number imepungua au imeongezeka na soon itaongezeka zaidi?

sawa kamanda nakiri ni kuyumba kwa chadema kigoma.....sasa ili kutenda haki, kwa heshima na taadhima tuwekee takwimu za jimbo la hai kwa mbowe (KUB).
tuambia ni madiwani wa chama gani ni wengi na kwa nn?!
 
Yaani silikubali hili jini(Zito) lifie mbali huko na mapanya yake.
 
Hivi mwaka 2000 na mwaka 2005 Huyu ndugu Godbless J Lema. alikuwa yuko chama gani???
Mkono Luzuba,
Labda tungejiuliza Maswali mepesi Kabisa.

1. Mwaka 2000 CHADEMA ilikuwa na Madiwani wangapi Arusha Mjini ?
2. Mwaka 2005 CHADEMA ilikuwa na Madiwani wangapi Arusha Mjini?
3. Mwaka 2010 CHADEMA ilikuwa na Madiwani wangapi Arusha Mjini?

Halafu tuki Compare na hii ya Kigoma

1. Mwaka 2000 CHADEMA ilikuwa na Madiwani wangapi Kigoma Kaskazini ? =11
2. Mwaka 2005 CHADEMA ilikuwa na Madiwani wangapi Kigoma Kaskazini ? = 6
3. Mwaka 2010 CHADEMA ilikuwa na Madiwani wangapi Kigoma Kaskazini ? = 2

Then baada ya hapo tutakuwa katika nafasi ya Kusema ni nani Mzigo kati ya Lema na Zitto.
Simple
 
Last edited by a moderator:
'''Alisema mwaka 2000 walikuwapo madiwani 11 katika jimbo la Zitto la Kigoma Kaskazini, lakini mwaka 2005 alipogombea walipungua na kubakia sita(6) na kwamba mwaka 2010 walipungua zaidi na kubakia wawili(2), hivyo hakuna ukweli kuwa amekijenga chama katika jimbo lake.'''

Ebu tupe ufafanuzi juu ya hiki kilichoandikwa hapo juu ni kweli au ni uongo, na kama ni kweli hii kauli yako ya kusema mtu anasema uongo tuieleweje? kwa hiyo wewe ndio utakuwa muongo kwa kutokubaliana na ukweli.

pamoja na hayo molemo kaweka source ya habari kuwa ni Nipashe, sasa uongo wake ni ni upi hapo?
 
Back
Top Bottom