Laurean Rugambwa
Member
- Jan 11, 2014
- 58
- 3
Da!, kumbe dogo mnafik hivyo?!
Mbona povu linakitoka kulikoni??huyu
aisee,kumbe huyu kabwe amehujumu hadi kigoma,kutoka madiwani 11 hadi 2!!!
Yesu alisema kuwa anayesamehewa deni kubwa huwa anapenda zaidihuyu
Mbona povu linakitoka kulikoni??
mkuu, tatizo mie sikubali kukaririshwa kama kasuku.....LAZIMA nihoji siwezi kuwa kama msukule!!![]()
naunga mkono sana tu mabadiliko ya kisiasa 2015 BILA kuhusisha zengwe dhidi ya wenzetu wenye mawazo tofauti - vinginevyo chadema na maccm itakuwa ni wale wale, tofauti itakuwa ni majina tu!!
Hii nchi hiko huru na kila mtu yuko huru kwenda popote.
Sasa subiri uone zitto anatangaza kwenda arusha au mbeya uone jinsi ambavyo bavicha na chadema watakavyo anza kulia na kuahidi kufanya vurugu.
Hakika zitto ni kiboko ya chadema ndio maana wana timia muda mwingi kumjadili yeye.
Hivi mwaka 2000 na mwaka 2005 Huyu ndugu Godbless J Lema. alikuwa yuko chama gani???
Acha uongo mtu mzima!!!!
Wana Kigoma tumeshagundua uongo na ukanda mliouweka mbele kuliko kitu chochote.
Mbona maswali yote tuliyouliza juu za ZITTO hayakujibiwa, walijiumauma kama vile wamelewa mbege?????
Heko chadema , heko operesheni M4C pamoja daima. Watanzania tulikuwa kama yatima ila sasa tumaini linameremeta.
Pole umejifia kimawazo