Mapokezi Makubwa kwa Dr.Slaa

Mapokezi Makubwa kwa Dr.Slaa

Vijana nawapa ushauri wa bure msidhani Chadema wapo kwa ajili ya kuwakwamua kimaisha siyo kweli.

Serikali ya mtu ni kichwa chake mwenyewe siri ya mafanikio ni kufanya kazi.

Usitegeme kushinda vijiweni na kujipa matumaini kuwa Chadema wakichukuwa nchi watagawa pesa.

Kama uliisikiliza na kuisoma Hotuba ya jana ya Dr Slaa na mahojiano aliyoyafanya je hiki ulichokiandika hapo kwenye RED kina maana na msingi wowote?
 
Ni muhimu kumpokea Dr. Slaa kwa wingi wetu, na kumtia moyo. Si kitu kidogo kufanya kazi kubwa kama aliyoifanya Marekani.

Kwa wale wanaodhani Slaa ni Mzee mno kuwa Rais niwajibu hivi:

Mwai Kibaki alizaliwa mwaka 1931. Alianza kuwa Rais akiwa na miaka 71. Aliendelea kuwa Rais mpaka akafikisha miaka 81. Na Kenya ya leo ina mchango mkubwa sana toka kwa Mwai Kibaki.

Dr. Slaa alizaliwa mwaka 1948. Ana mika 65 tu. Ni rika moja na Rais Kikwete.

Rais Mstaafu Mandela wa Afrika ya Kusini alikuwa Rais mwaka 1984, akiwa na umri wa miaka 75. Na hakuna ubishi kwamba alikuwa kiongozi mzuri sana.

CCM is in tatters. Lakini kuna wachumia tumbo ambao wanaitetea kwa nguvu zote. Mie naona tuwaaache wapige kelele ila sisi twende tumpokee na kumpongeza mpendwa wetu Dr. Slaa.
 
Ni muhimu kumpokea Dr. Slaa kwa wingi wetu, na kumtia moyo. Si kitu kidogo kufanya kazi kubwa kama aliyoifanya Marekani.

Kwa wale wanaodhani Slaa ni Mzee mno kuwa Rais niwajibu hivi:

Mwai Kibaki alizaliwa mwaka 1931. Alianza kuwa Rais akiwa na miaka 71. Aliendelea kuwa Rais mpaka akafikisha miaka 81. Na Kenya ya leo ina mchango mkubwa sana toka kwa Mwai Kibaki.

Dr. Slaa alizaliwa mwaka 1948. Ana mika 65 tu. Ni rika moja na Rais Kikwete.

Rais Mstaafu Mandela wa Afrika ya Kusini alikuwa Rais mwaka 1984, akiwa na umri wa miaka 75. Na hakuna ubishi kwamba alikuwa kiongozi mzuri sana.

CCM is in tatters. Lakini kuna wachumia tumbo ambao wanaitetea kwa nguvu zote. Mie naona tuwaaache wapige kelele ila sisi twende tumpokee na kumpongeza mpendwa wetu Dr. Slaa.

Watu kama huyu mara nyingi huwa hawajitokezi kwenye maandamano. Huwa wanaangalia kwenye TV tu!

Vijana kuweni makini...
 
Honeymoon imekwisha, mabilioni yameteketea, Josephine amejifunza kuvaa viatu. Soon tutamuona ndani ya high heel
 
Fanyeni kazi mjiingize kipato chenu halali.

Msipoteze muda wenu kwa ajili ya mtu anayeandaa maisha yake binafsi ya kustaafu...

Hayakuhusu! Nani kakuambia hatuna kazi kama wewe unayeshinda kwrnye internet? Najua inakukera sana juu ya Dr Slaa, njaa itakuua wewe makopo.
 
Vijana nawapa ushauri wa bure msidhani Chadema wapo kwa ajili ya kuwakwamua kimaisha siyo kweli. Serikali ya mtu ni kichwa chake mwenyewe siri ya mafanikio ni kufanya kazi. Usitegeme kushinda vijiweni na kujipa matumaini kuwa Chadema wakichukuwa nchi watagawa pesa.
Kazi ya ufisadi au kazi gani? Hizo ajira millioni 1 walizodanganywa watanzania ndizo zipi? Za kuuza unga?? Maisha bora yako wapi???? Utumbo!!!!!!!
 
Niko mbali na Dar, lakini wazo la kumpokea Dr. ni jema na kupangwa vizuri. Lengo liwekuwaonesha watanzania alichokifanya kupitia vyombo vyetu vya mawasialiano. Wachache wetu tumejua kupitia mitandao ambayo maskini wengi waliitengenezwa kwa makusudi hawawezi kujua.

CDM iakikishe ulinzi wa Dr. Slaa unaimalishwa zaidi na kuratibu safari zake za ndani ya nchi kwa umahiri zaidi. Tunaitaji kusikia alichojifunza na nini atawafanyia watanzania na taifa.

Ukitaka kujua umuhimu wa safari ya Dr. huko US ni nguvu kubwa ya upinzani wa magamba mitandaoni na gharama zilizochangwa na magamba ( nisijue tiss kama walijua safari yake) kumpeleka Nchemba huko alikokuwa Dr kuvuruga safari hizo. Swali hapa ilikuwaje ccm na cdm wawe na ziara sawa za kivyama huko us na uk kama si jajnja ya magamba.
 
Vijana acheni ushabiki wa kipuuzi, jifanyieni shughuli za kuzalisha mali ili mjipatie kipato.

Huyo babu Slaa ni mtu wa kupita tu, muda wenu una thamani sana kama mkiutumia vizuri.

Hakuna binadamu aliyezaliwa kumshangilia mwenzake, we all suppose to be winners.

Acha bangi na viroba wewe...ujira wa buku 7 Lumumba unakupa kiburi,kalia buku 7 Lumumba huku Jk akipora rasilimali za watz kwenda kubembea nje na kupiga picha na wasanii wa nje.Utakuwa na akili za mara nimeambiwa,nimesimuliwa kama bibi na mjukuu wake wakisimuliana hadithi za sungura na fisi.Halafu maccm mnafanya masihara sana na maisha ya watz eti nimeambiwa,nimesimuliwa...hii ndo hotuba mbovu kuliko zote,linganisha hotuba ya DR.Slaa utajua ni nani ana PhD ya kutafuta na PhD ya kupewa kama shukrani za kupora raslimali za watz.
 
Kila nikikuona nakumbuka ulivyokata mauno vizuri kwenye muziki wa Bob Rudala akiwa na In Afrika band! Si mchezo!!!! Siku hizi umeacha? Mbona hata Twanga pepeta hawakuimbi tena? Au ndo uwefulia?

Na wewe kakate mauno katika mapokezi ya babu atakaporudi kwenye fungate la Marekani na girlfriend wake
 
Vijana nawapa ushauri wa bure msidhani Chadema wapo kwa ajili ya kuwakwamua kimaisha siyo kweli.

Serikali ya mtu ni kichwa chake mwenyewe siri ya mafanikio ni kufanya kazi.

Usitegeme kushinda vijiweni na kujipa matumaini kuwa Chadema wakichukuwa nchi watagawa pesa.
Kweli hicho kichwa chako kinawaza madawa tu nani kasema chadema wakichukua nchi watagawa hela? Au unaifanisha na liccm ambalo limeuza nchi kwa wachina kwa ajili yako? Acha hizo bana.
 
Watu kama huyu mara nyingi huwa hawajitokezi kwenye maandamano. Huwa wanaangalia kwenye TV tu!

Vijana kuweni makini...

Nani anasema ni maandamano? Kumpokea mtu anayerudi safari ni lazima iwe maandamano?

Dr.Slaa ni kipenzi nambari wani cha Watanzania. Akirudi safari ya kikazi lazima apokelewe kwa shangwe. Kwanini kinakuuma? Sitakuweko kwani niko mbali na Dar.
 
Kama uliisikiliza na kuisoma Hotuba ya jana ya Dr Slaa na mahojiano aliyoyafanya je hiki ulichokiandika hapo kwenye RED kina maana na msingi wowote?
Kamanda hapa kwani tunajadili hotuba ya Dr. Slaa au mapokezi yake.
 
Back
Top Bottom