Uchaguzi 2020 Mapokezi makubwa aliyopewa Lissu na wakazi wa Chato yana ujumbe mkubwa uliokuwa umejificha mioyoni mwao

Inawezekana wakazi wa Chato walikuwa wanaogopa kuwaeleza Watanzania kuwa ‘na sisi ni binadamu wenzenu tunaumia’, lkn kwa kujitokeza kwa wingi kiasi kile pengine zaidi ya walivyompokea Magufuli, ni dalili kuwa hata wao wamechoshwa na vile mtoto wao jirani yao Rais Magufuli alivyokuwa akiwatendea.

Tukiondoa vitendo vichache vya hapa na pale vya kupangwa alivyofanyiwa Lissu Chato, kitendo wachoonyesha ni sawa na kupeleka ujumbe kuwa tumepata sehemu angalau ya kupumulia, kutolea hisia zetu kwa vitendo.

Na mara nyingi mtoto akiwa na shida huogopa kumwambia baba yake lkn akija mjomba hujieleza bila hofu, wakazi wa Chato wamejieleza wazi.

Wenye akili tu wataelewa.

View attachment 1599379
Watanzania tuwasikilize wana Chato .............!!
 
Hapana acha uongo hiyo picha siyo ya chato acha kupotosha Lissu aliingia chato jion sana na mda ulikuwa umeenda haikuwa mchana kama ilivyo kwenye picha hiyo kawadanganye wajinga wenzio huko na mambo yenu ya kutumia picha za sehemu zingine
Unapajua chato au unabwabwaja tu, hiyo ni chato na nilikuwepo hivyo punguza muwasho
 
Akiwa sawa na tundu lissu afadhali kufilia mbali nikamzika. Mtu anayetumia watu ili anufaike wanini Kuishi hapa duniani
Nina uhakika Kabla ya kuisha mwaka huu lazima Kuna mwanafamilia wako atakufa Kabla ya LISSU ili tu Mungu adhihirishe ukuu wake kwako!Unaombea mke wa Baba yako age anakufa Mama yako
 
Inawezekana wakazi wa Chato walikuwa wanaogopa kuwaeleza Watanzania kuwa ‘na sisi ni binadamu wenzenu tunaumia’, lkn kwa kujitokeza kwa wingi kiasi kile pengine zaidi ya walivyompokea Magufuli, ni dalili kuwa hata wao wamechoshwa na vile mtoto wao jirani yao Rais Magufuli alivyokuwa akiwatendea.

Tukiondoa vitendo vichache vya hapa na pale vya kupangwa alivyofanyiwa Lissu Chato, kitendo wachoonyesha ni sawa na kupeleka ujumbe kuwa tumepata sehemu angalau ya kupumulia, kutolea hisia zetu kwa vitendo.

Na mara nyingi mtoto akiwa na shida huogopa kumwambia baba yake lkn akija mjomba hujieleza bila hofu, wakazi wa Chato wamejieleza wazi.

Wenye akili tu wataelewa.

View attachment 1599379
Jiwe hakubaliki nyumbani,ugenini na ughaibuni! Mabango yatampigia kura.
 
Inawezekana wakazi wa Chato walikuwa wanaogopa kuwaeleza Watanzania kuwa ‘na sisi ni binadamu wenzenu tunaumia’, lkn kwa kujitokeza kwa wingi kiasi kile pengine zaidi ya walivyompokea Magufuli, ni dalili kuwa hata wao wamechoshwa na vile mtoto wao jirani yao Rais Magufuli alivyokuwa akiwatendea.

Tukiondoa vitendo vichache vya hapa na pale vya kupangwa alivyofanyiwa Lissu Chato, kitendo wachoonyesha ni sawa na kupeleka ujumbe kuwa tumepata sehemu angalau ya kupumulia, kutolea hisia zetu kwa vitendo.

Na mara nyingi mtoto akiwa na shida huogopa kumwambia baba yake lkn akija mjomba hujieleza bila hofu, wakazi wa Chato wamejieleza wazi.

Wenye akili tu wataelewa.

View attachment 1599379
2014 chadema ilishinda karibu vijiji vyote hapo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa , kikiwemo kijiji anachoishi Magufuli wakati huo akiwa mbunge na Waziri
 
Inawezekana wakazi wa Chato walikuwa wanaogopa kuwaeleza Watanzania kuwa ‘na sisi ni binadamu wenzenu tunaumia’, lkn kwa kujitokeza kwa wingi kiasi kile pengine zaidi ya walivyompokea Magufuli, ni dalili kuwa hata wao wamechoshwa na vile mtoto wao jirani yao Rais Magufuli alivyokuwa akiwatendea.

Tukiondoa vitendo vichache vya hapa na pale vya kupangwa alivyofanyiwa Lissu Chato, kitendo wachoonyesha ni sawa na kupeleka ujumbe kuwa tumepata sehemu angalau ya kupumulia, kutolea hisia zetu kwa vitendo.

Na mara nyingi mtoto akiwa na shida huogopa kumwambia baba yake lkn akija mjomba hujieleza bila hofu, wakazi wa Chato wamejieleza wazi.

Wenye akili tu wataelewa.

View attachment 1599379
Si nasikia amepopolewa mawe!! Hii nyomi ya kutengeneza au? Lakini msema kweli ni tarehe 28/10/2020! Mwaka 2015 tuliona nyomi za Lowassa zilikuwa kufuru siyo hizi za Mbelgiji Lissu lakini Lowassa akaangukia pua sijui huyu Mbelgiji ataanguka kifudifudi au kwa tumbo ili mabwana zake wamalizie kazi.
 
Inawezekana wakazi wa Chato walikuwa wanaogopa kuwaeleza Watanzania kuwa ‘na sisi ni binadamu wenzenu tunaumia’, lkn kwa kujitokeza kwa wingi kiasi kile pengine zaidi ya walivyompokea Magufuli, ni dalili kuwa hata wao wamechoshwa na vile mtoto wao jirani yao Rais Magufuli alivyokuwa akiwatendea.

Tukiondoa vitendo vichache vya hapa na pale vya kupangwa alivyofanyiwa Lissu Chato, kitendo wachoonyesha ni sawa na kupeleka ujumbe kuwa tumepata sehemu angalau ya kupumulia, kutolea hisia zetu kwa vitendo.

Na mara nyingi mtoto akiwa na shida huogopa kumwambia baba yake lkn akija mjomba hujieleza bila hofu, wakazi wa Chato wamejieleza wazi.

Wenye akili tu wataelewa.

View attachment 1599379
Wale wa akili za kushikiwa na wenzao hawawezi kukuelewa Hadi baada ya oct.28
 
Inawezekana wakazi wa Chato walikuwa wanaogopa kuwaeleza Watanzania kuwa ‘na sisi ni binadamu wenzenu tunaumia’, lkn kwa kujitokeza kwa wingi kiasi kile pengine zaidi ya walivyompokea Magufuli, ni dalili kuwa hata wao wamechoshwa na vile mtoto wao jirani yao Rais Magufuli alivyokuwa akiwatendea.

Tukiondoa vitendo vichache vya hapa na pale vya kupangwa alivyofanyiwa Lissu Chato, kitendo wachoonyesha ni sawa na kupeleka ujumbe kuwa tumepata sehemu angalau ya kupumulia, kutolea hisia zetu kwa vitendo.

Na mara nyingi mtoto akiwa na shida huogopa kumwambia baba yake lkn akija mjomba hujieleza bila hofu, wakazi wa Chato wamejieleza wazi.

Wenye akili tu wataelewa.

View attachment 1599379
Mwenye kuona na aone. "People are expressing their agony and grief in action".
 
Na hapo hakuna bango , radio wala tv station inayotangaza uwepo wa huo mkutano, habari zake zinasambaa kama moto wa nyikani.
Pia hakuna fiesta wala mdundiko.. Aliwasusa Kilimanjaro, Arusha, Mbeya na Kagera, sasa aongeze Geita, Mwanza, Shinyanga na Singida.. Kazi anayo mzee wa visasi
 
Jiwe Hakuwa kushinda ubunge hata kwao hakubaliki thus kwa kumfanyia figisu mgombea wa chadema kwa kushirikiana na mkurugenzi ajjifiche Hadi mda wa kurejesha form ukapita akajipitisha bila kupingwa, thus ana chuki Sana na chadema haikuanza leo.
 
Back
Top Bottom