Lakini kumbuka wakati huo kisingizio kitakuwa ni kuwa wameibiwa kura30/10 ndio nitaandika maoni Kwenye hii post. janja janja zote zitakuwa hakuna tena...
Lakini kumbuka wakati huo kisingizio kitakuwa ni kuwa wameibiwa kura30/10 ndio nitaandika maoni Kwenye hii post. janja janja zote zitakuwa hakuna tena...
Watanzania tuwasikilize wana Chato .............!!Inawezekana wakazi wa Chato walikuwa wanaogopa kuwaeleza Watanzania kuwa ‘na sisi ni binadamu wenzenu tunaumia’, lkn kwa kujitokeza kwa wingi kiasi kile pengine zaidi ya walivyompokea Magufuli, ni dalili kuwa hata wao wamechoshwa na vile mtoto wao jirani yao Rais Magufuli alivyokuwa akiwatendea.
Tukiondoa vitendo vichache vya hapa na pale vya kupangwa alivyofanyiwa Lissu Chato, kitendo wachoonyesha ni sawa na kupeleka ujumbe kuwa tumepata sehemu angalau ya kupumulia, kutolea hisia zetu kwa vitendo.
Na mara nyingi mtoto akiwa na shida huogopa kumwambia baba yake lkn akija mjomba hujieleza bila hofu, wakazi wa Chato wamejieleza wazi.
Wenye akili tu wataelewa.
View attachment 1599379
Unapajua chato au unabwabwaja tu, hiyo ni chato na nilikuwepo hivyo punguza muwashoHapana acha uongo hiyo picha siyo ya chato acha kupotosha Lissu aliingia chato jion sana na mda ulikuwa umeenda haikuwa mchana kama ilivyo kwenye picha hiyo kawadanganye wajinga wenzio huko na mambo yenu ya kutumia picha za sehemu zingine
Hata Chato wapo wanawake weusi wengi. Hawatasikilizwa na Bwana yule. Nao wanatafuta Uhuru, Haki, na Maendeleo ya Watu.
Nina uhakika Kabla ya kuisha mwaka huu lazima Kuna mwanafamilia wako atakufa Kabla ya LISSU ili tu Mungu adhihirishe ukuu wake kwako!Unaombea mke wa Baba yako age anakufa Mama yakoAkiwa sawa na tundu lissu afadhali kufilia mbali nikamzika. Mtu anayetumia watu ili anufaike wanini Kuishi hapa duniani
Jiwe hakubaliki nyumbani,ugenini na ughaibuni! Mabango yatampigia kura.Inawezekana wakazi wa Chato walikuwa wanaogopa kuwaeleza Watanzania kuwa ‘na sisi ni binadamu wenzenu tunaumia’, lkn kwa kujitokeza kwa wingi kiasi kile pengine zaidi ya walivyompokea Magufuli, ni dalili kuwa hata wao wamechoshwa na vile mtoto wao jirani yao Rais Magufuli alivyokuwa akiwatendea.
Tukiondoa vitendo vichache vya hapa na pale vya kupangwa alivyofanyiwa Lissu Chato, kitendo wachoonyesha ni sawa na kupeleka ujumbe kuwa tumepata sehemu angalau ya kupumulia, kutolea hisia zetu kwa vitendo.
Na mara nyingi mtoto akiwa na shida huogopa kumwambia baba yake lkn akija mjomba hujieleza bila hofu, wakazi wa Chato wamejieleza wazi.
Wenye akili tu wataelewa.
View attachment 1599379
2014 chadema ilishinda karibu vijiji vyote hapo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa , kikiwemo kijiji anachoishi Magufuli wakati huo akiwa mbunge na WaziriInawezekana wakazi wa Chato walikuwa wanaogopa kuwaeleza Watanzania kuwa ‘na sisi ni binadamu wenzenu tunaumia’, lkn kwa kujitokeza kwa wingi kiasi kile pengine zaidi ya walivyompokea Magufuli, ni dalili kuwa hata wao wamechoshwa na vile mtoto wao jirani yao Rais Magufuli alivyokuwa akiwatendea.
Tukiondoa vitendo vichache vya hapa na pale vya kupangwa alivyofanyiwa Lissu Chato, kitendo wachoonyesha ni sawa na kupeleka ujumbe kuwa tumepata sehemu angalau ya kupumulia, kutolea hisia zetu kwa vitendo.
Na mara nyingi mtoto akiwa na shida huogopa kumwambia baba yake lkn akija mjomba hujieleza bila hofu, wakazi wa Chato wamejieleza wazi.
Wenye akili tu wataelewa.
View attachment 1599379
Si nasikia amepopolewa mawe!! Hii nyomi ya kutengeneza au? Lakini msema kweli ni tarehe 28/10/2020! Mwaka 2015 tuliona nyomi za Lowassa zilikuwa kufuru siyo hizi za Mbelgiji Lissu lakini Lowassa akaangukia pua sijui huyu Mbelgiji ataanguka kifudifudi au kwa tumbo ili mabwana zake wamalizie kazi.Inawezekana wakazi wa Chato walikuwa wanaogopa kuwaeleza Watanzania kuwa ‘na sisi ni binadamu wenzenu tunaumia’, lkn kwa kujitokeza kwa wingi kiasi kile pengine zaidi ya walivyompokea Magufuli, ni dalili kuwa hata wao wamechoshwa na vile mtoto wao jirani yao Rais Magufuli alivyokuwa akiwatendea.
Tukiondoa vitendo vichache vya hapa na pale vya kupangwa alivyofanyiwa Lissu Chato, kitendo wachoonyesha ni sawa na kupeleka ujumbe kuwa tumepata sehemu angalau ya kupumulia, kutolea hisia zetu kwa vitendo.
Na mara nyingi mtoto akiwa na shida huogopa kumwambia baba yake lkn akija mjomba hujieleza bila hofu, wakazi wa Chato wamejieleza wazi.
Wenye akili tu wataelewa.
View attachment 1599379
Tuliza mshono dada tarehe 28/10/2020 siyo mbali bado siku 13 tu.Jiwe hakubaliki nyumbani,ugenini na ughaibuni! Mabango yatampigia kura.
Wale wa akili za kushikiwa na wenzao hawawezi kukuelewa Hadi baada ya oct.28Inawezekana wakazi wa Chato walikuwa wanaogopa kuwaeleza Watanzania kuwa ‘na sisi ni binadamu wenzenu tunaumia’, lkn kwa kujitokeza kwa wingi kiasi kile pengine zaidi ya walivyompokea Magufuli, ni dalili kuwa hata wao wamechoshwa na vile mtoto wao jirani yao Rais Magufuli alivyokuwa akiwatendea.
Tukiondoa vitendo vichache vya hapa na pale vya kupangwa alivyofanyiwa Lissu Chato, kitendo wachoonyesha ni sawa na kupeleka ujumbe kuwa tumepata sehemu angalau ya kupumulia, kutolea hisia zetu kwa vitendo.
Na mara nyingi mtoto akiwa na shida huogopa kumwambia baba yake lkn akija mjomba hujieleza bila hofu, wakazi wa Chato wamejieleza wazi.
Wenye akili tu wataelewa.
View attachment 1599379
Itupwe hata ikanyagwe ,kanyagwe na watu.Chumvi ikiharibika ifanywe nini hadi ikolee?
Mwenye kuona na aone. "People are expressing their agony and grief in action".Inawezekana wakazi wa Chato walikuwa wanaogopa kuwaeleza Watanzania kuwa ‘na sisi ni binadamu wenzenu tunaumia’, lkn kwa kujitokeza kwa wingi kiasi kile pengine zaidi ya walivyompokea Magufuli, ni dalili kuwa hata wao wamechoshwa na vile mtoto wao jirani yao Rais Magufuli alivyokuwa akiwatendea.
Tukiondoa vitendo vichache vya hapa na pale vya kupangwa alivyofanyiwa Lissu Chato, kitendo wachoonyesha ni sawa na kupeleka ujumbe kuwa tumepata sehemu angalau ya kupumulia, kutolea hisia zetu kwa vitendo.
Na mara nyingi mtoto akiwa na shida huogopa kumwambia baba yake lkn akija mjomba hujieleza bila hofu, wakazi wa Chato wamejieleza wazi.
Wenye akili tu wataelewa.
View attachment 1599379
Jionee live video mwenyewe.Hii picha mbona ni Tunduma bwashee?
Pia hakuna fiesta wala mdundiko.. Aliwasusa Kilimanjaro, Arusha, Mbeya na Kagera, sasa aongeze Geita, Mwanza, Shinyanga na Singida.. Kazi anayo mzee wa visasiNa hapo hakuna bango , radio wala tv station inayotangaza uwepo wa huo mkutano, habari zake zinasambaa kama moto wa nyikani.
Usihangaike na huyo. Anaweza kujikataa mwenyewe kwa ajili ya CCM.Angalia na video zake kabisa.
Uchaguzi 2020 - Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu
Id kumi kumi za nini? Kwani Chadema wamekuwa MATAGA?Ndio Kawaida yenu kuwa na Misemo yakujazano Upepo tu kwa Vibendera Wenzie
Lakini Ukweli utabakia pale pale Huyo Hata 20% hatapata na Urais Atausikia tu JF kwa Vibendera wenye ID kumi kumi
Kaka desturi ya sisi wasukuma hua ni ukarimu wa kukaribisha wageni na kuwasikiliza ulifikiri hawata mpokea lisu maamuzi hua tunayo moyoniKutendewa jambo hili mahali ambapo ndio kama shina lako lilipo linakufunulia jambo kubwa sana ambalo unapaswa kutulia na kulitafakari kwa kina
Sent using Jamii Forums mobile app