Waungwana naombeni msaada wa kupika pilau simple bila nyama mana uchumi hauruhusu
na c lazma achemshe njegere.anaweza akapikia humohumo kipindi anaweka viungo.na km haina nyama anaweza akaweka nazi kwa ladha zaidWeka njegere ulizochemsha na viazi mwaya.
na c lazma achemshe njegere.anaweza akapikia humohumo kipindi anaweka viungo.na km haina nyama anaweza akaweka nazi kwa ladha zaid
bac apike la kawaida actie njegere wala nn zaid ya viungo.hiyo tunaita pilau bubuHe he hujamsikia ana budget Kali mwenzako nyama imemshinda nazi being juu.njegere hazishikiki
bac apike la kawaida actie njegere wala nn zaid ya viungo.hiyo tunaita pilau bubu
amu umeua.hapo aweke na jira japo inukie majirani wahamasike otherwise hhiyo ni pilau bubu au wali wa rangi.raha ya pilau nyama au samaki.Kweli kabisa name viungo anunue vile vya kwa mangi sh 50 hamsini hamsini tu lol
Haitanoga kabisa labda kama unataka upike pilau la maharage