Japo sijasoma zote kuna watu walio wengi wanaongea utumbo na kero za ajabu. kuna mijitu yanatamani vita. sio kama JK ni mzuri au serikali ni nzuri, kuna mapungufu ila sio ya kutangaza vita, uongozi sio lelemama! ni kumshukuru mungu tuliyonayo hata kama sio kwa kiwango stahili, ila ujue tumesogea sana
EMT,
Thanks alot for you contribution/clarification.Hata hivyo unahitaji tena kuisoma hiyo post yangu.By the way hebu ielezee hiyo demokrasia kwa mapana halafu tuangalie sisi tuna aina gani ya democracy.
Instead of the Tanzanian masses physically rebelling against the leaders, a rebellion that will leave the masses of Tanzanians dead or hurt, the masses must rebel instead against the lies and ignorance created by the gouvernment which keep the minds of Tanzanians people imprisoned and their mental strength weak. To make it plainer, the only rebellion the Tanzanian masses can win at this time is a mental revolution, which will put the Tanzanian masses in mental power. Then they will have the power to do anything else that may be necessary for complete liberation and well being.
We need a revolution/radical change, but it has to be planned. It has to be structured and it has to be timed. People have to be re-oriented that revolution doesn't mean tribal war or ethnic cleansing. They have to be reminded that there will be no looking back.By true revolution, I mean the complete uprooting and overturning of the status quo; who the powers are, how the economy runs, how regions integrate, refocusing of the media and other instituitions for positive propaganda and localisation of solutions
Revolution ought not to be envisioned as an attempt to transform Tanzania into a functional democratic nation-state because the motive behind the birthing of this nation-state by the colonials is exactly what we see on the ground today and that is: socio-political upheaval; a precondition for the sustainance of an economy of extraction. In other words, the Tanzania situatuion is not an accident rather it is the sole result of the social engineering of a diverse people. Tanzania cannot be reformed it can only be dismantled.
A revolution should be geared towards a forceful implementation of the most suitable political and economic structure for the diverse groups of peoples contained in that geopolitical area called Tanzania. Such a social structure would address and accomodate, most importantly, the divergent interests of all gruops invovled. A confederacy of sovereign ethnicities will do the trick.
The people are the resistance.It's true that anzanians fail to know we got a common attitude wether you like it or not we have a comfort zone mentality. We got people praying for a revolution,even U.S got them too but the more we keep growing the less we see in a revolution.There are those who like to talk all day, but some of us are just here looking for like-minded folks who are actually ready for change to step out with us, and start somewhere. Are you one of those?
Japo sijasoma zote kuna watu walio wengi wanaongea utumbo na kero za ajabu. kuna mijitu yanatamani vita. sio kama JK ni mzuri au serikali ni nzuri, kuna mapungufu ila sio ya kutangaza vita, uongozi sio lelemama! ni kumshukuru mungu tuliyonayo hata kama sio kwa kiwango stahili, ila ujue tumesogea sana
Nimeipenda hii busara uliyoitumia hongera sana. Wao wanaonekana kabisa kuwa hawawez uongozi lakini bado wanang'ang'ania. KEEP IT UP.Tanzania tupo zaidi ya Mil 40, ninaamini kati yetu wapo walio bora zaidi. Tunahitaji mtu mwenye uchungu na vision ya kuleta maendeleo....tumechoka na sanaa na maigizo
Wekeni Strategies hapa kuwa sasa tunafanyaje na tuna anzia wapi tuweke record mpya sasa kila ataye andika sasa na aweke ushauri wa kusonga mbele siyo simulizi za kale.
7.kama bado wataendelea kukatalia ndani ya ofisi za Umma tuombe kukutana na makamanda wa Jeshi la Ulinzi na tuwaeleze nia yetu njema juu ya nchni na tuwaombe ulinzi wakati wote tutakapo tumeziba barabara zote na viwanja vya ndege kwa kutoa shinikizo la mwisho".Quote
Mkuu hii hatua ya 7 inatakiwa ifanyike kwa umakini mkubwa. Labda kwa barua au simu (disposable) maana huwezi kujua response yao itakua vipi. Wasije wakapanga strategy zakusambaratisha kabla ya siku yenyewe. Lazima pawepo na njia yakuwafanya nao wasiwe na all the data e.g. kutowapa real date ya tukio etc. Itafika mahali ni lazima watu muhimu wanaoaminika kwenye hivyo strategy wawe wanaongea kwa codes kuepuka kumwaga mchele kwenye kuku wengi. I believe nia hasa nikufanya the whole process iwe na less casualities as possible; lakini pia kuhakikisha tunaikomboa nchi katika mikono ya mafisadi.
JK kabakiwa na Usalama wa Taifa lakini wananchi wote including majeshi yetu wamechoka ile mbayaKuna wakati nilikuwa naatend mafunzo fulani katika moja ya vyuo vya ufundi vya kijeshi hapa nchini. Na wakati wa mapumziko nilikuwa nimekaa na wanajeshi wapatao kama 30 had 40 hivi tunapiga story. Tulikuwa kwenye vikundi vya watu watatu hadi wanne tukipiga story.
Mimi nikaingiza tu wazo la hali ya nchi inavyokwenda na kuilaumu serikali akiwemo Rais Kikwete. I expected kwamba jeshi lingekuwa
kinyume na mimi or wangenishambulia. Huwezi amini, baada ya kuanzisha topic hiyo wanajeshi wote walinyamaza kimya wakanisogelea
kunisikiliza, na mmojawapo akasema yafuatayo: "Sisi kama jeshi hatuwezi kufanya mapinduzi, maana tukifanya hivyo tunaweza kujikuta tumekosa support ya wananchi. Ninyi wananchi ndiye mnayechangua serikali mnayoitaka, na sisi kama wanajeshi tunasimamia maamuzi ya wananchi. Lakini ikitokea kwamba wananchi hao hao walioichagua serikali wakaamua kuikataa serikali yao, sisi kama jeshi la wananchi bado tutakuwa upande wa wananchi" mwisho wa kunukuu.
Kwa hiyo wakuu habari ndiyo hiyo. Sina uhakika kuhusu usalama wa taifa, kwa kuwa hao najua wanaingia kwenye hizo nafasi kwa upendeleo na kujuana, kwahiyo wanaweza wasiwe tayari kuwaangusha wale waliowapa hayo maulaji. But kwa upande wa jeshi, ninawahakikishieni kwamba the moment wananchi wanaamua kwa dhati, jeshi litakaa pembeni kulinda maandamano yao. Jeshi ni la wananchi na lipo kwa ajili ya kulinda usalama wa wananchi.
Ninajua na ninaamini kwamba jeshi litaua kadhaa siku za kwanza kabla ya jeshi kuintervene na kuamua kulinda na kusimamia maamuzi ya wananchi. Hata kama generali Mwamunyange ni swahiba mkubwa wa Kikwete, naamini atapingwa vikali na wenzake ndani ya jeshi iwapo ataamua kuwageuka wananchi.
Kwa upande mwingine fuatilieni matokeo ya kura za uchaguzi ya mwaka jana. Kambi nyingi za jeshi zilimpa kura Slaa. Kikwete alipata kura chache sana kutoka kwa wanajeshi. Kazi kwenu kufanya maamuzi.
Arafat,Wekeni Strategies hapa kuwa sasa tunafanyaje na tuna anzia wapi tuweke record mpya sasa kila ataye andika sasa na aweke ushauri wa kusonga mbele siyo simulizi za kale.Nashauri kazi hii iratibiwe na kusimamiwa na hiyo kamati tutakayoituma kwenda UN, ambapo na mambo mengine kule UN watatakiwa pia kuelezea lengo letu la kudai uhuru kamali na kuomba kuungwa mkono. Katika kuunda kama tunaweza kupendekeza hata waliopo CCM kama wapo tunaowajuwa kuwa wanakerwa na hili jambo.
- Moja Kuanzia sasa tunataka kuona wenzetu katika dola wanashirikiana nasi kwa kuanzisha sabotage kwa viongozi wote walioshiriki kuhujumu hili Taifa wanajulikana kunzia baba yao hadi watoto wao, waanze sasa wala wasingoje kesho.
- Kila Mtanzania mwenye uchungu na nchni hii arudishe kadi za CCM kuanzia leo wabaki hao Mafisadi tu huko, ukimjua mtu yeyote ambaye ni mwana chama wa CCM husishirikiane naye kwa lolote muone kama adui yako namba moja.
- Tuanzishe mfuko wa Saidi Tanzania dhidi ya Mafisadi na tuteuwe watu wapereke azimio Umoja wa Mataifa (UN) juu ya Kilio cha Watanzania na njinsi serikali iliopo madarakani inavyoendesha nchni kwa maslahi ya watu wachache huku raia wengi wakiwa katika hali ngumu, tukajenge hoja juu ya madhara ya tawala kama hizi kwa africa kwa muda mrefu sana jinsi yanavyochangia uvunjaji wa amani katika ukanda huu.
- Tutume watu wengine kukutana na makundi ya Libya na Misri kupata experince wao wameweza na kwanini sisi tunashindwa, lengo ni kuwa na makundi rafiki katika nchni kama hizi ambazo tuna fanana kwa matatizo, kujifunza si ujinga.
- Tuwaombe wabunge wote wa Upinzani wagome kuingia Bungeni hadi hii serikali yote ijiuzulu.
- Kama watakataa kujiuzulu ndani ya siku 60, basi wananchni wote kugome kwenda makazini nchni nzima kwa siku saba hakuna Daladala, taxi, wala mama ntilie wala ofisi za Umma; lazima wote waingie katika mgomo wa siku saba, Madereva wote waombwe wapaki Malori tote barabarani na kuyatelekeza huko.
- kama bado wataendelea kukatalia ndani ya ofisi za Umma tuombe kukutana na makamanda wa Jeshi la Ulinzi na tuwaeleze nia yetu njema juu ya nchni na tuwaombe ulinzi wakati wote tutakapo tumeziba barabara zote na viwanja vya ndege kwa kutoa shinikizo la mwisho.
- Baada ya hapo sasa tuingie Barabara sasa.
Arafat,
Huu ni ushauri mzuri na ni njia ya kufanya mapinduzi haya yawe kwa maslahi ya umma.Kuna vipengele katika sheria za kimataifa ambavyo tawala nyingi za afrika zinakiuka. ..tuiseke hadharani ili wasipata mwanya wa kufanya sabotage,karibisheni watu wengi kwenye hii thread na ikiwezekana tufungue special page kwenye hizi social network wakati huo huo wale ambao mnafahamiana mliochangia thread hii tukutane at the end of the day tunafanya kitu practical...mliochangia hii thread mnatamani Radical change,mapinduzi ya watu.
Thanks Ban; Muhimu hapa siyo kuficha maana tunataka Mass na kama tukishindwa tuje ni Mass imeshindwa, muhimu hapa ni watu wakusimami na kuanzisha basi, nafikiri tuanze na tuwewazi bila kuficha maana hakuna haja ya kuficha kuwa tunataka kulikomboa Taiifa, nandio maana nimesema kuna haja ya kukutana makamanda wa Jeshi na kuwaeleza ukweli wetu huo.
Nadhani sasa tuangalie jinsi ya kufunga hii thread hili waingie watu wachache tu! ambao tunahitaji mawazo yao wengi hawana mawazo ya kufikiri mbele hapa, if possible Mods watusahie sasa hivi kulimit access ya hii thread ibaki na Mchungaji, Arafat na Ben then tutafanya la awali ni kuainisha majina majina mengine ambayo pia yapate access; Mods assist us on this please muda unaenda kabla jua halijazama leo lazima tujue tuna anza vipi mikakati thabiti juu ya ukombozi huu.
Thanks Ban; Muhimu hapa siyo kuficha maana tunataka Mass na kama tukishindwa tuje ni Mass imeshindwa, muhimu hapa ni watu wakusimami na kuanzisha basi, nafikiri tuanze na tuwewazi bila kuficha maana hakuna haja ya kuficha kuwa tunataka kulikomboa Taiifa, nandio maana nimesema kuna haja ya kukutana makamanda wa Jeshi na kuwaeleza ukweli wetu huo.
Nadhani sasa tuangalie jinsi ya kufunga hii thread hili waingie watu wachache tu! ambao tunahitaji mawazo yao wengi hawana mawazo ya kufikiri mbele hapa, if possible Mods watusahie sasa hivi kulimit access ya hii thread ibaki na Mchungaji, Arafat na Ben then tutafanya la awali ni kuainisha majina majina mengine ambayo pia yapate access; Mods assist us on this please muda unaenda kabla jua halijazama leo lazima tujue tuna anza vipi mikakati thabiti juu ya ukombozi huu.
hapo kwenye tatizo hata kufunguka haifunguki!Mwanga wa Tanzania ni huu hapa: Chaguo sahihi la watanzania: Future ya watanzania ni hii hapa:
‪DR. SLAA - CHAGUO SAHIHI, CHAGUO LA WATANZANIA‬‏ - YouTube
Tatizo ni hili hapa:
‪Raisi Kikwete alipoanguka Jukwaani Jangwani‬‏ - YouTube
Unajua Rev unaweza kuta dream ya JK ilikuwa kuwa RAISI na ameweza unaweza kuta kwake hayo mengine ni AOB sisi tutaendelea kuumiza vichwa while yeye ana amani ya roho na mwili.
So to him mission accomplished kifuatacho ni kula good time mwanzo mwisho si unaona ata majibu anayotoa juu ya mvua na ile alipoulizwa why tz is a still a poor country?