Mapinduzi yaja Tanzania

Mapinduzi yaja Tanzania

pamoja na maigizo ya baadhi ya wabunge, bungeni kinachonifurahisha, ukisoma (read between the lines) hotuba za baadhi ya waheshiwa wetu hususani wa CCM utagundua kitu kimoja tu, kwamba karibu 'uzalendo' utawashinda. ama kwa kutaka kwa ridhaa yao au kwa kusukumwa na upepo wa mabadiliko... na hapo ndipo serikali hii iliyotia masikio pamba itakapoonja joto ya jiwe, maana itapingwa mitaani, bungeni na hata pale usipofikiria...

kwa hakika hakuna anayeweza kuuzima upepo wa mabadiliko
 
Ndio maana leo kampokea mwenzake anyeongoza nchi akiwa anaishi nchi nyingine labda anataka afundiswe mbinu na huyo jamaa maana hapa moto utawaka muda soon
 
walafi wanamaliza nchi. raia fanyeni maamuzi magumu msiogope ushindi upo(cream ya juu imelewa kabisa)haijui inchi iko wapi imewapotea.:boxing:
 
walafi wanamaliza nchi.&nbsp; raia fanyeni maamuzi magumu msiogope&nbsp;&nbsp;&nbsp; ushindi upo(cream ya juu imelewa kabisa)haijui inchi iko wapi imewapotea.<IMG class=inlineimg title=Boxing border=0 alt="" src="/images/styles/JamiiForums/smilies/boxing.gif" smilieid="138">
 
Huu ni Udini mkubwa. Kama mnataka vita vya Kidini anazisheni. Chuki hii yote kwa sababu Rais ni Muislamu.
 
Kinakuja kwa kasi. Mageuzi ni sasa na kama sasa ni sasa hivi. Awike asiwike patakucha2.
 
Huu ni Udini mkubwa. Kama mnataka vita vya Kidini anazisheni. Chuki hii yote kwa sababu Rais ni Muislamu.
<br />
<br />
Inaelekea wewe unakula uislamu wako, na uislamu wako ndio utakaondoa mgao wa umeme. Lakini ukweli ni kwamba marais wa kiislamu wa tz, ndio wamekuwa maboya kabisa. Wewe mdini endelea kutetea serikal dhalmu isiyokuwa na dini.
 
Huu ni Udini mkubwa. Kama mnataka vita vya Kidini anazisheni. Chuki hii yote kwa sababu Rais ni Muislamu.
<br />
<br />
ebu tuambie kiwango chako cha elimu kwa sababu hata mtoto wa 4m 1 anaona kabisa nchi iko ktk hali mbaya.mbona mwinyi ni muislam lkn hakupingwa ni kawasababu aliipeleka nchi vzuri. Hatuwezi kuacha kuongea kisa nyie mnaomtetea muislam mwenzenu aliyeshindwa nchi.
 
Jamani topic hii haifai kwa sababu bado hatujafikia hapo. Huu ni untimely uchochezi na pia ni ujinga kwa watu wanaotumia dini kuwa symphathy ya wao kusema lolote bila vielelezo tosha kufikia mtazamo huo katika mambo amabayo si ya dini husika ni sawa na uchochezi pia. Kuna mambo mengi sana yanayofanywa na kusemwa kutishia amani ya nchi, wajibu wetu ni kutafuta suluhu ya kurekebisha matatizo pale yalipo yasiendelee. Basi niamini tu kuwa hayo mapinduzi ni yatakayotokana na mazungumzo ya kuondoa kero na siyo ya bunduki wakati huu - wabunge wetu wasaidie katika hili na kuunganisha umoja wa kuwahudumia wananchi katika shida zao. Mfano mzuri mjadala wa ukosefu wa mafuta bungeni (ingawa si kazi yao) pale serikali imeonekana imelala kuachia EWURA pekee bila matamshi ya amri ya serikali kutoka juu wakati shughuli za kiuchumi na kijamii zinaelekea kusimama. Hapa Bunge nawapa hongera.
 
Mbona unaudhalilisha Uislam,ina maana Uislam unatetea wizi,rushwa nk. Au maisha magumu huyaoni ndugu yangu..
Huu ni Udini mkubwa. Kama mnataka vita vya Kidini anazisheni. Chuki hii yote kwa sababu Rais ni Muislamu.
<br />
<br />
 
Mkuu vijana waliomaliza mafunzo ya jeshi huko monduli juzi mwz wa pili huwaambii chochote kuhusu Shimbo na JK, wanawapenda kuliko maelezo, rafiki zangu kabisa nilimaliza nao UDSM na walikuwa wapinzani wakubwa wa serikali ndo walisema maneno hayo baada yakutoka kwenye mafunzo, nahisi kuna kitu wamelishwa, au hulka ya ubinafsi.
sina uhakika na taarifa yako.Napita tu,muongozo nitatoa baadae.
 
Japo sijasoma zote kuna watu walio wengi wanaongea utumbo na kero za ajabu. kuna mijitu yanatamani vita. sio kama JK ni mzuri au serikali ni nzuri, kuna mapungufu ila sio ya kutangaza vita, uongozi sio lelemama! ni kumshukuru mungu tuliyonayo hata kama sio kwa kiwango stahili, ila ujue tumesogea sana
mmmmmmmmmmmmmmmmm watu wenye mawazo finyu kama wewe bado mpo kweli.
 
Unaongelea mapinduzi gani hapa? Ya kupindua haya ya Chama Cha MAPINDUZI au ya kupindua yale ya serikali ya MAPINDUZI ya Zanzibar? Mimi nadhani kuna haja ya kuongelea zaidi UHURU MPYA badala ya MAPINDUZI kwani Chama Cha MAPINDUZI kilipindua uhuru wa Mtanzania na kurasimisha ukoloni mkongwe ambao wazazi wetu walidhani kuwa wamefanikiwa kuuondoa mwaka 1961. Ukoloni wa sasa ni wa mtu wa mweusi kwa kushirikiana na watu weupe dhidi ya weusi wenzake.
 
Huu ni Udini mkubwa. Kama mnataka vita vya Kidini anazisheni. Chuki hii yote kwa sababu Rais ni Muislamu.

Jaribu kidogo kushughulisha ubongo kwenye kufikiria ndugu yangu. Usiwe kama wale waliosemwa na Meya wa Jiji la Dar es salaam.
 
Hali ya sasa inasukumia chuki kali sana dhidi ya serikali

tabata wameanza!!
 
Serikali yetu imetudharau kiasi cha kutosha, imetupuza kiasi cha kutosha, imetupeleka utumwani.....................Sasa sisi tumekataa unyoge wetu..............Tuitoe madarakani.............
 
kila kukicha watanzania wanakosa na kunyimwa haki zao za msingi na bado hawajui kuzdai ni jambo la kusikitisha sana ila umefka muda wa mabadiliko kifikra na kimatendo kwani Mshauri wa Raisi Kennedy wa Marekani Arthur Schlesinger alisema "Mapinduzi ya ulimwengu sasa ni ya usawa. Wazo hili linabadili mfumo wa kiutawala... ni vigumu kutumia hoja na nguvu kuzuia upinzani na kushinda lengo lao"
 
Back
Top Bottom