Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,560
Kwa anayefuatilia michuano ya Mapinduzi Zanzibar atakuwa shahidi wa hili,post match interview kwa makocha,hasa mfano wa yule wa Azam,George Lwandamina anayetumia lugha ya malkia (English),waandishi wanashindwa kumuuliza maswali na hata wakimuuliza unaona kinyaa kabisa ukizingatia inakuwa Live.
Najiuliza mtu kama mwandishi wa habari unashindwa hata kuangalia wanachofanya wenzio kwenye vituo vikubwa vinavyorusha mchezo wa mpira? Nikweli hiyo lugha si yetu ila kwanini hata usijiandae kwa maswali yako mawili au matatu......yaani wanamuuliza maswali Lwandamina mpaka anacheka kwasababu hayaeleweki.Kuna vijana wengi wenye uwezo mzuri sana mtaani wapo,hasa nyie Azam media fanyeni recruitment vizuri,mnatia aibu sana inapotokea mahojiano na asiye mswahili.
Na nyie waandishe acheni uvivu,jifundisheni basi......saizi dunia ni kama kijiji ingieni You tube huko mjifunze.
Najiuliza mtu kama mwandishi wa habari unashindwa hata kuangalia wanachofanya wenzio kwenye vituo vikubwa vinavyorusha mchezo wa mpira? Nikweli hiyo lugha si yetu ila kwanini hata usijiandae kwa maswali yako mawili au matatu......yaani wanamuuliza maswali Lwandamina mpaka anacheka kwasababu hayaeleweki.Kuna vijana wengi wenye uwezo mzuri sana mtaani wapo,hasa nyie Azam media fanyeni recruitment vizuri,mnatia aibu sana inapotokea mahojiano na asiye mswahili.
Na nyie waandishe acheni uvivu,jifundisheni basi......saizi dunia ni kama kijiji ingieni You tube huko mjifunze.