Mapigano ya kugombea ardhi yaua Tegeta

Nipo Tegeta Ugogoni, polisi wakiwa kwenye magari yao matatu, Land cruiser pick up mbili na 110 moja wanapita kwenye mabaa na kusomba watu eti wakaisaidie polisi kuhusiana na mauaji kwenye ugonvi wa ardhi.
 
Upelelezi wa polisi wa Tanzania uko nyuma sana ya wakati. Wanakamata innocent citizen wakati wauaji wanapata chance ya kutoroka kirahisi
 
Mapigano makali yametokea leo kuanzia saa 3 huko Mivumoni Tegeta watu zaidi ya 5 wamekufa baada ya mabaunsa wa kampuni ya udalali ya mwangata kuvamia na kuvunja nyumba za wakazi. Wengi waliokufa ni mabaunsa. Polisi walipoitwa wakasema waache wananchi wauane wa mwisho atatuletea habari.....

source Radion one breaking News na pia nimepita huko wazo saa 6.30 hivi.

Hao Mabaunsa nao wanajidai mno na hiyo minyama yao wanafikiri ni rahisi kupambana na wananchi wenye hasira kali? Wameiona nguvu ya umma!
 
Kwani walikuwa wapi kuja kuzuia hayo mauaji? Siwaliitwa wakagoma kwenda? Walikuwa na nafasi kubwa ya kuzuia hayo mauaji yasitokee lakini kwa kuwa issue yenyewe haikuwa na mshiko basi walidharau kwenda na sasa hapo tayari wamepata mtaji. Kila anayesombwa kuja kuachiwa inabidi zikutoke za kutosha!!!!

Tiba
 
Hili ni ashirio kwamba wizara ya ardhi ina kazi kubwa kuepusha maafa ya namna hii.
 
He! more newz tafadhari, ardhi inayogombewa inamilikiwa na nani, kwa nini hawa madalali walifika hapo:help:
 
Unapo sikia mnahatarisha amani!
Ninavyo elewa mimi, ni amani ya mafisadi ndio ipo hatarini! wanaona ulaji wao upo hatarini!
 
Story kamili ni kwamba watu 5 wamekufa ktk mapigano ya kugombea ardhi kati ya wananchi na mabaunsa wa kampuni ya udalali ya Mwangata huko Mivumoni, Tegeta.

Habari ni according to Radio One Srerio katika huduma yao ya SMS.


My Take: Pengine ni size yao -- yaani hao mabaunsa. Hawa na ile breed iliyozuka ya madalali huwa wanaonea sana wanavijiji wasiyojua haki zao katika kupora ardhi zao kwa njia za utapeli mkubwa huku serikali ikiwa haichukui hatua zozote za kuwalinda wanavijiji.

Lakini hata hivyo vifo hivyo siyo njia sahihi.

Tatizo ni kuwa "madalali", whatever it means, wako juu ya sheria na wanaotekeleza sheria wameikubali hiyo situation na kwa hiyo hawaipigii kelele wala kugombeza. Pamoja na kuwa kuna watu wamekufa ( may they rest in peace) lakini nadhani kwa wahusika hii itakuwa ni wake up call.

Madali ni organised thugs amabao wako juu ya sheria, wanaweza fanya chochote with impunity na hakuna anawagombeza na aliyewahi kuwagombeza, ni fani amabayo haina ethichs, code of conduct na scope of duties. Unaweza kutolewa ndani ya nyumba usiku wa manane na wanaokutoa wanachukua kila kitu chako, ukienda kwa kova unaambiwa hiyo ni kesi ya jinai, wakati kiukweli kuo ni ujambazi wa hali ya juu.

Nadhani people in power ndo sasa wataamka toka usingizini.
 
Chadema inahatarisha amani!
Crap.
RIP mabaunsa, sio kosa lenu. Mmedanganywa na madalali!
 
Nimesikitishwa na kifo cha mhusika yeyote yule!

Hii ni dalili ya wazi kabisa na kuchoshwa kwa wananchi na hali ilivyo na kukosekana kwa usimamizi wa nchi katika maswala nyeti yanayohitaji uongozi bora na si utawala bora. Haya ya leo katika eneo hili dogo yanaashiria uwezekano wa kutokea kubwa hata la kitaifa kama kusipokuwepo kwa hatua za haraka
 
kwa wale wakristo wanafahamu kuwa laana ya kiongozi inaweza kukupata mwananchi wa kawaida....hii ni laana,mbona mambo haya hayajawahi tokea huko nyuma? Katika tukio hili watu wafuatao hawawezi kukwepa lawama

  1. Watu wa ardhi
  2. Viongozi wa halmashauri
  3. Viongozi wa Kijiji,mtaa,kata nk
Utashangaa baada ya tukio hilo,hakuna ata kiongozi atakayeonyesha kuumia wala kusikitika..na kama wakisikitika watakuwa ni wanafiki wasio na aya...
 
Viongoz wa tz wanadhani watanzania ni ng'ombe. Watu wamechoka dhuluma. Wenye fedha wanadhani wanaweza fanya kila kitu. Hizi ni baadhi ya dalili za failure ya governing systems za ccm na serikali yao.
 
Walioshiba hawawaoni wenye njaa... wenye mamlaka wanatambua dalili hizi...
 
Kikwete angeenda huko, mngemwona pichani akicheka-cheka. The only none serious president in the world! Shaame on his leadership!
 
pole sana kwa wafiwa, maana sio makosa yenu, mmetumwa na wakubwa, na kutokana na kipato chenu kidogo, inabidi mkubali.... Lakini, kwa hao waliowatuma na wengine wote wenye hila mbaya walioko huko juu, tambueni kwamba tanzania ya sasa, nguvu ya umma inaongea,,, kwa upande mwingine naweza kusema its a message or lesson kwa nyie vigogo...msilete ushanzi saivi,,, haki lazima ipatikane,,,, big up kwa wakazi wa tegeta kwa ujasiri...
 
This is sad and sad.
Lakini ni msg mbaya sana.
Sio mfano mzuri. Ila una ujumbe mzito.
 
ITV wangesema picha zinazofuata zinatisha...................

my take ni kwamba, Tanzania hakuna amani, kwa kuwa hakuna hali. Huu uliopo nio utulivu tu ambao kama hivi wananchi wanapochoka kutulia na kudai haki zao kwa nguvu zao wenyewe matokeo yanakuwa kama haya........

Nimesikitishwa sana na vifo vya hao waliouwawa kikatili,,,,,,,, i think its about time serikali ione hii nguvu ya uma uliochoka na kuanza kuwapa uma haki yao, wakianza na hili suala la katiba ambalo tayari nguvu ya uma haitaki mamlaka aliyopewa raisi........... iwapo italazimisha kuupitisha, kitakachotokea kitakuwa kibaya zaidi ya hiki, tena kwa hao watawala wenyewe......wananchi tumechoka tena tumechoka sana,,,,,,

Nilisikia watu wakizungumza kariakoo hivi....... ipo siku tutakuja kuwauwa kwa mikono yetu hao wanaongoza nchi wanavyotaka kina rostam azizi, manji na lowasa ili tupate haki zetu..........
 
Back
Top Bottom