Mapigano dhidi yako mwenyewe 💪

Mapigano dhidi yako mwenyewe 💪

Kama Kuna mtu amewahi kushinda hii vita dhidi ya social anxiety atueleze aliishinda namna gani atasaidia wengi
 
Anza kujifunza now kusema hapana bila kumuumiza mtu,kuna lugha unaweza kutumia ambazo zinamaanisha hapana lakini zinapunguza uzito wa hiyo hapana

Mathalani,kuna michango ya harusi ambayo unatakiwa uchangie na hela huna,badala ya kusema sitaweza kuchangia,waeza sema Kwasasa nipo vibaya lakini ngoja nipambane nione nitafikia wapi? kwahiyo kwanza umeshamueleza mhusika kwamba huna hela ila utajitahidi kutafuta ikishindikana basi, so kwa kila situation utajua namna ya kuweka hapana ambayo inaning'inia
shukran mkuu nitalifanyia kaz maana huwa najilaumu mfano mwaka jana kunandu gungu anaishi mwanza alinipigia simu akanieleza anashida ya lak 2 na nusu nikashinda kukataa ikanibid nimutumie hela ambayo ni ya mtaji wa biashara yangu mpak ikapelekea kuyumba kwa biashara mpaka leo huwa najilaumu kwa kukosa msimamo
 
Kama Kuna mtu amewahi kushinda hii vita dhidi ya social anxiety atueleze aliishinda namna gani atasaidia wengi
Pole mkuu ungesema kwa mapana
Unapata hofu au woga kwenye nyakati zipi yaani?
 
Ni kwasababu unahofia atakuona je baada ya kumwambia kua huwezi hilo jambo lake

Lakini ukweli ni kwamba kusema hapana ni bora zaidi kuliko kutoa matumaini fake

Akikujia mtu anahitaji umsaidie jambo fulani ni kwasababu amekuamini na anadhani atasaidika

Lakini hiyo haina maana lazima umsaidie kwa namna anayotaka hapana badala yake unaweza kumpa mawazo au njia ya kutatua hata kama wewe umeshindwa kumsaidia lakini huo ni msaada tosha

CC: Marcostilone
shukran mkuu umenifumbua!
 
shukran mkuu nitalifanyia kaz maana huwa najilaumu mfano mwaka jana kunandu gungu anaishi mwanza alinipigia simu akanieleza anashida ya lak 2 na nusu nikashinda kukataa ikanibid nimutumie hela ambayo ni ya mtaji wa biashara yangu mpak ikapelekea kuyumba kwa biashara mpaka leo huwa najilaumu kwa kukosa msimamo
😢😢 aisee pole sana chukua hatua sasa history ya zamani izike
Andika ukurasa mpya kila la heri
 
Pole mkuu ungesema kwa mapana
Unapata hofu au woga kwenye nyakati zipi yaani?
kwenye mazingira au matukio ya userious mathalani kwenye vikao vya ofisini au sehemu yoyote utakayohitajika utoe mawazo yako huku watu wakiwa attention kukusikiliza wewe.
 
Back
Top Bottom