ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,060
- 40,293
Hapa Flying Fish zimepanda kichwani 😂😂🤣🤣🤣 wewe weekend leo upo wap
SawaaMjumbe hauwawi...
nashukuru mkuu kwa ushauri mzuriMkuu sio kwamba wewe hauna msimamo.
Bali wewe ni mtu muelewa yani unaelewa tatizo la mwingine kama lako na unapenda kusolve problems ambalo sio jambo baya.
Ila kwa bahati mbaya unasolve matatizo yawatu wasio jielewa, ndiyo maana unakuja kuangukia kwenye majuto kwamba why nilisolve tatizo then matokeo yake napata hasi sio chanya.
Point nini mkuu solve your own problems achana na matatizo yao achakuwa muelewa kwenye matatizo yao.
Binti we haya🤣🤣Hapa Flying Fish zimepanda kichwani 😂😂
Natoka kwenye saa mbili na Nusu 😝Binti we haya🤣🤣
Naomba nikuwekee ulinzi basiNatoka kwenye saa mbili na Nusu 😝
😅😅 hakunaaa hiyo we komaa tu mahiHuyo kanishinda tabia nataka nimgawe nitafutie wa kumpasiaa asee
Sawa mkuuVita dhidi ya Mimi wa Nyuma ya pazia na yule Anaesimama stejini(kwenye kadamnasi)
Nina mengi ninayoweza kuyafanya na kuyafahamu ambayo ni yenye manufaa kwangu na kwa Jamii nzima ila Huwa nayaficha na Kuyazuia yasitokee kwenye kadamnasi.
Attention inakuwa divided with one superficial thing Not to show who I really am Vs who I pretend to be , many times I slip WATU wanacatch na naamua kuhama mazingira Kabisa huko inakuwa the same , so yhe Real me always wins .
Hebu nipe hadithi kuhusu hii ya Ninawi kama hutojaliKisha huwa ninakaa na kutafakari Kuhusu Bwana Jonah Aliyevamiwa aende Ninawi kisha yeye akapanda merikebu na kwenda Tatanishi huwa ninachoka.
Ukishajitambua na ukakubali kubadilika, nusu ya vita tayari unakuwa umeshinda, hatua ndogo ndogo huzaa mabadiliko makubwa.kweli mkuu kwanza nimejihisi mwenye furaha baada ya kupata mawazo yenu hapa nimeajifunza kitu kiufupi mmenifundisha mbinu za kushinda vita vyangu kuliko ningepipana kimoyo moyo
Kuna typing arror hapo , Siyo aliye vamiwa , ni aliyeamriwa/aliyeamriwa na Mungu.Sawa mkuu
Hebu nipe hadithi kuhusu hii ya Ninawi kama hutojali
Ooh sawa kaka so ilikuaje aka amriwa na Mungu aende sehemu A yeye akaenda B ?Kuna typing arror hapo , Siyo aliye vamiwa , ni aliyeamriwa/aliyeamriwa na Mungu.
Strakiiii namgawaaa mie!!😅😅 hakunaaa hiyo we komaa tu mahi
Ninawi na Nabii Yona – MuhtasariSawa mkuu
Hebu nipe hadithi kuhusu hii ya Ninawi kama hutojali
Jonah Alikaidi amri Ya Mungu, Kisha Akapanda merikebu kupelekea Tarshish instead of Nineveh (Ninawi)Ooh sawa kaka so ilikuaje aka amriwa na Mungu aende sehemu A yeye akaenda B ?
kwako piah mkuuUkishajitambua na ukakubali kubadilika, nusu ya vita tayari unakuwa umeshinda, hatua ndogo ndogo huzaa mabadiliko makubwa.
All the best Mkuu.
Unaijua, itafute mama!!Ipi hiyo?