ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 16,993
- 40,149
- Thread starter
- #21
Usifoke kwa sauti sasa watu watasikia 😔Umeanza we nae, si umekataza kufuatiliana!!
Usifoke kwa sauti sasa watu watasikia 😔Umeanza we nae, si umekataza kufuatiliana!!
Babe ni wazo tu limekujaUmewaza nini dear.😍😍
Baada ya kundua aina ya silaha anayotumia adui yako dhidi yako huo ndio ushindi kamiliNimepigana aina hii ya vita.
Nahisi nimeshinda vita japo adui yangu kumuua kabisa nahisi haiwezekani ila hanisumbui baada ya kujua kinachompa nguvu na ninahakikisha hakipati.
Natoa angalizo kwa wale wa unashinda JF full-time
Huu ni kama ushauri tu kwamba hii mada inakuhusu isome yote ili uanze leo kupigana na hiyo tabia isiyopendeza ya kufatilia ni nani anaingia online sa ngapi na anatoka saa ngapi
Sisi wengine kuandika ni moja wapo ya enjoyment 😊
Na hii platform sio kama hizo zingine za kupost makalio au kutafuta attention hapa tulio wengi hatufahamiani
na hii inatupa uhuru wa ku share kujifunza kupiga story na kufurahia maisha kwa mtindo huo
kwa wale wote wanaovutiwa na nyuzi zangu guys nipo in love kwenu 🥰 nawapenda sana😊😊
Twende zetu sasa 🤪👇
Mapigano yapo ya aina nyingi Umewahi kusikia nchi fulani ikiwa vitani?
Watu husema nchi A inapigana na nchi B. Hayo huitwa mapigano
Pia kuna mapigano kati ya watu wawili, mtu A na mtu B, kama vile yanavyotokea ulingoni( mtu anapigwa hata kwa TKO)
Hata wanyama nao hupigana mfano kuku, mbuzi na wengine
Lakini je, umewahi kujiuliza kama inawezekana mtu kupigana dhidi ya yeye mwenyewe?
Jibu ni ndiyo, inawezekana kuwa na vita au mapigano dhidi yako mwenyewe
Haya ni mapigano ambayo hayapiganwi kwa ngumi wala silaha, bali ni mapambano ya ndani ya nafsi
Ni pale unapogundua kuna kitu ndani yako ambacho hakikufanyi kuwa mtu unayetaka kuwa, hivyo unaamua kukikabili
Mfano unaweza kujijua kabisa una tabia fulani kama wivu, hasira au kutokuwa na subira
Baada ya muda unagundua tabia hiyo haikusaidii wewe wala jamii inayokuzunguka
Hapo ndipo vita vinaanza siyo dhidi ya mtu mwingine, bali dhidi ya hiyo tabia iliyopo ndani yako
Unaanza kujifunza kujizuia kujirekebisha na kuikataa ile hali ambayo haikupi thamani
Kwa mfano, kama zamani ulikuwa huwezi kukaa nyumbani na kila mara ulitamani kutoka, siku moja hamu hiyo inapokuja unaweza kujikuta ukisema
Hapana, siendi leo(unakaza)
Hapo unakuwa umeanza kupigana dhidi yako mwenyewe unayashinda matamanio yako kwa ajili ya lengo kubwa zaidi
Sasa swali la mjadala👇
Wewe umewahi kuwa na vita au mapigano dhidi yako mwenyewe?
Ni nini kilishinda wewe au kile ulichokuwa unapambana nacho?
Ulipigana kwa muda gani, na ulitumia njia gani kushinda?
Nyongeza👇
Kabla hujaanza mapambano hayo, ni muhimu kujifanyia utafiti wa nafsi yako Jifahamu, tambua tabia zako, haiba yako na vitu vinavyokufanya uwe wewe
Baada ya hapo utaweza kuona kama kuna mambo ndani yako unayoyapenda au kuna mengine ambayo yanahitaji kubadilishwa
Kwa sababu wakati mwingine ushindi mkubwa wa mtu siyo kumshinda mwingine, bali ni kujishinda mwenyewe na kuwa yule mtu ambaye anatamani kuwa
Happy weekend 🔥
ShesRise_1 ✋️
Exactly 💪"Kwa sababu wakati mwingine ushindi mkubwa wa mtu siyo kumshinda mwingine, bali ni kujishinda mwenyewe na kuwa yule mtu ambaye anatamani kuwa"
Hongera kwa ushindi.💪Babe ni wazo tu limekuja
lakini pia nimewahi kupigana pia dhidi yangu mwenyewe na kuibuka mshindi
Baada ya kundua aina ya silaha anayotumia adui yako dhidi yako huo ndio ushindi kamili
Na unamuacha adui ajifie mwenyewe kwa kumfanya akose target zake kwako maana tayari unafahamu silaha yake na mapigo yake
Hongera karibu tena😊
I have fallen in love with your writing skills.Natoa angalizo kwa wale wa unashinda JF full-time
Huu ni kama ushauri tu kwamba hii mada inakuhusu isome yote ili uanze leo kupigana na hiyo tabia isiyopendeza ya kufatilia ni nani anaingia online sa ngapi na anatoka saa ngapi
Sisi wengine kuandika ni moja wapo ya enjoyment 😊
Na hii platform sio kama hizo zingine za kupost makalio au kutafuta attention hapa tulio wengi hatufahamiani
na hii inatupa uhuru wa ku share kujifunza kupiga story na kufurahia maisha kwa mtindo huo
kwa wale wote wanaovutiwa na nyuzi zangu guys nipo in love kwenu 🥰 nawapenda sana😊😊
Twende zetu sasa 🤪👇
Mapigano yapo ya aina nyingi Umewahi kusikia nchi fulani ikiwa vitani?
Watu husema nchi A inapigana na nchi B. Hayo huitwa mapigano
Pia kuna mapigano kati ya watu wawili, mtu A na mtu B, kama vile yanavyotokea ulingoni( mtu anapigwa hata kwa TKO)
Hata wanyama nao hupigana mfano kuku, mbuzi na wengine
Lakini je, umewahi kujiuliza kama inawezekana mtu kupigana dhidi ya yeye mwenyewe?
Jibu ni ndiyo, inawezekana kuwa na vita au mapigano dhidi yako mwenyewe
Haya ni mapigano ambayo hayapiganwi kwa ngumi wala silaha, bali ni mapambano ya ndani ya nafsi
Ni pale unapogundua kuna kitu ndani yako ambacho hakikufanyi kuwa mtu unayetaka kuwa, hivyo unaamua kukikabili
Mfano unaweza kujijua kabisa una tabia fulani kama wivu, hasira au kutokuwa na subira
Baada ya muda unagundua tabia hiyo haikusaidii wewe wala jamii inayokuzunguka
Hapo ndipo vita vinaanza siyo dhidi ya mtu mwingine, bali dhidi ya hiyo tabia iliyopo ndani yako
Unaanza kujifunza kujizuia kujirekebisha na kuikataa ile hali ambayo haikupi thamani
Kwa mfano, kama zamani ulikuwa huwezi kukaa nyumbani na kila mara ulitamani kutoka, siku moja hamu hiyo inapokuja unaweza kujikuta ukisema
Hapana, siendi leo(unakaza)
Hapo unakuwa umeanza kupigana dhidi yako mwenyewe unayashinda matamanio yako kwa ajili ya lengo kubwa zaidi
Sasa swali la mjadala👇
Wewe umewahi kuwa na vita au mapigano dhidi yako mwenyewe?
Ni nini kilishinda wewe au kile ulichokuwa unapambana nacho?
Ulipigana kwa muda gani, na ulitumia njia gani kushinda?
Nyongeza👇
Kabla hujaanza mapambano hayo, ni muhimu kujifanyia utafiti wa nafsi yako Jifahamu, tambua tabia zako, haiba yako na vitu vinavyokufanya uwe wewe
Baada ya hapo utaweza kuona kama kuna mambo ndani yako unayoyapenda au kuna mengine ambayo yanahitaji kubadilishwa
Kwa sababu wakati mwingine ushindi mkubwa wa mtu siyo kumshinda mwingine, bali ni kujishinda mwenyewe na kuwa yule mtu ambaye anatamani kuwa
Happy weekend 🔥
ShesRise_1 ✋️
Mi nawaangalia tu 😁Unaambiwa una mapigano yako binafsi unataka kupigana na mimi, hem kwanza pigana na huyo aliyeko kwa bongo yako, mimi tutapigana ukishapata mshindi huko.
Ni kweli naunga mkonoMapambano magumu zaidi huwa yapo kichwani, adui mkubwa wa mtu ni yale mazoea aliyoyahalalisha kwa miaka mingi.
💯💯💯💯Kuna kipindi niligundua kuwa watu wengi huwa wanatumia nguvu nyingi sana kupambana na wengine, lakini wanashindwa kupambana na nafsi zao wenyewe, mfano rahisi, kila siku mtu anasema anataka kufanikiwa lakini kila kukicha anapoteza masaa mengi kufuatilia maisha ya watu wengine, nani kaingia online, nani katoka, nani kamjibu nani, hii ni silent addiction mbaya sana, unakuwa mtu wa kujenga maisha ya wengine kichwani kwako huku ya kwako yakiwa hayaeleweki zaidi.
HakikaMapigano dhidi yako mwenyewe ni maamuzi unayoyafanya kila siku hata pale ambapo hakuna yeyote anayekuona, discipline is choosing what you want most over what you want now.
Nakubari The ThinkerKuna msemo unasema, until you conquer yourself, every other victory is temporary, unaweza ukawashinda watu kwenye mabishano, ukaonekana mjanja, lakini kuna vitu vidogo tu kukuhusu vikakushinda mfano kushindwa kudhibiti hasira yako, kushindwa kudhibiti matumizi mabaya ya fedha n.k
❤️Kwa mtazamo wangu, ushindi wa kweli unapimwa kwa ile idadi ya tabia mbaya ulizoweza kuzizuia ndani yako, mtu anayejitawala ni hatari mno kuliko anayewatawala wengine, kwa sababu hakuna yeyote anayeweza kumzuia kufika popote anapotaka.
The Thinker 📌Ukiweza kuzishinda tabia ambazo zinakurudisha nyuma mara kwa mara,dunia itakuwa na kazi ngumu sana kukushinda.
Pole😞Mi napigana sana njaaa mpaka tumbo linatahamaki
Love u 😍Sawa umesema unatupenda wote je zamu yangu itakua lini tukutane?😁
Karibu Saad
Asante darlingHongera kwa ushindi.💪
🤣🤣💪💪Adui wangu nimezaliwa nae kujifia labda sayansi iniunge mkono ila so far so better.Hana nguvu.Yopo coma,ni nusu mfu🙃.Kazi yangu kuhakikisha hazinduki.
Asante😊 karibu tenaI have fallen in love with your writing skills.
NakujaAsante😊 karibu tena
Mimi nilikuwa napigana na tabia ya pombe,Nina mwezi nimeishinda yaani nilikuwa Niko radhi nishinde na Njaa ili nibugie konyagi, Mungu Mwema nimeishinda Mwenyewe!Natoa angalizo kwa wale wa unashinda JF full-time
Huu ni kama ushauri tu kwamba hii mada inakuhusu isome yote ili uanze leo kupigana na hiyo tabia isiyopendeza ya kufatilia ni nani anaingia online sa ngapi na anatoka saa ngapi
Sisi wengine kuandika ni moja wapo ya enjoyment 😊
Na hii platform sio kama hizo zingine za kupost makalio au kutafuta attention hapa tulio wengi hatufahamiani
na hii inatupa uhuru wa ku share kujifunza kupiga story na kufurahia maisha kwa mtindo huo
kwa wale wote wanaovutiwa na nyuzi zangu guys nipo in love kwenu 🥰 nawapenda sana😊😊
Twende zetu sasa 🤪👇
Mapigano yapo ya aina nyingi Umewahi kusikia nchi fulani ikiwa vitani?
Watu husema nchi A inapigana na nchi B. Hayo huitwa mapigano
Pia kuna mapigano kati ya watu wawili, mtu A na mtu B, kama vile yanavyotokea ulingoni( mtu anapigwa hata kwa TKO)
Hata wanyama nao hupigana mfano kuku, mbuzi na wengine
Lakini je, umewahi kujiuliza kama inawezekana mtu kupigana dhidi ya yeye mwenyewe?
Jibu ni ndiyo, inawezekana kuwa na vita au mapigano dhidi yako mwenyewe
Haya ni mapigano ambayo hayapiganwi kwa ngumi wala silaha, bali ni mapambano ya ndani ya nafsi
Ni pale unapogundua kuna kitu ndani yako ambacho hakikufanyi kuwa mtu unayetaka kuwa, hivyo unaamua kukikabili
Mfano unaweza kujijua kabisa una tabia fulani kama wivu, hasira au kutokuwa na subira
Baada ya muda unagundua tabia hiyo haikusaidii wewe wala jamii inayokuzunguka
Hapo ndipo vita vinaanza siyo dhidi ya mtu mwingine, bali dhidi ya hiyo tabia iliyopo ndani yako
Unaanza kujifunza kujizuia kujirekebisha na kuikataa ile hali ambayo haikupi thamani
Kwa mfano, kama zamani ulikuwa huwezi kukaa nyumbani na kila mara ulitamani kutoka, siku moja hamu hiyo inapokuja unaweza kujikuta ukisema
Hapana, siendi leo(unakaza)
Hapo unakuwa umeanza kupigana dhidi yako mwenyewe unayashinda matamanio yako kwa ajili ya lengo kubwa zaidi
Sasa swali la mjadala👇
Wewe umewahi kuwa na vita au mapigano dhidi yako mwenyewe?
Ni nini kilishinda wewe au kile ulichokuwa unapambana nacho?
Ulipigana kwa muda gani, na ulitumia njia gani kushinda?
Nyongeza👇
Kabla hujaanza mapambano hayo, ni muhimu kujifanyia utafiti wa nafsi yako Jifahamu, tambua tabia zako, haiba yako na vitu vinavyokufanya uwe wewe
Baada ya hapo utaweza kuona kama kuna mambo ndani yako unayoyapenda au kuna mengine ambayo yanahitaji kubadilishwa
Kwa sababu wakati mwingine ushindi mkubwa wa mtu siyo kumshinda mwingine, bali ni kujishinda mwenyewe na kuwa yule mtu ambaye anatamani kuwa
Happy weekend 🔥
ShesRise_1 ✋️
SawaNakuja