Mapigano dhidi yako mwenyewe 💪

Mapigano dhidi yako mwenyewe 💪

Umewaza nini dear.😍😍

Nimepigana aina hii ya vita.
Nahisi nimeshinda vita japo adui yangu kumuua kabisa nahisi haiwezekani ila hanisumbui baada ya kujua kinachompa nguvu na ninahakikisha hakipati.
 
Mapambano magumu zaidi huwa yapo kichwani, adui mkubwa wa mtu ni yale mazoea aliyoyahalalisha kwa miaka mingi.

Kuna kipindi niligundua kuwa watu wengi huwa wanatumia nguvu nyingi sana kupambana na wengine, lakini wanashindwa kupambana na nafsi zao wenyewe, mfano rahisi, kila siku mtu anasema anataka kufanikiwa lakini kila kukicha anapoteza masaa mengi kufuatilia maisha ya watu wengine, nani kaingia online, nani katoka, nani kamjibu nani, hii ni silent addiction mbaya sana, unakuwa mtu wa kujenga maisha ya wengine kichwani kwako huku ya kwako yakiwa hayaeleweki zaidi.

Mapigano dhidi yako mwenyewe ni maamuzi unayoyafanya kila siku hata pale ambapo hakuna yeyote anayekuona, discipline is choosing what you want most over what you want now.

Kuna msemo unasema, until you conquer yourself, every other victory is temporary, unaweza ukawashinda watu kwenye mabishano, ukaonekana mjanja, lakini kuna vitu vidogo tu kukuhusu vikakushinda mfano kushindwa kudhibiti hasira yako, kushindwa kudhibiti matumizi mabaya ya fedha n.k

Kwa mtazamo wangu, ushindi wa kweli unapimwa kwa ile idadi ya tabia mbaya ulizoweza kuzizuia ndani yako, mtu anayejitawala ni hatari mno kuliko anayewatawala wengine, kwa sababu hakuna yeyote anayeweza kumzuia kufika popote anapotaka.

Ukiweza kuzishinda tabia ambazo zinakurudisha nyuma mara kwa mara,dunia itakuwa na kazi ngumu sana kukushinda.
 
Umewaza nini dear.😍😍
Babe ni wazo tu limekuja
lakini pia nimewahi kupigana pia dhidi yangu mwenyewe na kuibuka mshindi
Nimepigana aina hii ya vita.
Nahisi nimeshinda vita japo adui yangu kumuua kabisa nahisi haiwezekani ila hanisumbui baada ya kujua kinachompa nguvu na ninahakikisha hakipati.
Baada ya kundua aina ya silaha anayotumia adui yako dhidi yako huo ndio ushindi kamili

Na unamuacha adui ajifie mwenyewe kwa kumfanya akose target zake kwako maana tayari unafahamu silaha yake na mapigo yake

Hongera karibu tena😊
 
Natoa angalizo kwa wale wa unashinda JF full-time
Huu ni kama ushauri tu kwamba hii mada inakuhusu isome yote ili uanze leo kupigana na hiyo tabia isiyopendeza ya kufatilia ni nani anaingia online sa ngapi na anatoka saa ngapi

Sisi wengine kuandika ni moja wapo ya enjoyment 😊

Na hii platform sio kama hizo zingine za kupost makalio au kutafuta attention hapa tulio wengi hatufahamiani

na hii inatupa uhuru wa ku share kujifunza kupiga story na kufurahia maisha kwa mtindo huo

kwa wale wote wanaovutiwa na nyuzi zangu guys nipo in love kwenu 🥰 nawapenda sana😊😊


Twende zetu sasa 🤪👇

Mapigano yapo ya aina nyingi Umewahi kusikia nchi fulani ikiwa vitani?
Watu husema nchi A inapigana na nchi B. Hayo huitwa mapigano

Pia kuna mapigano kati ya watu wawili, mtu A na mtu B, kama vile yanavyotokea ulingoni( mtu anapigwa hata kwa TKO)



Hata wanyama nao hupigana mfano kuku, mbuzi na wengine

Lakini je, umewahi kujiuliza kama inawezekana mtu kupigana dhidi ya yeye mwenyewe?

Jibu ni ndiyo, inawezekana kuwa na vita au mapigano dhidi yako mwenyewe

Haya ni mapigano ambayo hayapiganwi kwa ngumi wala silaha, bali ni mapambano ya ndani ya nafsi

Ni pale unapogundua kuna kitu ndani yako ambacho hakikufanyi kuwa mtu unayetaka kuwa, hivyo unaamua kukikabili

Mfano unaweza kujijua kabisa una tabia fulani kama wivu, hasira au kutokuwa na subira

Baada ya muda unagundua tabia hiyo haikusaidii wewe wala jamii inayokuzunguka

Hapo ndipo vita vinaanza siyo dhidi ya mtu mwingine, bali dhidi ya hiyo tabia iliyopo ndani yako

Unaanza kujifunza kujizuia kujirekebisha na kuikataa ile hali ambayo haikupi thamani

Kwa mfano, kama zamani ulikuwa huwezi kukaa nyumbani na kila mara ulitamani kutoka, siku moja hamu hiyo inapokuja unaweza kujikuta ukisema

Hapana, siendi leo(unakaza)

Hapo unakuwa umeanza kupigana dhidi yako mwenyewe unayashinda matamanio yako kwa ajili ya lengo kubwa zaidi

Sasa swali la mjadala👇

Wewe umewahi kuwa na vita au mapigano dhidi yako mwenyewe?
Ni nini kilishinda wewe au kile ulichokuwa unapambana nacho?

Ulipigana kwa muda gani, na ulitumia njia gani kushinda?

Nyongeza👇
Kabla hujaanza mapambano hayo, ni muhimu kujifanyia utafiti wa nafsi yako Jifahamu, tambua tabia zako, haiba yako na vitu vinavyokufanya uwe wewe

Baada ya hapo utaweza kuona kama kuna mambo ndani yako unayoyapenda au kuna mengine ambayo yanahitaji kubadilishwa

Kwa sababu wakati mwingine ushindi mkubwa wa mtu siyo kumshinda mwingine, bali ni kujishinda mwenyewe na kuwa yule mtu ambaye anatamani kuwa

Happy weekend 🔥
ShesRise_1 ✋️
1003217920.jpg
 
Babe ni wazo tu limekuja
lakini pia nimewahi kupigana pia dhidi yangu mwenyewe na kuibuka mshindi

Baada ya kundua aina ya silaha anayotumia adui yako dhidi yako huo ndio ushindi kamili

Na unamuacha adui ajifie mwenyewe kwa kumfanya akose target zake kwako maana tayari unafahamu silaha yake na mapigo yake

Hongera karibu tena😊
Hongera kwa ushindi.💪

Adui wangu nimezaliwa nae kujifia labda sayansi iniunge mkono ila so far so better.Hana nguvu.Yupo coma,ni nusu mfu🙃.Kazi yangu kuhakikisha hazinduki.
 
Natoa angalizo kwa wale wa unashinda JF full-time
Huu ni kama ushauri tu kwamba hii mada inakuhusu isome yote ili uanze leo kupigana na hiyo tabia isiyopendeza ya kufatilia ni nani anaingia online sa ngapi na anatoka saa ngapi

Sisi wengine kuandika ni moja wapo ya enjoyment 😊

Na hii platform sio kama hizo zingine za kupost makalio au kutafuta attention hapa tulio wengi hatufahamiani

na hii inatupa uhuru wa ku share kujifunza kupiga story na kufurahia maisha kwa mtindo huo

kwa wale wote wanaovutiwa na nyuzi zangu guys nipo in love kwenu 🥰 nawapenda sana😊😊


Twende zetu sasa 🤪👇

Mapigano yapo ya aina nyingi Umewahi kusikia nchi fulani ikiwa vitani?
Watu husema nchi A inapigana na nchi B. Hayo huitwa mapigano

Pia kuna mapigano kati ya watu wawili, mtu A na mtu B, kama vile yanavyotokea ulingoni( mtu anapigwa hata kwa TKO)



Hata wanyama nao hupigana mfano kuku, mbuzi na wengine

Lakini je, umewahi kujiuliza kama inawezekana mtu kupigana dhidi ya yeye mwenyewe?

Jibu ni ndiyo, inawezekana kuwa na vita au mapigano dhidi yako mwenyewe

Haya ni mapigano ambayo hayapiganwi kwa ngumi wala silaha, bali ni mapambano ya ndani ya nafsi

Ni pale unapogundua kuna kitu ndani yako ambacho hakikufanyi kuwa mtu unayetaka kuwa, hivyo unaamua kukikabili

Mfano unaweza kujijua kabisa una tabia fulani kama wivu, hasira au kutokuwa na subira

Baada ya muda unagundua tabia hiyo haikusaidii wewe wala jamii inayokuzunguka

Hapo ndipo vita vinaanza siyo dhidi ya mtu mwingine, bali dhidi ya hiyo tabia iliyopo ndani yako

Unaanza kujifunza kujizuia kujirekebisha na kuikataa ile hali ambayo haikupi thamani

Kwa mfano, kama zamani ulikuwa huwezi kukaa nyumbani na kila mara ulitamani kutoka, siku moja hamu hiyo inapokuja unaweza kujikuta ukisema

Hapana, siendi leo(unakaza)

Hapo unakuwa umeanza kupigana dhidi yako mwenyewe unayashinda matamanio yako kwa ajili ya lengo kubwa zaidi

Sasa swali la mjadala👇

Wewe umewahi kuwa na vita au mapigano dhidi yako mwenyewe?
Ni nini kilishinda wewe au kile ulichokuwa unapambana nacho?

Ulipigana kwa muda gani, na ulitumia njia gani kushinda?

Nyongeza👇
Kabla hujaanza mapambano hayo, ni muhimu kujifanyia utafiti wa nafsi yako Jifahamu, tambua tabia zako, haiba yako na vitu vinavyokufanya uwe wewe

Baada ya hapo utaweza kuona kama kuna mambo ndani yako unayoyapenda au kuna mengine ambayo yanahitaji kubadilishwa

Kwa sababu wakati mwingine ushindi mkubwa wa mtu siyo kumshinda mwingine, bali ni kujishinda mwenyewe na kuwa yule mtu ambaye anatamani kuwa

Happy weekend 🔥
ShesRise_1 ✋️
I have fallen in love with your writing skills.
 
Unaambiwa una mapigano yako binafsi unataka kupigana na mimi, hem kwanza pigana na huyo aliyeko kwa bongo yako, mimi tutapigana ukishapata mshindi huko.
Mi nawaangalia tu 😁
 
Mapambano magumu zaidi huwa yapo kichwani, adui mkubwa wa mtu ni yale mazoea aliyoyahalalisha kwa miaka mingi.
Ni kweli naunga mkono
Kuna kipindi niligundua kuwa watu wengi huwa wanatumia nguvu nyingi sana kupambana na wengine, lakini wanashindwa kupambana na nafsi zao wenyewe, mfano rahisi, kila siku mtu anasema anataka kufanikiwa lakini kila kukicha anapoteza masaa mengi kufuatilia maisha ya watu wengine, nani kaingia online, nani katoka, nani kamjibu nani, hii ni silent addiction mbaya sana, unakuwa mtu wa kujenga maisha ya wengine kichwani kwako huku ya kwako yakiwa hayaeleweki zaidi.
💯💯💯💯
Mapigano dhidi yako mwenyewe ni maamuzi unayoyafanya kila siku hata pale ambapo hakuna yeyote anayekuona, discipline is choosing what you want most over what you want now.
Hakika
Kuna msemo unasema, until you conquer yourself, every other victory is temporary, unaweza ukawashinda watu kwenye mabishano, ukaonekana mjanja, lakini kuna vitu vidogo tu kukuhusu vikakushinda mfano kushindwa kudhibiti hasira yako, kushindwa kudhibiti matumizi mabaya ya fedha n.k
Nakubari The Thinker
Kwa mtazamo wangu, ushindi wa kweli unapimwa kwa ile idadi ya tabia mbaya ulizoweza kuzizuia ndani yako, mtu anayejitawala ni hatari mno kuliko anayewatawala wengine, kwa sababu hakuna yeyote anayeweza kumzuia kufika popote anapotaka.
❤️
Ukiweza kuzishinda tabia ambazo zinakurudisha nyuma mara kwa mara,dunia itakuwa na kazi ngumu sana kukushinda.
The Thinker 📌
 
Vita ya ndani ni ile unajua unapaswa kufanya nini lakini unaogopa watakuonaje.

Wengi hawana filter ya kujua nini wanahitaji, wanafwata maneno ya viumbe wengine wanaishia kuwa ma zombie tu humu duniani

It's funny but true. Kama unajua wewe ni nani basi vita umeishinda nusu ila kulifanya lile unalotaka ndo mtihani thabiti
 
Natoa angalizo kwa wale wa unashinda JF full-time
Huu ni kama ushauri tu kwamba hii mada inakuhusu isome yote ili uanze leo kupigana na hiyo tabia isiyopendeza ya kufatilia ni nani anaingia online sa ngapi na anatoka saa ngapi

Sisi wengine kuandika ni moja wapo ya enjoyment 😊

Na hii platform sio kama hizo zingine za kupost makalio au kutafuta attention hapa tulio wengi hatufahamiani

na hii inatupa uhuru wa ku share kujifunza kupiga story na kufurahia maisha kwa mtindo huo

kwa wale wote wanaovutiwa na nyuzi zangu guys nipo in love kwenu 🥰 nawapenda sana😊😊

Twende zetu sasa 🤪👇

Mapigano yapo ya aina nyingi Umewahi kusikia nchi fulani ikiwa vitani?
Watu husema nchi A inapigana na nchi B. Hayo huitwa mapigano

Pia kuna mapigano kati ya watu wawili, mtu A na mtu B, kama vile yanavyotokea ulingoni( mtu anapigwa hata kwa TKO)

Hata wanyama nao hupigana mfano kuku, mbuzi na wengine

Lakini je, umewahi kujiuliza kama inawezekana mtu kupigana dhidi ya yeye mwenyewe?

Jibu ni ndiyo, inawezekana kuwa na vita au mapigano dhidi yako mwenyewe

Haya ni mapigano ambayo hayapiganwi kwa ngumi wala silaha, bali ni mapambano ya ndani ya nafsi

Ni pale unapogundua kuna kitu ndani yako ambacho hakikufanyi kuwa mtu unayetaka kuwa, hivyo unaamua kukikabili

Mfano unaweza kujijua kabisa una tabia fulani kama wivu, hasira au kutokuwa na subira

Baada ya muda unagundua tabia hiyo haikusaidii wewe wala jamii inayokuzunguka

Hapo ndipo vita vinaanza siyo dhidi ya mtu mwingine, bali dhidi ya hiyo tabia iliyopo ndani yako

Unaanza kujifunza kujizuia kujirekebisha na kuikataa ile hali ambayo haikupi thamani

Kwa mfano, kama zamani ulikuwa huwezi kukaa nyumbani na kila mara ulitamani kutoka, siku moja hamu hiyo inapokuja unaweza kujikuta ukisema

Hapana, siendi leo(unakaza)

Hapo unakuwa umeanza kupigana dhidi yako mwenyewe unayashinda matamanio yako kwa ajili ya lengo kubwa zaidi

Sasa swali la mjadala👇

Wewe umewahi kuwa na vita au mapigano dhidi yako mwenyewe?
Ni nini kilishinda wewe au kile ulichokuwa unapambana nacho?

Ulipigana kwa muda gani, na ulitumia njia gani kushinda?

Nyongeza👇
Kabla hujaanza mapambano hayo, ni muhimu kujifanyia utafiti wa nafsi yako Jifahamu, tambua tabia zako, haiba yako na vitu vinavyokufanya uwe wewe

Baada ya hapo utaweza kuona kama kuna mambo ndani yako unayoyapenda au kuna mengine ambayo yanahitaji kubadilishwa

Kwa sababu wakati mwingine ushindi mkubwa wa mtu siyo kumshinda mwingine, bali ni kujishinda mwenyewe na kuwa yule mtu ambaye anatamani kuwa

Happy weekend 🔥
ShesRise_1 ✋️
Mimi nilikuwa napigana na tabia ya pombe,Nina mwezi nimeishinda yaani nilikuwa Niko radhi nishinde na Njaa ili nibugie konyagi, Mungu Mwema nimeishinda Mwenyewe!
 
Back
Top Bottom