ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 16,993
- 40,149
- Thread starter
- #61
Ndio halafu rudi hapa mahiSawa,nijifunze.
Ndio halafu rudi hapa mahiSawa,nijifunze.
Ni kweli lakini naona kama ameonyesha kamaindi kiana, nimemsifia kwa uzuri tu lakini kaishia kuniambia ''Binadamu '' na asante. Sasa unakuwaje bora pasipo kusahihishwa ?Sure hizi emoji zinakufanya mleta mada aonekane ni mtoto to some extent, au ana utoto fulani... Maana kuzitumia katika context ya mada sensitive kama hii inakua kama unachukilia mzaha. Ingekuwa hoja za mapenzi sawa
Asante sana mkuuOf course me sijawahi kufuatilia nyuzi zako. Lakini leo nilivyo soma hii nimeona umegusia jambo kubwa sana ambalo watu wengi tunapitia especially self discipline, self control, Faith, bad habits, positive attitude n.k.
Kiufupi hili jambo ulilo_liandika hapa ni tiba lakini pia ni jambo muhimu na pana sana (nimewahi kufundisha mahali kuhusu hili jambo watu wengi sana walipona vidonda walivyo kuwa wana jiumiza wao wenyewe bila kujua). So hongera sana.
Hapa ni kama unanichokoza niseme kitu ila naruka hiki kihunziYes urembo sio muhimu ukiwa na uwezo mzuri wakufikiri kama hivi unakuwa umesha kamilika.
😀 ahsantee sana Mkuu.Asante sana mkuu
Na hongera mnoo kuponya watu
Hapa ni kama unanichokoza niseme kitu ila naruka hiki kihunzi
Una jua sana kumpeleleza mtu mkuu👏🤣 anyway karibu sana kwenye mijadala zaidi
Ungependa nikujibu nini labda ili nionekane sija mind ?Ni kweli lakini naona kama ameonyesha kamaindi kiana, nimemsifia kwa uzuri tu lakini kaishia kuniambia ''Binadamu '' na asante.
Asante kwa maoni mkuuSasa unakuwaje bora pasipo kusahihishwa ?
🤝😀 ahsantee sana Mkuu.
Unajua Unachekesha sana rafikiKijana nimesema una ni attack ?
please
Unajua kabisa mimi na wewe hatujawahi kua na mitazamo sawa
Na hilo nimekili mara nyingi ikiwemo kujiepusha na mada zako hata quote zako
Na hili ni ombi lingine naleta kwako kwa mara ya pili tafadhari sana sijisikii happy kujibishana na wewe popote 🙏
Sure thingNi kweli lakini naona kama ameonyesha kamaindi kiana, nimemsifia kwa uzuri tu lakini kaishia kuniambia ''Binadamu '' na asante. Sasa unakuwaje bora pasipo kusahihishwa ?
Jikite kwenye mjadala kijanaUnajua Unachekesha sana rafiki
Ni wapi nimesema unabishana? 😂
Itakua una chuki binafsi sio bure. Daah aisee
Kwenye miti hakuna wajenziMi napigana na hii pisi tu...😋View attachment 3631810
moja ya tabia ambayo huwa natamani kuishinda ni siwezi kusema hapana yaan mutu wakalibu akiniambia jambo hata kama sina uwezo nalo nakubal then baady nabak kujutia uamzi wangu mwenyewUtatumia njia gani heb share
FactMapambano magumu zaidi huwa yapo kichwani, adui mkubwa wa mtu ni yale mazoea aliyoyahalalisha kwa miaka mingi.
Kuna kipindi niligundua kuwa watu wengi huwa wanatumia nguvu nyingi sana kupambana na wengine, lakini wanashindwa kupambana na nafsi zao wenyewe, mfano rahisi, kila siku mtu anasema anataka kufanikiwa lakini kila kukicha anapoteza masaa mengi kufuatilia maisha ya watu wengine, nani kaingia online, nani katoka, nani kamjibu nani, hii ni silent addiction mbaya sana, unakuwa mtu wa kujenga maisha ya wengine kichwani kwako huku ya kwako yakiwa hayaeleweki zaidi.
Mapigano dhidi yako mwenyewe ni maamuzi unayoyafanya kila siku hata pale ambapo hakuna yeyote anayekuona, discipline is choosing what you want most over what you want now.
Kuna msemo unasema, until you conquer yourself, every other victory is temporary, unaweza ukawashinda watu kwenye mabishano, ukaonekana mjanja, lakini kuna vitu vidogo tu kukuhusu vikakushinda mfano kushindwa kudhibiti hasira yako, kushindwa kudhibiti matumizi mabaya ya fedha n.k
Kwa mtazamo wangu, ushindi wa kweli unapimwa kwa ile idadi ya tabia mbaya ulizoweza kuzizuia ndani yako, mtu anayejitawala ni hatari mno kuliko anayewatawala wengine, kwa sababu hakuna yeyote anayeweza kumzuia kufika popote anapotaka.
Ukiweza kuzishinda tabia ambazo zinakurudisha nyuma mara kwa mara,dunia itakuwa na kazi ngumu sana kukushinda.
Anza kujifunza now kusema hapana bila kumuumiza mtu,kuna lugha unaweza kutumia ambazo zinamaanisha hapana lakini zinapunguza uzito wa hiyo hapanamoja ya tabia ambayo huwa natamani kuishinda ni siwezi kusema hapana yaan mutu wakalibu akiniambia jambo hata kama sina uwezo nalo nakubal then baady nabak kujutia uamzi wangu mwenyew
Ni kwasababu unahofia atakuona je baada ya kumwambia kua huwezi hilo jambo lakemoja ya tabia ambayo huwa natamani kuishinda ni siwezi kusema hapana yaan mutu wakalibu akiniambia jambo hata kama sina uwezo nalo nakubal then baady nabak kujutia uamzi wangu mwenyew
Exactly mkuu umesema vyemaAnza kujifunza now kusema hapana bila kumuumiza mtu,kuna lugha unaweza kutumia ambazo zinamaanisha hapana lakini zinapunguza uzito wa hiyo hapana
Mathalani,kuna michango ya harusi ambayo unatakiwa uchangie na hela huna,badala ya kusema sitaweza kuchangia,waeza sema Kwasasa nipo vibaya lakini ngoja nipambane nione nitafikia wapi? kwahiyo kwanza umeshamueleza mhusika kwamba huna hela ila utajitahidi kutafuta ikishindikana basi, so kwa kila situation utajua namna ya kuweka hapana ambayo inaning'inia
OkayThink straight and it will not happen
Kisaikolojia hii hali inaitwa cognitive dissonance, yaani mkinzano unaotokea kwenye akili yako pale unapokuwa na imani mbili zinazopingana au unachokipenda au kukiamini kinaposhindwa kuendana na tabia yako.well done ndugu mdau,
katika ulimwengu wa roho tunaita mafarakano nafsini, ni vita ambayo mpigaji na mpigwaji ni wewe mwenyewe.
In fact,
ikiwa imotional stability ya mtu ni madhubuti physically and mentally, ni hakika kwa Neema na Baraka za Mungu mtu huyo anaweza kua mshindi wa kila vita iwe ndani au nje ya nafsi yako.
walio dhaifu katika kudhibiti hisia zoa, hujikuta wakishindwa vita nyingi tena rahisi sana mapema mno. Mathalani unaweza kumkuta kijana akiona mbuzi au kuku wakijamiina, nae mbiombio bafuni anaenda kuchukua sheria mkononi na kujimaliza kwa sabuni.
Huku ni kushindwa vita vyako mwenyewe vya kisaikolojia vibaya mno.
I appreciate you very much ndugu mdau, God bless you 🐒