Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,061
Wasalaam JF
Niende kwenye mada straight, hivi inakuwaje katika jamii, sehemu za kazi, ujirani, au ndugu, mtu ambae haoni thamani yako anatambua uwepo wako nyakati zake za kuolewa au kuoa hasa michakato ya kuchangia pesa za harusi?
Kuna uhusiano gani kati ya harusi na kuwatafuta watu ambao huwa unawadisi ila unawatafuta nyakati za michakato ya harusi.
Huo ni utamaduni ulioigwa toka nchi gani tufahamishane.
Kwangu mimi mtu akiwa hana ukaribu na mimi anaejikuta akija na shida zake wala siongei nae, najisemesha akiwa anasikia wagalatia wanaonekana kwenye mipango ya utumwa na ufala. Mimi ni yuleyule Mungu aendelee kusimama katikati.
Wadiz ni hayo tu.
Niende kwenye mada straight, hivi inakuwaje katika jamii, sehemu za kazi, ujirani, au ndugu, mtu ambae haoni thamani yako anatambua uwepo wako nyakati zake za kuolewa au kuoa hasa michakato ya kuchangia pesa za harusi?
Kuna uhusiano gani kati ya harusi na kuwatafuta watu ambao huwa unawadisi ila unawatafuta nyakati za michakato ya harusi.
Huo ni utamaduni ulioigwa toka nchi gani tufahamishane.
Kwangu mimi mtu akiwa hana ukaribu na mimi anaejikuta akija na shida zake wala siongei nae, najisemesha akiwa anasikia wagalatia wanaonekana kwenye mipango ya utumwa na ufala. Mimi ni yuleyule Mungu aendelee kusimama katikati.
Wadiz ni hayo tu.