Mapenzini na askari polisi au wajeda wanawake

Mapenzini na askari polisi au wajeda wanawake

Mngojee akiwa amevaa nguo za kiraia ndio umtongoza,akiwa na magwanda yake ukimtongoza tu utakuwa umemvunjia heshima kwa mujibu wa sheria za jeshi la polisi na ana uwezo wa kukuarest kama akiamua na ukashitakiwa,hivyo kuwa makini mkuu

Mkuu hiyo ni sheria kabisa kwamba asipigwe kamba akiwa kwenye 'Yunifomu'?
 
Huku mtaani kwetu kuna mjeda mmoja mzuri mzuri hivi lakini sio kiviile alihamia mwanetu mmoja maskani akaomba namba za simu kimasihara akapewa (hapo alikuwa hajui kama yule demu mjeda) siku alipokuja kujua ni soldier mchizi akadelete number

Kuja kumchunguza vizuri yule soldier watu wanajipigia aibuuuu

Kwa siku atasindikiza wageni wa kiume hata watatu halafu atafuatwa na gari

Mwana kachokaaa hana hata hamu ya kumuaproach tenaaaa

Dah.. Hapo ni hasara taslimu
 
Mkuu acha woga hakuna mwanamke mbishi kwenye mgegedo.
Nenda hapo kituon kwa busara kabisa jifanye kama unatatizo na unaomba ushauri kwake yaan jishushe kabisa akikushaur unapoondoka mtoe hata ten moja au 15 tu halafu mwambie sory afande wangu naomba basi namba yako kukiwa na tatizo zzaid ntakutafuta.

Yaan hutu tu wp ukikaonesha kajisent tu baaas umeua. Mbona utajizolea kiaina
 
ni mwanamke kama wanawake wengine tu .

Kama unatongoza kwa busara anaweza kutoa
muda wake na kukusikiliza.

I like your mindset. I like your thinking capacity. Your common sense is more than common. Thumb my dada
 
ni mwanamke kama wanawake wengine tu .

Kama unatongoza kwa busara anaweza kutoa
muda wake na kukusikiliza.

I like your mindset. I like your thinking capacity. Your common sense is more than common. Thumb-up my dada
 
Nyie ndio mnaotutia aibu wanaume....

Mwanamke ni mwanamke tu, awe mwanajeshi au mtoto wa Obama. Ukicheza karata zako sawasawa, utang'oa tu.

By the way, deep down inside wote mahitaji yao ni yale yale, T.L.C
 
ungekuwa unajua kuwa hao askari magashi wanafeel company ya raia kuliko hata askari wenzao wa kiume yaani wala usingembwela mkuu...yaani kama nkate kwenye shai...wanalepweta tu maaskari wa kike...wakiona misimbazi kadhaa tu...kwisha kabisa... unakamata unamuelekeza kibra unachinja kama kawa...tena kunako tendo wengi wanakuwaga na mzuka ile mbaya...mkuu unaweza ukakuta ghafla unapigiwa salute...!
 
ungekuwa unajua kuwa hao askari magashi wanafeel company ya raia kuliko hata askari wenzao wa kiume yaani wala usingembwela mkuu...yaani kama nkate kwenye shai...wanalepweta tu maaskari wa kike...wakiona misimbazi kadhaa tu...kwisha kabisa... unakamata unamuelekeza kibra unachinja kama kawa...tena kunako tendo wengi wanakuwaga na mzuka ile mbaya...mkuu unaweza ukakuta ghafla unapigiwa salute...!

umeongea kweli... Yaan sijui kwann askari wa kike hawawapendi askar wa kiume wanadai ni malaya sana hawatulii na mwanamke mmoja, wakat huo hata wao ni vicheche mno. Ndio maana walio wengi hawaolewi
 
Habari za leo wanajamvi? Natumai mu wazima... Jaman leo nimekuja na hili swali.. Hivi inatuwia vipi sisi wanaume kuwatongoza askari polisi au wanajeshi wanawake?
Hapa mtaani kwetu kwa juu kidogo kuna kituo cha polisi sasa kuna askari mmoja wa kike ni mgeni (nadhani ni wale waliomaliza mafunzo miezi kadhaa iliyopita) kahamia hapa yaani ni kisu balaa.. Ila sasa ugumu unakuja nikishamuona tu ndani ya gwanda naona kama nikienda kuimbisha ntaambiwa 'Haroo unareta utani na jeshi ra Porisi eeh? Haya twende kituoni ukarare sero'.
Yaan huwa najiuliza yan sisi raia wa kawaida hatuwez kuwamiliki na kuwagegeda hawa askari polisi au wale wanaovaa ya mabaka mabaka wa kike? Loooh!!!!

Mkuu hakuna kosa la kumtongoza askari, hivyo usiogope ila tegemea kuwa mtakuwa zaidi ya wawili kwa huyo huyo askari!
 
ndio Mkuu,kama upo na askari unayeelewana nae muulize tu atakuambia,kuhusu kupigwa kamba inawezekana ukampiga ila hadi apende ila na yeye akifumwa hana kazi
 
Back
Top Bottom