Mapenzini na askari polisi au wajeda wanawake

Mapenzini na askari polisi au wajeda wanawake

Nijuavyo mm hao hawanatofauti na watu wengne hata wao wanatamani kama wafanyavyo kaka zao kwahyo hatawao wanapigwatu kitaa,fuatilia walio kazini muda mrefu utakuta wanawatoto wakiwa hawana waume wa ndoa kwahiyo wanapigika tu,ila kwahuyo unaemsifu naamini lazima kuna bosi anammega tahazari ikivuja kuwa unamtokea ujue utapewa kesi na utapotea mtaani.
 
we jamaa ni muongo ata cheo chake hujui kukiandika afu unasema ulitafuna sifa za KI.JI.N.GA...........

whatever kifupisho kilivyo Mkuu wa upelelezi wa wilaya anaitwaje?second,kugonga nako ni sifa?sioni haja ya kujilimbikizia idadi ya nilyoowala hili tu nionekane jembe....
 
whatever kifupisho kilivyo Mkuu wa upelelezi wa wilaya anaitwaje?second,kugonga nako ni sifa?sioni haja ya kujilimbikizia idadi ya nilyoowala hili tu nionekane jembe....

sas hicho ndo kifupisho? kamuulize ulomla bana me cjui
 
Hivi si kuna sheria ya raia kutomuoa askari? Na mkipendana, kuna fomu unajaza yenye masharti magumu? Mwenye taarifa anisaidie, maana..
^^

wote wanaolewa na raia ila unaeoa unapaswa kuandika barua ya maombi mkuu... then baadae utapewa masharti ya kuishi na huyo bibie
 
wote wanaolewa na raia ila unaeoa unapaswa kuandika barua ya maombi mkuu... then baadae utapewa masharti ya kuishi na huyo bibie

hyo labda ilikuwa zaman lakn sasa hvi watu wanajizolea tu. Hakuna cha maombi wala nn.

Kwanza hata ile sheria ya kuwa akitoka depo lazma akae miaka 3 nayo haipo watu wanatoka depo ndan ya wiki mbili tayar mimba
 
Vizuri mfuate akiwa hajavaa gwanda maana akizivaa tu anakuwa na uso wa kazi.
 
Wewe utakuwa mvulana tu..subiri uwe mwanaume ili uweze kuwaelewa hawa viumbe
 
Mimi siwezi kuharibu muda wangu na askari yeyote yule hata awe msupa vipi. Venye wanajifanya kuwa strict nkt!
Juzi lingine lilinipigisha magoti ati kisa sikusimama wakati anashusha bendera ilhali sikusikia firimbi.
Wanaume tuwachukieni sote!
 
Mimi siwezi kuharibu muda wangu na askari yeyote yule hata awe msupa vipi. Venye wanajifanya kuwa strict nkt!
Juzi lingine lilinipigisha magoti ati kisa sikusimama wakati anashusha bendera ilhali sikusikia firimbi.
Wanaume tuwachukieni sote!

Dadadadeq!pole sana mkuu ndo maana huwapendi.
 
Mimi siwezi kuharibu muda wangu na askari yeyote yule hata awe msupa vipi. Venye wanajifanya kuwa strict nkt!
Juzi lingine lilinipigisha magoti ati kisa sikusimama wakati anashusha bendera ilhali sikusikia firimbi.
Wanaume tuwachukieni sote!

ww ukizira wenzio twala.
 
Habari za leo wanajamvi? Natumai mu wazima.

Jamani leo nimekuja na hili swali. Hivi inatuwia vipi sisi wanaume kuwatongoza askari polisi au wanajeshi wanawake?

Hapa mtaani kwetu kwa juu kidogo kuna kituo cha polisi sasa kuna askari mmoja wa kike ni mgeni (nadhani ni wale waliomaliza mafunzo miezi kadhaa iliyopita) kahamia hapa yaani ni kisu balaa.

Ila sasa ugumu unakuja nikishamuona tu ndani ya gwanda naona kama nikienda kuimbisha ntaambiwa 'Haroo unareta utani na jeshi ra Porisi eeh? Haya twende kituoni ukarare sero'.

Yaani huwa najiuliza yaani sisi raia wa kawaida hatuwezi kuwamiliki na kuwagegeda hawa askari polisi au wale wanaovaa ya mabaka mabaka wa kike?

kama unataka kupelekeshwa utaoa
 
hyo labda ilikuwa zaman lakn sasa hvi watu wanajizolea tu. Hakuna cha maombi wala nn.

Kwanza hata ile sheria ya kuwa akitoka depo lazma akae miaka 3 nayo haipo watu wanatoka depo ndan ya wiki mbili tayar mimba

thubutuuuuu.. hiyo sheria inatekelezwa barabara mkuu. ukikiuka inategemea na boss wako yuko vipi ila wanasainigi mkataba kuwa hutooa/kuolewa wala kuzaa mpaka miaka mitatu ipite. watu wanafukuzwa kazi kabisa. na kuhusu suala la mkataba wa.ndoa sheria inakiukwa kwa kuzoana bila utaratibu ila ipo na inafanya kazi. kuna masharti ya kuishi na huyo mkeo.. tafuta mwanasheria au askari polisi akuelezee hii kitu mkuu
 
thubutuuuuu.. hiyo sheria inatekelezwa barabara mkuu. ukikiuka inategemea na boss wako yuko vipi ila wanasainigi mkataba kuwa hutooa/kuolewa wala kuzaa mpaka miaka mitatu ipite. watu wanafukuzwa kazi kabisa. na kuhusu suala la mkataba wa.ndoa sheria inakiukwa kwa kuzoana bila utaratibu ila ipo na inafanya kazi. kuna masharti ya kuishi na huyo mkeo.. tafuta mwanasheria au askari polisi akuelezee hii kitu mkuu

mkuu naongea kile nilicho kiona kwa macho yangu.
Maisha ya kota ndio nmekulia huko. Kwahyo sio kwamba naongea rumous bali ni kitu nilicho na uhakika nacho.

Ila tu ukizaa au ukioa kabla ya mkataba huwez kupata haki zako stahiki
 
Nahisi mtoa mada atakua mvulana.mtoa mada kama kweli uko siriasi hebu tuambie una miaka mingapi.
 
Habari za leo wanajamvi? Natumai mu wazima.

Jamani leo nimekuja na hili swali. Hivi inatuwia vipi sisi wanaume kuwatongoza askari polisi au wanajeshi wanawake?

Hapa mtaani kwetu kwa juu kidogo kuna kituo cha polisi sasa kuna askari mmoja wa kike ni mgeni (nadhani ni wale waliomaliza mafunzo miezi kadhaa iliyopita) kahamia hapa yaani ni kisu balaa.

Ila sasa ugumu unakuja nikishamuona tu ndani ya gwanda naona kama nikienda kuimbisha ntaambiwa 'Haroo unareta utani na jeshi ra Porisi eeh? Haya twende kituoni ukarare sero'.

Yaani huwa najiuliza yaani sisi raia wa kawaida hatuwezi kuwamiliki na kuwagegeda hawa askari polisi au wale wanaovaa ya mabaka mabaka wa kike?

Wewe mwenyewe umeshasema ni kisu sasa hujui kuwa ukiendelea na huo upuuzi wako hicho kisu kitakukata?
 
Mbona mnaona ugumu kumtwaa huyo mjeda?? Ka vip niombe nimtokee kwa ajili yako. Huyo ni mwanamke tu ka wengine mbona?? Ila, nenda saa ambayo hana mambo yanayo mbughudhi, usiende na wallet wazi, umwombe muda wa kukusikiliza hoja yako na akupe kaushauri ila hoja yako ni private.
Mbona atakusikiliza vizuri tuu. Chonde chonde, usiende umeshikilia mpini wako mkononi tayari kuutwangia. Utalala sero
 
Habari za leo wanajamvi? Natumai mu wazima.

Jamani leo nimekuja na hili swali. Hivi inatuwia vipi sisi wanaume kuwatongoza askari polisi au wanajeshi wanawake?

Hapa mtaani kwetu kwa juu kidogo kuna kituo cha polisi sasa kuna askari mmoja wa kike ni mgeni (nadhani ni wale waliomaliza mafunzo miezi kadhaa iliyopita) kahamia hapa yaani ni kisu balaa.

Ila sasa ugumu unakuja nikishamuona tu ndani ya gwanda naona kama nikienda kuimbisha ntaambiwa 'Haroo unareta utani na jeshi ra Porisi eeh? Haya twende kituoni ukarare sero'.

Yaani huwa najiuliza yaani sisi raia wa kawaida hatuwezi kuwamiliki na kuwagegeda hawa askari polisi au wale wanaovaa ya mabaka mabaka wa kike?

Jins unavyomtaka huyo askari wa kike hapo hapo mtaani kwenu kuna mjeda wa kiume anakumezea mate. Kila akikuona anasisimka Kwa hiyo kaa chonjo usije ukaliwa kabla hujala.
 
tulimkuta mmoja nikiwa najamaa yangu mmoja alikuwa kwenye meza peke yake anakamua redds tukakaa ile meza ,wanaongea kinyenyekevu na kwa uangalifu sana. mda wote wanajaribu kukufahamu zaidi.wanaogopa kuingizwa kingi na wahalifu mfano kugegedwa na jambazi.baada ya kinywaji kukolea na mahusiano kuimarika yule mdada akamkubalia jamaa ila akasisitiza game isiwe azam coplex iwe geto kwake. jamaa alikuwa keshapata ma castle milk akaenda kujilia japokuwa dem alikuwa anaishi na mdogo wake wa fomu two wa kime next room.
 
Back
Top Bottom