Magnesium
JF-Expert Member
- Nov 9, 2014
- 317
- 185
Habari za leo wanajamvi? Natumai mu wazima.
Jamani leo nimekuja na hili swali. Hivi inatuwia vipi sisi wanaume kuwatongoza askari polisi au wanajeshi wanawake?
Hapa mtaani kwetu kwa juu kidogo kuna kituo cha polisi sasa kuna askari mmoja wa kike ni mgeni (nadhani ni wale waliomaliza mafunzo miezi kadhaa iliyopita) kahamia hapa yaani ni kisu balaa.
Ila sasa ugumu unakuja nikishamuona tu ndani ya gwanda naona kama nikienda kuimbisha ntaambiwa 'Haroo unareta utani na jeshi ra Porisi eeh? Haya twende kituoni ukarare sero'.
Yaani huwa najiuliza yaani sisi raia wa kawaida hatuwezi kuwamiliki na kuwagegeda hawa askari polisi au wale wanaovaa ya mabaka mabaka wa kike?
Jamani leo nimekuja na hili swali. Hivi inatuwia vipi sisi wanaume kuwatongoza askari polisi au wanajeshi wanawake?
Hapa mtaani kwetu kwa juu kidogo kuna kituo cha polisi sasa kuna askari mmoja wa kike ni mgeni (nadhani ni wale waliomaliza mafunzo miezi kadhaa iliyopita) kahamia hapa yaani ni kisu balaa.
Ila sasa ugumu unakuja nikishamuona tu ndani ya gwanda naona kama nikienda kuimbisha ntaambiwa 'Haroo unareta utani na jeshi ra Porisi eeh? Haya twende kituoni ukarare sero'.
Yaani huwa najiuliza yaani sisi raia wa kawaida hatuwezi kuwamiliki na kuwagegeda hawa askari polisi au wale wanaovaa ya mabaka mabaka wa kike?