Mapenzi yanauma

Mapenzi yanauma

Ujifunze kutokana na makosa katika mapenzi utaupata udhoefu kadri unavyoendelea kutendwa mwisho wa siku utazoea utaona ya kawaida tuu mkuu maana hata mimi sasa nimekua mdhoefu
 
Ukiwa hujasalitiwa utakuwa mpole ngoja usalitiwe utakuwa kama mbogo aliyejeruhiwa.
 
Hata sisi wengne kabla hatujasalitiwa tulikuwa na huruma hivyohivyo. Ila baada ya kujua hawa wadudu hawana huruma nikuwaburuza tu.

Kilichozalikana kutokana na hao wadudu,nacho ni mdudu.
 
Usiyasikie mapenzi ukadhani ni kitu cha mchezo, saa nyingine watu hujiua kwa ajili ya mapenzi, wengine hupoteza kazi na hata ramani ya maisha, hivyo usisikie mapenzi ukayachukulia kitu rahisi.

Ukisikia mtu kaoa muheshimu sana, pia wewe mwanamke ulie ndani ya ndoa muheshimu mumeo na mume ndani ya ndoa muheshimu sana mkeo, maana shida na matatizo yako anayajua yeye, huyo wa pembeni akuna anachokijua.

Usiruhusu tamaa ikatawala na kuharibu ndoa yenu au mahusiono yenu

Asanteni.
Ndo maana vitabu vya dini vinataka tuishi kwa akili sana na hawa viumbe ila nadhan wengi hawajal hilo.mwanamke n kitendawili nightmare.ishi nao kw akili sana utajua mengi usikurupuke n kufanya maamuz hasi peleleza ukishamsoma akili yake ucheze na akili yako kuichezea akili yake
 
Ndo maana vitabu vya dini vinataka tuishi kwa akili sana na hawa viumbe ila nadhan wengi hawajal hilo.mwanamke n kitendawili nightmare.ishi nao kw akili sana utajua mengi usikurupuke n kufanya maamuz hasi peleleza ukishamsoma akili yake ucheze na akili yako kuichezea akili yake
nimekusoma mkuu
 
Usiyasikie mapenzi ukadhani ni kitu cha mchezo, saa nyingine watu hujiua kwa ajili ya mapenzi, wengine hupoteza kazi na hata ramani ya maisha, hivyo usisikie mapenzi ukayachukulia kitu rahisi.

Ukisikia mtu kaoa muheshimu sana, pia wewe mwanamke ulie ndani ya ndoa muheshimu mumeo na mume ndani ya ndoa muheshimu sana mkeo, maana shida na matatizo yako anayajua yeye, huyo wa pembeni akuna anachokijua.

Usiruhusu tamaa ikatawala na kuharibu ndoa yenu au mahusiono yenu

Asanteni.
"mapenzi ya dhati kumbukumbu yangu inaonyesha yalikuwa zamani kidogo"
 
Saa hizi ni kula ukishiba delete na weka kwenye dastibini piga fire
 
Back
Top Bottom