Na we Danny pia unaburuzwa??wengine ndio mara yetu ya kwanza kuburuzwa
Hata sisi wengne kabla hatujasalitiwa tulikuwa na huruma hivyohivyo. Ila baada ya kujua hawa wadudu hawana huruma nikuwaburuza tu.
Ujifunze kutokana na makosa katika mapenzi utaupata udhoefu kadri unavyoendelea kutendwa mwisho wa siku utazoea utaona ya kawaida tuu mkuu maana hata mimi sasa nimekua mdhoefu
Ndo maana vitabu vya dini vinataka tuishi kwa akili sana na hawa viumbe ila nadhan wengi hawajal hilo.mwanamke n kitendawili nightmare.ishi nao kw akili sana utajua mengi usikurupuke n kufanya maamuz hasi peleleza ukishamsoma akili yake ucheze na akili yako kuichezea akili yakeUsiyasikie mapenzi ukadhani ni kitu cha mchezo, saa nyingine watu hujiua kwa ajili ya mapenzi, wengine hupoteza kazi na hata ramani ya maisha, hivyo usisikie mapenzi ukayachukulia kitu rahisi.
Ukisikia mtu kaoa muheshimu sana, pia wewe mwanamke ulie ndani ya ndoa muheshimu mumeo na mume ndani ya ndoa muheshimu sana mkeo, maana shida na matatizo yako anayajua yeye, huyo wa pembeni akuna anachokijua.
Usiruhusu tamaa ikatawala na kuharibu ndoa yenu au mahusiono yenu
Asanteni.
nimekusoma mkuuNdo maana vitabu vya dini vinataka tuishi kwa akili sana na hawa viumbe ila nadhan wengi hawajal hilo.mwanamke n kitendawili nightmare.ishi nao kw akili sana utajua mengi usikurupuke n kufanya maamuz hasi peleleza ukishamsoma akili yake ucheze na akili yako kuichezea akili yake
hahaha eti ee unanogewa sio?sexy patner mwisho wa siku mnapendana.. na mengine yanafuata..
"mapenzi ya dhati kumbukumbu yangu inaonyesha yalikuwa zamani kidogo"Usiyasikie mapenzi ukadhani ni kitu cha mchezo, saa nyingine watu hujiua kwa ajili ya mapenzi, wengine hupoteza kazi na hata ramani ya maisha, hivyo usisikie mapenzi ukayachukulia kitu rahisi.
Ukisikia mtu kaoa muheshimu sana, pia wewe mwanamke ulie ndani ya ndoa muheshimu mumeo na mume ndani ya ndoa muheshimu sana mkeo, maana shida na matatizo yako anayajua yeye, huyo wa pembeni akuna anachokijua.
Usiruhusu tamaa ikatawala na kuharibu ndoa yenu au mahusiono yenu
Asanteni.
May be na weye ni mduduHao WADUDU ni pamoja na mama yako,dada zako,shangazi zako,na ndugu yako yeyote mwanamke uliye m-term kama "wadudu"