kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,059
- 3,646
mkuu ukisema hivyo ujue moyo wako hujakutana na mtu unayempenda bali umemtamani tu.Ni udhaifu mkubwa sana mwanaume kuteswa na kulia kisa mapenzi.
Nyie watu mpo very weak emotionally. Inakuwaje mnapenda penda mpaka mnaumizwa na kulia lia? Mbona mimi sipo hivyo wakuu?
Hiyo ndio Pandora boxHii picha Ina maana gani
Duh hata kama ni kupenda ila sio kuwa weak kiasi hicho asee. Mtu akizingua apite zake alolo aseee muda wa kuliliana mimi sinaga.mkuu ukisema hivyo ujue moyo wako hujakutana na mtu unayempenda bali umemtamani tu.
asikudanganye mtu et unaweza kujizuia ukampenda kidogo,kwanza moyo haupangiwi labda utakuw unapunguza zile tabia kama kupiga piga simu,sms za kila mara,mazoea ya kila muda,ila moyo umeshapenda.
ila mwanaume kufikia hatua ya kulia mbele ya demu aisee hii level unakuwa umelogwa (unalia kabsa unatoa na kwikwi)
oyaaaa
Kwahiyo wewe ni bikra sista?Bora sisi masister
HaikuhusuKwahiyo wewe ni bikra sista?
Sema basi kuna jamaa yangu anaitwa Jokajeusi anatafuta mke bikra.Haikuhusu
Ukiona hivyo bado hujapenda kwa dhati ..Ni udhaifu mkubwa sana mwanaume kuteswa na kulia kisa mapenzi.
Nyie watu mpo very weak emotionally. Inakuwaje mnapenda penda mpaka mnaumizwa na kulia lia? Mbona mimi sipo hivyo wakuu?
S. na tobo lakoBora sisi masister
Sijui sasa ndio useme kama mtafaana muelewane.Anaitwa jokajeusi anataka MWANAMKE bikra anataka akamfanyie manzindiko ama nini?
Mimi sijawahi kuwa na fake love na sijawahi kuwa na parallel relationships hata siku moja. Nikipenda napenda kwa dhati lakini huwa sizinguliwi mkuu.Ukiona hivyo bado hujapenda kwa dhati ..
Mapenzi yanauma balaa
Endelea kulia....Nilikuwa naona mafala wanaolia na mapenzi
Nilikuwa naona kama wadhaifu au wana roho za kidada!!
Sasa mgumu yamenikuta
Juzi nimemfuma mpenzi na namba za jamaa kitombiii sana hapq mtaani!!
Na nilishasikiaga kama jamaa kapga mademu wote akiwemo huyu mpenzi wangu!!! Nikajua tetesi tu
Tulivoingia kwene mahusiano kanihakikishia niko mwenyewe kwanza mi ndo mpenzi wake wa pili!!
Eeh juzi nimeshika simu yake nikakuta namba imeandikwa jina la yule jamaa nikasala kumuuliza akapanik tukazinguana.
Kila mtu kaenda kivyake!!
Wiki sasa imepta sijamtafuta nimefuta na namba zake !!
Ila naumia aisee !! Kuna namna kanizoesha nai nai ambazo ckua nimezoea!! Sasa najaribu kujiweka busy namsahau sekunde nikikumbuka naaaumia!!! Stress
Kaa zote
Kuna muda nataman anitafute aniombe msamaha yaishe!!ila ndo hivo kanilia buyu
Aisee hamna mgumu mapenzi yanauma