"Mapenzi yanasumbua wajinga"

"Mapenzi yanasumbua wajinga"

^^
Ha ha haa! Kwa maelezo hayo, Mimi nakubali kuwa ni mjinga
^^
 
Na unapenda kuendelea kuwa mjinga

^^
Ndio... Mi nafikiri kuna kitu kimoja hukuamua kukiongelea! Inapotokea umempenda mtu huwezi jua unafanya nini au unasema nini! Kwako ni kama u-mauti.. Lakini ukivuka hatua hiyo basi ndio unatambua ulikuwa mjinga! Hapo ndipo unaweza kuja mbele za wenzako ukasema kupenda ni ujinga, vinginevyo, Love at its natural setting is an unconscious experience
^^
 
^^
Ndio... Mi nafikiri kuna kitu kimoja hukuamua kukiongelea! Inapotokea umempenda mtu huwezi jua unafanya nini au unasema nini! Kwako ni kama u-mauti.. Lakini ukivuka hatua hiyo basi ndio unatambua ulikuwa mjinga! Hapo ndipo unaweza kuja mbele za wenzako ukasema kupenda ni ujinga, vinginevyo, Love at its natural setting is an unconscious experience
^^

Hahahahaaa
 
Ndio maana walisema mapenzi ni upofu, Inamaanisha yakiisha ndo mtu unaweza kuona tena.
^^
Ndio... Mi nafikiri kuna kitu kimoja hukuamua kukiongelea! Inapotokea umempenda mtu huwezi jua unafanya nini au unasema nini! Kwako ni kama u-mauti.. Lakini ukivuka hatua hiyo basi ndio unatambua ulikuwa mjinga! Hapo ndipo unaweza kuja mbele za wenzako ukasema kupenda ni ujinga, vinginevyo, Love at its natural setting is an unconscious experience
^^
 
MAPENZI YNAWASUMBUA WAJINGA


wajanja tumetuliza nje ya box tuna cheki mchezo,wanaotoka ndani ya box mara nyingi hutoka na majonzi,masononeko,majeraha physical/mentally.
 
Wanajamvi habari zenu!

Natumaini hamjambo naombeni kuchangia mawazo yangu na nyie.

"Hakuna haja ya kuhangaika kuanzisha uhusiano na mtu ambaye unajiaminisha kuwa unampenda lakini ukiangalia kwa undani ni kama unajidanganya.

Unamtaka mtu kwa udi na uvumba, huli, hulali mambo yako yamesimama kisa eti unampenda na Yeye anakuzungusha. Swali la muhimu kujiuliza ni "Je ninampenda?" Automatically jibu litakuwa ndiyo.

Je nitamuoa au kuolewa naye?" Kama Jibu ni hapana! So what and why uteseke? Nini hatma (destination) ya uhusiano unaotaka kuuanzisha?

Unampenda mtu lakini unagundua hakupendi kwanini ung'ang'anize?

Mpenzi wako kakusaliti unalia sana unamsamehe lakini kesho anarudia. hapo unataka nini tena?
Siku zote tafuta ukweli ili uishi huru.

Unagundua mdada au mkaka unayemtaka ana mtu mwingine eti unaanza "ooh naomba niwe spear tyre" oooh muache Huyo mi ndo nakupenda sana" kesho akija mwingine akamwambia kama wewe ulivyofanya?

"Your life can be happy if you want to make it happy and not otherwise"


Ni vizuri pia kusoma hapa: Mapenzi yanauma
 
Wanajamvi habari zenu!

Natumaini hamjambo naombeni kuchangia mawazo yangu na nyie.

"Hakuna haja ya kuhangaika kuanzisha uhusiano na mtu ambaye unajiaminisha kuwa unampenda lakini ukiangalia kwa undani ni kama unajidanganya.

Unamtaka mtu kwa udi na uvumba, huli, hulali mambo yako yamesimama kisa eti unampenda na Yeye anakuzungusha. Swali la muhimu kujiuliza ni "Je ninampenda?" Automatically jibu litakuwa ndiyo.

Je nitamuoa au kuolewa naye?" Kama Jibu ni hapana! So what and why uteseke? Nini hatma (destination) ya uhusiano unaotaka kuuanzisha?

Unampenda mtu lakini unagundua hakupendi kwanini ung'ang'anize?

Mpenzi wako kakusaliti unalia sana unamsamehe lakini kesho anarudia. hapo unataka nini tena?
Siku zote tafuta ukweli ili uishi huru.

Unagundua mdada au mkaka unayemtaka ana mtu mwingine eti unaanza "ooh naomba niwe spear tyre" oooh muache Huyo mi ndo nakupenda sana" kesho akija mwingine akamwambia kama wewe ulivyofanya?

"Your life can be happy if you want to make it happy and not otherwise"
Penzi kitovu cha uzembe.
Lazima tugutuke na kuacha kulialia bila hata mpango. Leo unalia na kesho unalia haaaah!
 
MAPENZI YNAWASUMBUA WAJINGA


wajanja tumetuliza nje ya box tuna cheki mchezo,wanaotoka ndani ya box mara nyingi hutoka na majonzi,masononeko,majeraha physical/mentally.
Ht me nilishakuwa km ww kilaza mbaya kbs yaani hd kdg nifkuzwe mtaan na balozi ckuwahi kupenda mwanamke wao walinifia n kujitongozesha me nagonga maana nilikuwa HB ila nimekamatika sshv cwez ht kutoka afu mke lenyew baya kila nikilitoa kasoro moyon nilichukie nashindw cjui ashaniloga yaana nalipenda kufa mtu.kweli ndege mjanja hunaswa n tundu bovu
 
Kiukweli suluhisho ni kumpenda anayekupenda
 
Back
Top Bottom