Na unapenda kuendelea kuwa mjinga
^^
Ndio... Mi nafikiri kuna kitu kimoja hukuamua kukiongelea! Inapotokea umempenda mtu huwezi jua unafanya nini au unasema nini! Kwako ni kama u-mauti.. Lakini ukivuka hatua hiyo basi ndio unatambua ulikuwa mjinga! Hapo ndipo unaweza kuja mbele za wenzako ukasema kupenda ni ujinga, vinginevyo, Love at its natural setting is an unconscious experience
^^
Sababu love haielewekiWhy do u say so?
^^
Ndio... Mi nafikiri kuna kitu kimoja hukuamua kukiongelea! Inapotokea umempenda mtu huwezi jua unafanya nini au unasema nini! Kwako ni kama u-mauti.. Lakini ukivuka hatua hiyo basi ndio unatambua ulikuwa mjinga! Hapo ndipo unaweza kuja mbele za wenzako ukasema kupenda ni ujinga, vinginevyo, Love at its natural setting is an unconscious experience
^^
Wanajamvi habari zenu!
Natumaini hamjambo naombeni kuchangia mawazo yangu na nyie.
"Hakuna haja ya kuhangaika kuanzisha uhusiano na mtu ambaye unajiaminisha kuwa unampenda lakini ukiangalia kwa undani ni kama unajidanganya.
Unamtaka mtu kwa udi na uvumba, huli, hulali mambo yako yamesimama kisa eti unampenda na Yeye anakuzungusha. Swali la muhimu kujiuliza ni "Je ninampenda?" Automatically jibu litakuwa ndiyo.
Je nitamuoa au kuolewa naye?" Kama Jibu ni hapana! So what and why uteseke? Nini hatma (destination) ya uhusiano unaotaka kuuanzisha?
Unampenda mtu lakini unagundua hakupendi kwanini ung'ang'anize?
Mpenzi wako kakusaliti unalia sana unamsamehe lakini kesho anarudia. hapo unataka nini tena?
Siku zote tafuta ukweli ili uishi huru.
Unagundua mdada au mkaka unayemtaka ana mtu mwingine eti unaanza "ooh naomba niwe spear tyre" oooh muache Huyo mi ndo nakupenda sana" kesho akija mwingine akamwambia kama wewe ulivyofanya?
"Your life can be happy if you want to make it happy and not otherwise"
Penzi kitovu cha uzembe.Wanajamvi habari zenu!
Natumaini hamjambo naombeni kuchangia mawazo yangu na nyie.
"Hakuna haja ya kuhangaika kuanzisha uhusiano na mtu ambaye unajiaminisha kuwa unampenda lakini ukiangalia kwa undani ni kama unajidanganya.
Unamtaka mtu kwa udi na uvumba, huli, hulali mambo yako yamesimama kisa eti unampenda na Yeye anakuzungusha. Swali la muhimu kujiuliza ni "Je ninampenda?" Automatically jibu litakuwa ndiyo.
Je nitamuoa au kuolewa naye?" Kama Jibu ni hapana! So what and why uteseke? Nini hatma (destination) ya uhusiano unaotaka kuuanzisha?
Unampenda mtu lakini unagundua hakupendi kwanini ung'ang'anize?
Mpenzi wako kakusaliti unalia sana unamsamehe lakini kesho anarudia. hapo unataka nini tena?
Siku zote tafuta ukweli ili uishi huru.
Unagundua mdada au mkaka unayemtaka ana mtu mwingine eti unaanza "ooh naomba niwe spear tyre" oooh muache Huyo mi ndo nakupenda sana" kesho akija mwingine akamwambia kama wewe ulivyofanya?
"Your life can be happy if you want to make it happy and not otherwise"
Lazima tugutuke na kuacha kulialia bila hata mpango. Leo unalia na kesho unalia haaaah!
Ipi bora dada akuonyeshe mapenz yote afu awe anakusaliti au usione mapenz kwake ila hakusaliti.which is it?Mapenz yanatesa sana hasa unapompenda mtu asiekupenda
Ht me nilishakuwa km ww kilaza mbaya kbs yaani hd kdg nifkuzwe mtaan na balozi ckuwahi kupenda mwanamke wao walinifia n kujitongozesha me nagonga maana nilikuwa HB ila nimekamatika sshv cwez ht kutoka afu mke lenyew baya kila nikilitoa kasoro moyon nilichukie nashindw cjui ashaniloga yaana nalipenda kufa mtu.kweli ndege mjanja hunaswa n tundu bovuMAPENZI YNAWASUMBUA WAJINGA
wajanja tumetuliza nje ya box tuna cheki mchezo,wanaotoka ndani ya box mara nyingi hutoka na majonzi,masononeko,majeraha physical/mentally.