Mapenz yanatesa sana hasa unapompenda mtu asiekupenda
masikini roho yangu mimi
Sio kila unayempenda unataka kumuoa. wengine unawapenda kwa ajili ya michepuko tuuuuu.
Kama Mimi kuna mdada nampenda sana lakini baada ya kunipiga kibuti nimejipa moyo ntapata mwingine tu sina haja ya kuumia coz yeye yuko happy kwanin Mimi Ndo niumie
pole manka mushi
Nimefurahi tu kwa kuwa unajaribu kuyafanya masuala ya moyo yawe ya kiakili.Mbona unacheka?