"Mapenzi yanasumbua wajinga"

"Mapenzi yanasumbua wajinga"

Kashindi

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2011
Posts
349
Reaction score
250
Wanajamvi habari zenu!

Natumaini hamjambo naombeni kuchangia mawazo yangu na nyie.

"Hakuna haja ya kuhangaika kuanzisha uhusiano na mtu ambaye unajiaminisha kuwa unampenda lakini ukiangalia kwa undani ni kama unajidanganya.

Unamtaka mtu kwa udi na uvumba, huli, hulali mambo yako yamesimama kisa eti unampenda na Yeye anakuzungusha. Swali la muhimu kujiuliza ni "Je ninampenda?" Automatically jibu litakuwa ndiyo.

Je nitamuoa au kuolewa naye?" Kama Jibu ni hapana! So what and why uteseke? Nini hatma (destination) ya uhusiano unaotaka kuuanzisha?

Unampenda mtu lakini unagundua hakupendi kwanini ung'ang'anize?

Mpenzi wako kakusaliti unalia sana unamsamehe lakini kesho anarudia. hapo unataka nini tena?
Siku zote tafuta ukweli ili uishi huru.

Unagundua mdada au mkaka unayemtaka ana mtu mwingine eti unaanza "ooh naomba niwe spear tyre" oooh muache Huyo mi ndo nakupenda sana" kesho akija mwingine akamwambia kama wewe ulivyofanya?

"Your life can be happy if you want to make it happy and not otherwise"
 
hivi unalia ili nini? unampenda hakupendi just go do other thing which is productive atakuja tu atakeye kupenda ..aisee nitalilia nikiona nimepiga dili afu mtu kakimbia na hela yangu huwa nalia sana ....

Hahahahhaaaaaaa does money need love or love need money?
 
kupenda kwa asilimia nyingi ni emotional feeling bila logic, na mara nyingi emotion overpower logic. hivyo sehem kubwa ya kupenda ni ujinga
 
kupenda kwa asilimia nyingi ni emotional feeling bila logic, na mara nyingi emotion overpower logic. hivyo sehem kubwa ya kupenda ni ujinga

aiseeeeeeeee!!!!!!!! kupenda .. nakupenda... nilikupenda..... nitakupenda aiseeee
 
Nimesoma sred yako ikanijia sentensi hii 'Kashindi ng'wibi o'mchele'
 
Wanajamvi habari zenu!

Natumaini hamjambo naombeni kuchangia mawazo yangu na nyie.

"Hakuna haja ya kuhangaika kuanzisha uhusiano na mtu ambaye unajiaminisha kuwa unampenda lakini ukiangalia kwa undani ni kama unajidanganya.

Unamtaka mtu kwa udi na uvumba, huli, hulali mambo yako yamesimama kisa eti unampenda na Yeye anakuzungusha. Swali la muhimu kujiuliza ni "Je ninampenda?" Automatically jibu litakuwa ndiyo.

Je nitamuoa au kuolewa naye?" Kama Jibu ni hapana! So what and why uteseke? Nini hatma (destination) ya uhusiano unaotaka kuuanzisha?

Unampenda mtu lakini unagundua hakupendi kwanini ung'ang'anize?

Mpenzi wako kakusaliti unalia sana unamsamehe lakini kesho anarudia. hapo unataka nini tena?
Siku zote tafuta ukweli ili uishi huru.

Unagundua mdada au mkaka unayemtaka ana mtu mwingine eti unaanza "ooh naomba niwe spear tyre" oooh muache Huyo mi ndo nakupenda sana" kesho akija mwingine akamwambia kama wewe ulivyofanya?

"Your life can be happy if you want to make it happy and not otherwise"

Baada ya kusoma mada yako, moyo wangu umelia "paa!" ndo nshakupenda hapo!

Aya niambie nakupataje?
 
Back
Top Bottom