Mapenzi yamenitesa nasema sasa basi

Mapenzi yamenitesa nasema sasa basi

HaMachiach

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
3,445
Reaction score
6,207
Habari za usiku upande wangu nmekuwa na wakati mgumu wiki hii inayo Isha nilipogundua mpenzi wangu niliyempangia nyumba ameondoka bila taarifa ameenda kwa mwanaume mwingine huku ndugu zake wakiogopa kuniambia ukweli na Kila nilimuuliza ananiambia Yuko kwao lakini vitu vyake vyote ameacha ndani.

Hadi badae ya siku kazaa mama yake aliponitafuta na kuniambia ukweli alisema tulikuwa tunaogopa kukuambia maana huyu mwenzako amebadilika hakika nmeteseka hadi utendaji kazi wangu ukpungua nayalaani mapenzi mimi
 
Poleni Sana mnaoteswa na hawa viumbe


Jana kuna jamaa naye ananipa stori amekaa na mwanamke Miaka mitatu kumbe aliolewaga Jana..mama mkwe ndo kamchana jamaa kwamba huyo NI mke wa mtu unapoteza naye muda .halafu wamejenga wote nyumban..
Hawa viumbe kuishi nao inahitaji akili ya kijanja yaani mfanye kama ndugu au rafiki zaidi..kingine ambao hamjaoa tafuteni wanawake wa nyumbani kijijini kwenu ikibidi hata ukoo wako na ukoo wako wanajuana vzr
 
Habari za usiku upande wangu nmekuwa na wakati mgumu wiki hii inayo Isha nilipogundua mpenzi wangu niliyempangia nyumba ameondoka bila taarifa ameenda kwa mwanaume mwingine huku ndugu zake wakiogopa kuniambia ukweli na Kila nilimuuliza ananiambia Yuko kwao lakini vitu vyake vyote ameacha ndani.

Hadi badae ya siku kazaa mama yake aliponitafuta na kuniambia ukweli alisema tulikuwa tunaogopa kukuambia maana huyu mwenzako amebadilika hakika nmeteseka hadi utendaji kazi wangu ukpungua nayalaani mapenzi mimi
Always hakikisha una wanawake live zaidi ya sita pale unapoona mkeo au mtu wako ni pasua kichwa,hebu jitahidi ujue zamani mbanga zao zilikuwaje,acha kulia njoo na plan b,acha kulialia simama na moyo wako,utandawazi umekuja na wengi,unahitaji kuishi kama mfalme.
 
Huko alipoenda atapigika tu,ila akirudi usimpokee kamwe,msaliti hua hasamehewi,

Tumia hizi hasira kutafuta hela zaidi,wewe sio mtu wa kwanza wala wa mwisho kuumizwa na mapenzi,

Hope umepata somo kupitia huo mkasa na hutorudia tena hilo kosa.
 
Habari za usiku upande wangu nmekuwa na wakati mgumu wiki hii inayo Isha nilipogundua mpenzi wangu niliyempangia nyumba ameondoka bila taarifa ameenda kwa mwanaume mwingine huku ndugu zake wakiogopa kuniambia ukweli na Kila nilimuuliza ananiambia Yuko kwao lakini vitu vyake vyote ameacha ndani.

Hadi badae ya siku kazaa mama yake aliponitafuta na kuniambia ukweli alisema tulikuwa tunaogopa kukuambia maana huyu mwenzako amebadilika hakika nmeteseka hadi utendaji kazi wangu ukpungua nayalaani mapenzi mimi
Pole mdau.
Oa mwingine.
Usiishi tu kiholela, wengi watakuacha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom