Mapenzi ya wanafunzi wa kileo

Mapenzi ya wanafunzi wa kileo

Siku hiz maembe yanaliwa na chumvi kabla hajakomaa, wakati ww unasubiri embe likomae kama sio kuiva kabisa mtini vijana wanayatungua mapema kabla hata ya kukomaa yanaliwa then wana kausemi chao watoto wa njini MTOTO WA MWENZIWE MKUBWA MWENZIWE.
 
Mi naona liwepo somo la mapenzi kuliko kumsoma Adolf hitler jitu likatili mpaka watoto wanakuwa panya road weka somo la mapenz tutafaidika kama;
(i)kupnguza maambukiza ya HIV/AIDS pamoja na STDs
(ii)mimba zisizotarajia no
(iii)ongezeeni hapa......
 
Ulisoma moro sec nini!! 'kudimbua'
Hostel Chota maji ya kuoga asubuhi uzubae uone watavokudimbulia uhaba wa maji watu ndo tunatumia chance hahaha full kujizunhusha maeneo ya forest
 
She died jamani.
Afu ukute ulikua my bed mate wewe hahahahahaha! Moro sec enzi hizo sikuhizi watoto wameharibikaaaa wanauza sura tu hata performance imeshuka sana tofauti na miaka ileeee
 
Afu ukute ulikua my bed mate wewe hahahahahaha! Moro sec enzi hizo sikuhizi watoto wameharibikaaaa wanauza sura tu hata performance imeshuka sana tofauti na miaka ileeee
Kwakweli now pamebaki jina tu.
 
Kwakweli now pamebaki jina tu.
Na yule matron yule alikua na roho nyeusiiii bado yupo?? je yule mwl wa kifaransa nae alikua anakaa kule juu hostel yule ambae alichanganyikiwaga mkewe alipokufa kwenye ajali ya treni dodoma vipi bado yupo?! sir Alex je?! Nayule mwalimu wa kiume wa uchumi / maths aliekuaga na adhabu za kijinga jinga kama kakumbatia mti, kupanda kwenye Lile kenta lililoharibika pale nje ya dinning vipi lakini nao wapo??
 
Na yule matron yule alikua na roho nyeusiiii bado yupo?? je yule mwl wa kifaransa nae alikua anakaa kule juu hostel yule ambae alichanganyikiwaga mkewe alipokufa kwenye ajali ya treni dodoma vipi bado yupo?! sir Alex je?! Nayule mwalimu wa kiume wa uchumi / maths aliekuaga na adhabu za kijinga jinga kama kakumbatia mti, kupanda kwenye Lile kenta lililoharibika pale nje ya dinning vipi lakini nao wapo??

Sina uhakika kama bado wapo.
 
Jamani mkangwa alihama mpaka alilia yani.. Duh
Mkangwa alipendwa sana....
Alikua akiondoka mabalaa yanaanza.....
Akikaa sana watu wanaomba arudi........
Kama ndo karudi akija pared watu wanapiga shangwe, nyimbo kama kaingia Mokozi wao.....
Nilikuja skis kawa afsa Elimu.......!
 
e2f2dc4122fedb9b6cdcde1a561940ee.jpg
Dogo kaachwa bombani na mamaye,sasa anawaza na mimi nitakuwa na majukumu kama haya au zaidi
 
Ninadhani kama wazazi pia tukae chini na watoto na kuwaeleza bayana dunia inavyokwenda na umuhimu wa kutunza miili yao kwa baadae, madhara na faida. Sasa kama mzazi unaona aibu kuongelea sex na mtoto wakati access ya information anayopata kwenye simu, kwa marafiki haya kumbe kuna kula pilau pia.
 
Mkangwa alipendwa sana....
Alikua akiondoka mabalaa yanaanza.....
Akikaa sana watu wanaomba arudi........
Kama ndo karudi akija pared watu wanapiga shangwe, nyimbo kama kaingia Mokozi wao.....
Nilikuja skis kawa afsa Elimu.......!
Moro schoooooolllll..our schoooooolllll,,, of respect,,, we are proud of youuuu,
Victory and prosperity. , are the goals of mankind,,, these can only be achieved through education... Dear young... Hahah malizia basi
espy hivi bado unaukumbuka wimbo wa shule kweli??
 
Mkangwa alipendwa sana....
Alikua akiondoka mabalaa yanaanza.....
Akikaa sana watu wanaomba arudi........
Kama ndo karudi akija pared watu wanapiga shangwe, nyimbo kama kaingia Mokozi wao.....
Nilikuja skis kawa afsa Elimu.......!
Ndio.. Tena huo mwaka avopandishwa cheo nakua afisa elimu iringa ndo nilikua namaliza six pale.. Lakini badae alipata ajali mguu ukaumia vibaya sana na hatimaye kuacha hiko cheo sijui sasa ana hali gani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom