hahahahahahahhaNimekumbuka boarding school mnalishwa mafuta ya taa kwenye misosi kuuacha hauwez,njaa haina baunsa
Kile ki harufu kilikua kinakera hatarihahahahahahahha
hahahahaha mie nimesoma shule za masista hakukuwa na hiyo kitu.Kile ki harufu kilikua kinakera hatari
Haaaa genye zenu zilikua zinamalizwa kwa maombi?hahahahaha mie nimesoma shule za masista hakukuwa na hiyo kitu.
poleni sana
yes, hahahahahhahahahhaHaaaa genye zenu zilikua zinamalizwa kwa maombi?
Arusha pale Sakina nilishapewa papuchi kwenye senyenge...Usiusemee moyo
UlikahurumiaaMm ninapoishi kulikuwa na katoto kamoja kamemaliza form 4 kananiletea mzaha...watt wa cku hizi hawana uoga kbs
au ?