Mapenzi ya pesa yameharibu utamu mapenzi

Mapenzi ya pesa yameharibu utamu mapenzi

Na kwanini pesa ichukue nafasi ktk mapenzi? Mimi huwa nashangaa sana wanawake wenzangu wanapotanguliza pesa ktk kuanzisha/kuendelea kimahusiano na mwanaume.

Halafu mwanaume anayekupa pesa kwa mashinikizo ya kudumisha penzi wala hakupendi, wanawake wenzangu mnafeli sana.
Mkiweka pesa mbele mnawakosa wanaume bora, ambao msingetanguliza tamaa mngekula mema ya nchi kivulini.

Mwanaume bora ukiweka tamaa ya pesa mbele unampoteza!
Hii ni 1/10 yaan kwenye 10 ni 1 tu ndio mwenye mtazamo km wako 9 wote akishabana matako akayatunisha na kuyavimbisha yakatuna na chubana yake yeye anachowaza sio kingine mwanaume ajichanganye amkung'ute pochi yake kwisha habari
 
Habarini, husika na kichwa cha habari hapo juu.

Toka mapenzi yameanza kuhusishwa na pesa ndio utamu ulipopotea.

Yaani hapa nazungumzia mapenzi yale ya hisia ya kupendana bila kujali pesa. Huwezi zungimza mapenzi bila kusema pesa yaani utamu haupo.

Mwanamke amekuwa akitazamwa kama chombo cha starehe kwa sababu ya pesa kuchanganya mapenzi na pesa. Wanawake wanatumiwa na wanaume kisa tu wanapesa, basi wanawala popote.

Wanawatumia pande zote watakazo maana wamejua wanawake wanataka pesa. Haya yote ni kwakuwa vimechanganywa pesa na mapenzi, hivyo utamu wa mapenzi haupo ule wa kumpenda mtu sio kitu.

Yaani ule utamu halisi wa mapenzi haupo, maana pesa ni tamu na mapenzi matamu.

Kuchanganya mapenzi na pesa ndio kumeharibu uhalisia wa utamu wa mapenzi.
Kabla hatujaenda mbali tuanzie kwako, vp unagawa utamu bila pesa kwa huyo jamaa ako?
 
Wanapenda pesa mwisho wa siku wanabaki wanalia na kulaani kuwa wanaume hawafai, wamesahau kama walitanguliza maslahi binafsi mbele.

Maisha magumu + Vicoba, ndivyo vinawafanya wapende pesa kwanza.
 
Habarini, husika na kichwa cha habari hapo juu.

Toka mapenzi yameanza kuhusishwa na pesa ndio utamu ulipopotea.

Yaani hapa nazungumzia mapenzi yale ya hisia ya kupendana bila kujali pesa. Huwezi zungimza mapenzi bila kusema pesa yaani utamu haupo.

Mwanamke amekuwa akitazamwa kama chombo cha starehe kwa sababu ya pesa kuchanganya mapenzi na pesa. Wanawake wanatumiwa na wanaume kisa tu wanapesa, basi wanawala popote.

Wanawatumia pande zote watakazo maana wamejua wanawake wanataka pesa. Haya yote ni kwakuwa vimechanganywa pesa na mapenzi, hivyo utamu wa mapenzi haupo ule wa kumpenda mtu sio kitu.

Yaani ule utamu halisi wa mapenzi haupo, maana pesa ni tamu na mapenzi matamu.

Kuchanganya mapenzi na pesa ndio kumeharibu uhalisia wa utamu wa mapenzi.
Madam Donatila chungulia humu👇
Je, ni kweli kwamba pesa inaharibu mapenzi?
nimejaribu kuelezea kwa uelewa wangu.
 
Back
Top Bottom