Miaka hiyo nipo kijana bado Niko na nguvu zangu niliwahi nunua CHUDDA mmoja maeneo ya magomeni nikaenda kubanjuka naye lodge, asubuhi kulipokucha namuaga nisepe zangu nawahi usafiri wa kuelekea Mwanza, nampa hela yake akanambia hela yako kaa nayo isipokuwa ninakuomba sana nipe namba yako ya simu....nikampa namba nikaondoka.
Kwenye kuchati naye akanambia ananiomba tuwe wapenzi wa kudumu.......nilipohoji juu ya ombi lake akafafanua hivi;
Kuna nyakati ambazo hata Malaya anayejiuza huwa anapata nyeggge na mshawasha wa asilia kutaka kupigwa miti, hii ni tofauti sana na ile ya kugongwa kwaajili ya kuipatia fedha (kipato).
Kwahiyo point yake ilikuwa akiwa na nyeggge za asilia ananipigia tunakutana namkuna weeee akitosheka kila mmoja anashika njia yake.....
Tulienda enda hivo kiaina baadaye akaanza kuleta mambo ya wivu uliovuka mipaka nikampotezea, japo alikuwa chuma Cha maana halafu fundi kwelikweli.....anamwaga maji ova Bomba la Ruvu chini limepasuka shuka chepechepe.
Pesa ikitangulizwa sana mbele ladha ya penzi inapotea.
Una point katika hili.