byb sac
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 910
- 386
Daaah jf bhanaaa nawapenda bulee..kwa mapondo tuuu... MAPENZI SIO PESA ILA IKIKOSEKANA YANAPUNGUA.
ni vyema ukamuuliza kwanza tatizo lake.kuna shida nyengine huoni pakukimbilia labda alifikilia akakosa mtu wa kumuomba zaidi yako.
Kama unayo mpe then angalia action zake na nn atafanya baada ya hapo.kama huna pia mwambie. Sometimes unaweza kumjudge mtu kimakosa.
ni vyema ukamuuliza kwanza tatizo lake.kuna shida nyengine huoni pakukimbilia labda alifikilia akakosa mtu wa kumuomba zaidi yako.
Kama unayo mpe then angalia action zake na nn atafanya baada ya hapo.kama huna pia mwambie. Sometimes unaweza kumjudge mtu kimakosa.