Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,422
- 5,595
We chalii mpe demu hela kama huwezi piga chini,af siku nyengine usitongoze waroho wa pesa!
watu humu wanajifanya eti 20,000 ni ndogo sana.. acheni hizo bana hata ningekuwa mimi mtu nimefahamiana naye hata wiki haijaisha anaanza kuomba pesa mmm hata nikimpa lazima nimtilie mashaka.
pesa haitolewi kirahisi namna hiyo hata kama ni 5000 lazima nihoji kwanza ya kazi gani nikikuta ni upuuzi simpi kama kuchukia achukie tu.
Kwahiyo hilo swali lako ulitegemea kupata jibu gani?
Mi najua wanaocharge ni wale ambao wako kwenye biashara mana mi hata nikipewa kiasi gani najua ni wajibu wake.
Ni sawa na kusema unauza.
Nitajie bei basi.
Mimi ni mke wa mume mmoja.
Hivyo hayo maswala yako ya bei utasubiri sanaaa
Hiyo mumeo ametoa kiasi gani kukununua kwa wazazi wako?
Kajaribu kijijini sasa, pole
Endelezeni ubahili mlishwe haraaam.....
20,000 basi na aendelee na sabuni mapenzi hatayaweza
20,000 basi na aendelee na sabuni mapenzi hatayaweza
zingatia mjini hakuna mapenzi ya dhati bali kuna anasa ya mapenzi
sawa sikatai hupo sahihi lakini sasa ni wiki moja tu bado mjajuwana vizuri. Fikilia tena BroDaah, Tshs.20,000 ni pesa kubwa tusibeze, maisha ya mjini tunayafahamu.
Lakini Tsh 20,000 ni pesa ndogo sana, hata saloon haitoshi kwa unayempenda. Remember, wanaume siku zote tunapenda siku ya kwanza kumwona Msichana,
kwa hiyo kama kweli unampenda hiyo pesa ni ndogo sana na amekujaribu,
Watu wanatoa Magari, Nyumba kali.....
Bado hujapenda.......
Me Bwana Nikimpenda Msichana Nataka hata Marafiki zake wajue kabisa yani kwamba Shosti kapendwa,
Nampiga Pamba, kila kitu fulu.....
Si nimempenda????
Labda niulize kuna raha gani duniani inayoizidi raha ya mapenzi, kwamba unampenda na anakupenda...
kwa mfano una nyumba nzuri bado bila mke/mpenzi hainogi,
unna gari nzuri bila kifaa kikali pembeni bado kuna shida,
una pesa nyingi bila kuwa na umpendaye mjue mtumieje bado,
hata kama wakupe Billion 200 yani bila kifaa bana bado,
so kama unampenda fanya kumpa.
Ni wapenzi .ningempa tatizo ni mapema sanainategemea amekuomba akafanyie nini.... kabla hamjawa wapenzi mlikuwa mnafahamiana vipi
Kweli nimeamini bora ni kajaribu kijijini
Tatizo sio ubahili dada ni mapema sana act wewe unaombwa mzigo ndani wiki moja. utampa?20,000Tshs ndo umeianzishia thread? We kaka hata kama ni ubahili we mwenzetu umezidi, hivi uko serious au unatania?
Tatizo sio ubahili dada ni mapema sana act wewe unaombwa mzigo ndani wiki moja. utampa?
wewe unaweza kutoa mzigo ndani ya wiki moja na bado amjafahamiana vizuri. kama wewe dada poa sawa sitoshangaaa mahana ndio kazi yenuni mbahili sana huyu wenzako wanalipa kodi ya miaka wew unavurugwa na 20 mh kwel nora nimheshim huyu nlienae