Mapenzi ya mjini siyawezi

Mapenzi ya mjini siyawezi

Siuzi na wala sina plan za kuuza.

kama kweli nipe na mimi kidogo tu

20,000Tshs ndo umeianzishia thread? We kaka hata kama ni ubahili we mwenzetu umezidi, hivi uko serious au unatania?

Je unajua kwamba elfu ishirini unaweza kufungua biashara ya pili pili??

pili pili za elfu ishirini unazimaliza ?

Elfu 20 mbona ni hela ya kununulia always........kaka vipi wewe.........

sometimes inauzwa shilingi ngapi ?
 
kama kweli nipe na mimi kidogo tu



Je unajua kwamba elfu ishirini unaweza kufungua biashara ya pili pili??

pili pili za elfu ishirini unazimaliza ?



sometimes inauzwa shilingi ngapi ?

Mi ni mke wa mume mmoja. Pole sana
 
kama kweli nipe na mimi kidogo tu



Je unajua kwamba elfu ishirini unaweza kufungua biashara ya pili pili??

pili pili za elfu ishirini unazimaliza ?



sometimes inauzwa shilingi ngapi ?

No matter 20 unaweza kufanya nini ila huwezi kuanzisha uzi eti kwasababu mpenzi wako kataka 20,
 
Nipe namba yake me nimtumie 200,000 saiv,,yan binti wa watu umchafue wiki yote hyo 20 tu unaona taaabu,vya bure vipo segerea
 
Ukitaka mapenzi mjini toa hela,nasema wape hela mademu wote,toa note kijana acha ukame
 
Wiki moja tu ya mahusiano yetu mapya anataka ni mpe 20,000 hama kweli mapenzi ya mjini shida

Wewe c ndo mpambe wa "Mwanaume ni kichwa" onyesha u kichwa wako sasa! au haikuwa tammuuuu! haha haha haha haha haha.
 
20,000 tu umekuja kulia hapa ingekuwa 200,000 si ungetangaza mtaa mzima wewe.

Subiri uwe mwanaume inaonyesha bado kivulana wewe.
 
Toa 20,000 upata mzigo. ha haaaa inaitwa post paid
 
zingatia mjini hakuna mapenzi ya dhati bali kuna anasa ya mapenzi
 
Back
Top Bottom