Mapenzi ya mjini siyawezi

Mapenzi ya mjini siyawezi

Afu wanaanza ivi "baby kuna kitu nataka nikwambie ila naogopa..." kwendraa huko wizi mtupu!unaniletea mapenz mapesa,basi tembea na benk ndo iwe mpz wako.Ndani ya miezi mi3 nshapiga vibuti madem 3,hela ninayo na wala sio bahili lkn huwa napenda sn kuwapima watoto wa kike,nikishagundua ww ni mapz pesa nachapa lapa fasta mana ww huna mapz ni mchunaji tu!
Safii sanaaaa
 
Nipe namba yake me nimtumie 200,000 saiv,,yan binti wa watu umchafue wiki yote hyo 20 tu unaona taaabu,vya bure vipo segerea
Acha ujinga mwarabu koko sasa mambo ya segerea ya mekujaje. Kama unataka namba nikupe hiyo 0780008004
 
Mm ndio maana mademu wangu nachukua biguruni pale
 
Hivi ingekua anemekupa tunda la katikati siku hiyo hiyo ya mtongozo ungelalamika?
 
Wiki moja tu ya mahusiano yetu mapya anataka ni mpe 20,000 hama kweli mapenzi ya mjini shida..

Hama kweli na wewe humezidi, yaani elfu 20,000 hunalalamika!!Wenzio wanatoa kwa hiyari yao magari (hawaombwi) we elfu 20,000 hunalalamika???? Aibu aibu aibuuuuu. By the way nimependa matumiza ya 'HAMA' hahahahaaa
 
Nyie mnaosema 20 tu, unaiona ndogo mnajifanua mnajua sana kuonga/kuhongwa cjaelewa kutoa pesa inategemea na kipato cha mtu na matumizi yake mwanaume mwenye malengo hawezi kuwekeza shimo

Perfecto!!!!!!!!!:bange:
 
Back
Top Bottom