Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,193
Umekumbuka kitu eeh.. Cheko!Hahahaaaa!! Yes i know my kaka.
Umekumbuka kitu eeh.. Cheko!Hahahaaaa!! Yes i know my kaka.
Hahahaaaaa!! Yeah nimekumbuka my dear.Umekumbuka kitu eeh.. Cheko!
Kuna kijana mmoja anafanya kazi kwa mchina anapata 5000 kwa siku, na ameoa,... Nachojaribu kusema Muombe Mungu akupe hitaji la moyo wako, kama unavyowaza kwa nafasi, nachoweza kusema, Wanawaume watakao oa mwanamke wa dizaini yako ni wachache sana,.. Ila kila la heriHivi umesoma ukanielewa kweli!! Muuza mchicha anajitosheleza kulingana na hali yake. Akiamua kuoa basi atakuwa amajiona anajitosheleza na anaweza kuoa.
Ila wewe umesema pesa hazikutoshelezi,sasa hazikutoshelezi unaoa ili!!! Huoni kama hapo wewe ndio tatizo? Utoshelevu ni dhana dogo hebu elewa hata hilo dogo.
wanawake wachache sana wanaopenda hela .shida kubwa ya wanaume hawajiamini,ni waongooo.wanabaki kuvuna walichopanda. kuwa real inalipa sana.wao mashauzi yamewajaa inshort hawana hekima wala busara karika kutafuta wenza wao
Huh!! Unayatafutia wapi mkuu?Yako wapi hayo mapenzi ya kweli? Maana nimeyatafuta kweli lakini wapi!!!
Na bahati nzuri atakaenioa ni mmoja tu.Kuna kijana mmoja anafanya kazi kwa mchina anapata 5000 kwa siku, na ameoa,... Nachojaribu kusema Muombe Mungu akupe hitaji la moyo wako, kama unavyowaza kwa nafasi, nachoweza kusema, Wanawaume watakao oa mwanamke wa dizaini yako ni wachache sana,.. Ila kila la heri
Hapa hapa duniani!Huh!! Unayatafutia wapi mkuu?
Suluhisho lipi tena,?Na bahati nzuri atakaenioa ni mmoja tu.
Alafu kumbe suluhisho unalo kabisa alafu upo busy kulaumu!!!!
Badili uelekeo wa unapotafutia, au inawezekana mtafutaji ndio tatizoHapa hapa duniani!
Siyo zebaki wala mushtara....

Well...labda kweli mtafutaji ndo tatizo...Badili uelekeo wa unapotafutia, au inawezekana mtafutaji ndio tatizo![]()

Miaka 4 kwenda 5.2013 sio zamani mkuu
Mifano iko kibaoooo, mbona makonda, bodaboda,wafagia barabara nk wengi tu wameoa na sijaona anayelalamika kukosa mke!! Au unafikiri wanaoa wanaume?