Mapenzi ya kweli bado yapo.

Mapenzi ya kweli bado yapo.

Wako wapi na mimi nijipatie mmoja, manake mimi siwaoni, mi naona wanawake, wanatufata wanasema wanaume zao hawaridhishi, sasa wana tafuta wakuwaridhisha,..hamna mapenz mpaka mtu achoshwe na maisha, get tied get laid,
Huwezi kuwaona kama hauna sifa wanazohitaji mkuu. Hebu anza kulifanyia kazi hilo kwanza.
 
Kweli watu hamna imani na kwa style hii mtakua hampati hao wanawake wenye mapenzi ya kweli wasioangalia pesa...sababu hata nyie hamjiamini
Imani hamna maana ndio uhalisia uliopo kwa sasa.

Mwanamke & pesa mapacha wa damu hawa.
 
Hahahaaaaa! Imenibidi nicheke tu. Hivyo we malaika? Hauna mapungufu? Wanawake wakati wanabadilika nyie mlikuwa sayari gani mkawa static!!!! Your wrong path ndio inayokuhunt, jichunguze kwanza, you atracts what you are.

Hakuna binadamu asiye na mapungufu, tukianza kuzungumzia mapungufu yenu hapa hapatatosha. Hivi hamjiulizi kwanini wanawake hawaliilii kama ambavyo wanaume mwafanya siku hizi!!!!
Hebu kuweni wanaume jamani, rudini ktk nafasi zenu, zishikeni na mzitendee haki ipasavyo alafu muone kama mtalia lia tena!!

BTW we endelea kuwalaumu wanawake, wenzio wanaoa na kuolewa daily.
Chukua size yako mkuu.
Mi silaumu mwanamke yoyote, nina experience kubwa sana na hawa watu, kwa iyo siwez kusemea moyo wangu, ila nyinyi you're tigers kwenye ngoz ya kondoo,
 
Usiseme mwanaume asiyejitambua nyie mnajitambua,... Mimi nina jirani yangu anauza duka la chakula, ameomwoa mwanamke, yule mwanamke kamwibia million 5 ,kwa kazi yake ni hela nying, alichofanya yule mwanamke, anahonga kwa viben10,nyie wanawake mmebadilika sana, na hata kama yupo mwenye upendo wa dhati, atakua na mapungufu mengine kweny ndoa ambayo hayabebeki,... Nachojarib kusema Wanawake
mmekua changamoto kubwa sana, in general mapenzi yamekua komplex sana siku izi, hasa yamjini,Tamaa imeshika hatamu sana
Kama wanawake wamebadilika nyie ndiyo chanzo kikubwa.... tuna mapungufu yasiyobebeka? Yenu yanabebeka?

Mungu anakupa wa kufanana nawe, kama unakutana na vimeo basi jua na wewe ni kimeo...

Badilika kuwa mwanaume na sio mvulana naamini utapata mke bora
 
Kuna ile mtu anaweza akakwambia ni bodaboda ila ukiongea nae kuna kitu cha ziada unakiona ndani yake.
Lakini kuna vile vimeo akikwambia ni muhasibu unaona kabisaaaa huyu konda bila chenga.
Mimi Rais nipende basi
 
Mie huwa nawasoma naishia kuwadharau tu, usiwatilie maanani malezi nayo yanachangia. Ukijumlisha na hali ngumu ya maisha stress zao unadhani watatolea wapi!!!
Khaaa mtutue basi
 
Kama wanawake wamebadilika nyie ndiyo chanzo kikubwa.... tuna mapungufu yasiyobebeka? Yenu yanabebeka?

Mungu anakupa wa kufanana nawe, kama unakutana na vimeo basi jua na wewe ni kimeo...

Badilika kuwa mwanaume na sio mvulana naamini utapata mke bora
Tatizo mnapenda kushindana hata kweny ukweli, ndo maana tukaaga kimya, tunawaacha kama mlivyo, maisha yaendelee
 
Nakubaliana nawe mleta mada, wanaume wengi tunakosa kujiamini, uongo mwingi na tunataka kufeki ili tukubaliwe na wadada.
Ila eli katika Hip hop kuna kauli tunasema ukiona shabiki ni kuku basi watemee pumba au mchele wadonoe...

Wanaume wanawaambia wanawake wanachotaka kuskia
 
Hadi leo naamini hivyo maana sijawahi kuona wanawake wa mapenzi ya dhati.

Kila wanapoona pesa hawachoki kusumbua na kurukwa akili.



Acha tuendelee kuzitafuta aiseeh
Bora tupende hela,unaamua kutoka na MTU ambay hana pesa unamvumilia na kumpa moyo ipo cku Mungu nasi atatukunia Nazi,Siku akipata utakoma ata kiswahili atakisahau.Bora nipende pesa
 
Nakubaliana nawe mleta mada, wanaume wengi tunakosa kujiamini, uongo mwingi na tunataka kufeki ili tukubaliwe na wadada.
Na hii ni mbaya sana mtu akigundua umemdanganya uaminifu unapungua kabisa, acha mtu akupende na uhalisia wako akupende wewe kama wewe.
 
Bora tupende hela,unaamua kutoka na MTU ambay hana pesa unamvumilia na kumpa moyo ipo cku Mungu nasi atatukunia Nazi,Siku akipata utakoma ata kiswahili atakisahau.Bora nipende pesa
Na ujue kuzitafuta, ila usilete ukimwi nyumbani,
 
Ila eli katika Hip hop kuna kauli tunasema ukiona shabiki ni kuku basi watemee pumba au mchele wadonoe...

Wanaume wanawaambia wanawake wanachotaka kuskia
Ni kweli Daby, lakini kama unatafuta life partner sioni sababu ya kuwa muongo. Kama ni mlupo wa one night stand au huna future nae ofcoz unaweza kumdanganya coz lengo ni kumlala...
 
Kuna kitu kinaitwa maono... Unaweza ukahisi kitu kizuri au mazuri about someone or something but you are not sure exactly what is it...
So kile kipindi unachotafakari kutakuwa kuna kitu hakipoa sawa with time ukweli unaibuka... Liwe baya au liwe zuri...

Hichi ndiyo kilichotokea...

Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom